Pre GE2025 Kwa anayoyaongea Lissu kuhusu uchaguzi, vyombo vya ulinzi na usalama vina machaguo matatu tu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hapa ndipo ile sera na ujamaa na kujitegemea inapotugharimu ni sera ya kupalilia umaskini na kukufanya uwe mtumwa.. Ila wenzetu Kenya hawafagilii l.. Ndiyo maana walifanikiwa kubadili katiba yao..
 
Umeandika vizuri ,nami naongezea.
Wakuu wa vyombo wascan watu wao , yoyote ilie na itikadi za siasa afutiliwe mbali , hawa ndo adui wa taifa katika vyombo vyetu
 
Tupambane kubadilisha huu ujinga.
 
Hapa ndipo ile sera na ujamaa na kujitegemea inapotugharimu ni sera ya kupalilia umaskini na kukufanya uwe mtumwa.. Ila wenzetu Kenya hawafagilii l.. Ndiyo maana walifanikiwa kubadili katiba yao..
Tanzania tumekwishahama kwenye Ujamaa na Kujitegemea. Tupo kwenye Ubepari.
 
Uhuru usingepatikana kama waliokuwepo kipindi kile wasingeliamsha. Jukumu lile lie lipo pale pale kwa kizazi cha sasa na kijacho.
Lengo ni kuusaka Uhuru!
Amani kutoweka ni sehemu ya mchakato wa kuusaka Uhuru!
 
Uhuru usingepatikana kama waliokuwepo kipindi kile wasingeliamsha. Jukumu lile lie lipo pale pale kwa kizazi cha sasa na kijacho.
Lengo ni kuusaka Uhuru!
Amani kutoweka ni sehemu ya mchakato wa kuusaka Uhuru!
Uhuru ulishapatikana 1961...mkitafutacho ni UHAINI tu....
 
Vyombo ulinzi wafanye uzalendo mchi kwanza sio chama wala Rais.....Mama Tanzania kwanza
 
Serikali ni "part" ya wananchi....kazi ya jeshi ni kuilinda dola ikiwemo na serikali....acha utoto

..kama jeshi haliko kwa ajili ya wananchi kwanini serikali mbalimbali hupinduliwa?

..kiongozi akionekana hasikilizi wananchi jeshi lina haki ya kuingilia kati.
 
Anayepinga anaahirisha kufikiri kizalendo, a.k.a kujizima data
 
Mkoloni alifanya makubwa lakini hakuwahi kuimbwa na kuabudiwa kama mtawala wa sasa

Emancipate yourselves from mental slavery - Bob Marley
Liko wapi jengo la kiibada la kumuabudu mh.Rais Samia?!!

Kuimbwa ni lazima aimbwe kwani klabu ya Yanga tu iliimbwa na marehemu Pepe Kale wa DRC......
 

MAPINDUZI
 
Umeongea pointi,vyombo vya ulinzi visimamie taifa na siyo chama kimoja
Sasa hapo inategemea uzalendo wa taasisi husika,wengine wanadhani uzalendo ni kuibeba ccm milele na wengine wana mawazo kwamba bila ccm hakuna maisha.
Kuna mambo mengine ni ya msingi sana;lakini utasikia watu kama viongozi wa dini wanahimizwa kuombea amani,lakini viongozi hao hao wa dini wanashindwa kuiambia serikali kuweka misingi ya amani kwa taifa ili amani iendelee kudumu. tuna kazi kubwa sana wadanganyika
 
Acha kuviingiza vyombo vyetu wa ulinzi na usalama katika TREASON....

Mkuu wangu huo uufanyao ni UHAINI......
Jamani muwe mnawaonea huruma ndugu zenu siyo matumbo yenu tu. Sasa hivi ni nchi nzima inataka mabadiriko huwezi kua unalazimisha kila kitu kwa nguvu. Hii nchi ikisambaratika itamhusu kila mtu.

Acheni ubinafsi. Kwa nini hamtaki haki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…