Kwa asilimia nyingi Waislamu tumechukua tamaduni za Kiarabu. Je, Uislamu ni Uarabu?

Yesu pia kavyaa kanzu
 
Ukweli mchungu, wengi tunashindwa kutofautisha tamaduni za waarabu (jamii) na dini ya kiislamu/uislamu.


View attachment 2669881

Pata picha hapo ndio tunaingia zetu Masjid kishaolin [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu ni master of the master....mkali wa China baada ya Bruce Lee...mwamba zaidi ya wa Lusaka...Jet Fighter Jet lee...Lee wa pili...hahaaa.....

Mtia post ana maana sana ktk huu Uzi...dini ni element ya utamaduni. Tungetawaliwa na wachina kungekuwa na wabudha na tungevaa kama wao. Ni sawa na tamaduni za wayahudi zilivyo ktk ukristo, au za Italia ktk uroma au za waarab ktk uislam.
 

Hakuna Kitu Kama Hicho Unaongea Chuki zako tu Lakini Uhalisia Unajulikana
1.Suala La Ubaguzi wa rangi(Ukabila) Sio Kwa Waarabu tu,Tena Wazungu Ndo zaidi Kila siku Tunasikia Taarifa za Wazungu Kuwabagua Waafrika Sijawahi Sikia taarifa waarabu Kuwabagua Waafrika Au zipo lakn chache sana.

2.Zinaa Wazungu na Waafrika Wanaongoza kwa Zinaa,Tunashihudia Hata Kwenye Jamii Zetu Watoto wa Kiarabu wanaoelwa hali Ya Kuwa bikra Ila kwa waafrika bikra utaiskia tu.

3.Ubaguzi wa Wanawake,Hakuna kitu Kama hicho kwa Waaarabu Ila Mwanamke Hawezi Kuwa Juu ya Mwanaume Hata Biblia Inasema Hivo
Timotheo 1 2:12 "Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha, wala kumtawala mwanamume, bali awe katika utulivu"

4.Utamaduni wa kimagharibi Unaoufata kama Ulivosema hauwezi Ruhusu Vitu Kama Hivi Ila Utaruhusu Ushoga na Kuzikataa Haki
 
Nikusahishe vitu vidogo tu

PM wa UK (England, Scotland, Wales and Northern Ireland) ni Rishi Sunak dini yake muhindu

Hao wabunge watatu waislam wa bunge la Marekani lenye viti 435 still hawajafika hata asilimia 1

Safari bado ndefu ila one day yes
Siku Hazifanani nashukuru kwa kunitanaabisha ndio uzuri wa kuelimishana
 
HAKUNA MUISLAMU HATA MMOJA HUMU MWENYE UWEZO WA KUJIBU HOJA.


WOTE VILAZA.
 
uarabu una mila na desturi zake na uislam una sheria zake lakini huku kwenye uislam tumekomba mpaka uarabu, nimeuliza swali uislamu ni uarabu?

Majina - yani mpaka jina la ukoo linanyofolewa.

Tupe mfano wa majina ya Kiarabu tuyaelewe. Isijekuwa Waarabu ndiyo wamechukuwa majina yetu huku?
 
Kutukuza waarabu - kuwa na dhana potofu kwamba waarabu ni ndugu zake Mwenyezi Mungu, kuiita ngozi ya kiarabu ngozi ya mtume, mwarabu akitaka kitu flani ni ngumu kumkatalia, akikosea kitu flani rahisi kumsamehe.
"ngozi ya mtume", wewe uliiona ? Tupe uelewa umeijuwaje ipo vipi?
 
Wale ma padre wanavyovaa kanzu, ma-sister wanavyovaa unform za kufanana juu wanaweka kofia, ma pasta wanavyovaa kola nyeupe, kanisani kuna wapiga piano, waumin wanavaa suti, shati na suruali huo utamaduni mmeutoa kwenye kabila gani Tz?
Na hukuti wakisema ndo ukristo ulivyo. Sasa ninyi mna mavazi ya kiislamu, mapadri kuvaa vile ni sare za kazi km maaskari na si ukristo
 
Yule askari wa zanzibar alikuwa mkristu? Nioneshe biblia ilipoandika kufungisha ndoa za wanaume. Mkaidi kafanya ya kwake ndo uite ni ukristo?? Ulitaka akapigwe mawe wakati ukristu unasema usiue??
 
Hahahaa!! Bi Khadija uliyeolewa na mtume ukiwa na miaka 9 nilijua huku lazima uhusike.
Ma shaa Allah, kasome vizuri historia yako. Bi Khadija aliolewa akiwa na Miaka 40, sijuwo wewe iyo 09 yako umeitowa wapi?
 
Kamba, huwezi soma Quran kwa Kingereza ukaelewa, kitu chochote kikishatafsiriwa lazima kiwe na makosa.

Na sababu Quran ipo mpaka leo bila kuwa na kosa hata moja ni sababu imekua preserved kwa original language.
Au siyo. Mungu alikuwa na lugha yake ya kiarabu akawaandikia.
 

Orodha Ya Majina Ya Wakeze Mtume (S)​

Baada ya kifo cha mke wake wa kwanza Bibi Khadija (a), Mtume (s) alioa wanawake wafuatayo:
(1) Saudah, (2) Ayesha, (3) Ummus-Salamah bint Khuzaimah, (4) Hafsah (5) Zainabu Binti Jahash, (6) Ummu-Habibah (Ramla), (7) Maymunah, (8) Zainab bint Umais, (9) Juwairiyah, (10) Safiyyah na (11) Khaulah binti Hakim.


Mwamba alikuwa anawapanga. Dose baada ya dose, alioneshwa na Allah au ni kwa utashi wake?
 
Mbona zanzibar inaongoza kwa kunyanduliwa nyuma wakati ndo uislamu ulipo kuliko bara. Ukimaliza zenji inafuatia kanda ya pwani, ushoga umeshamiri na inasadikika waarabu + wahindi hizi mambo za kupiga kinyeo nfo zao
 
Hijja unailipia indirect. Ukienda kule taifa lile linaingiza matrilion ya pesa, utalala wapi? Kula? Gharama za safari n.k. wenye akili wanajua ile ni bizness iliyofichika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…