Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Yesu pia kavyaa kanzuhapa tunazungumzia uislamu na uarabu, mimi sio mkristo na ndio maana wala sitaji habari za wakristo hilo ndio tatizo la sisi waislamu kuna vitu vingine ni vya ukweli lakini tunapindisha. Mwenyezi Mungu ametuumba kwa utashi yaani kutambua vitu na mambo kwa ujumla, tujifunze mda mwengine kuumiza vichwa vyetu hata kama jambo linakuumiza, mimi nimeuliza swali ili tuweze kulifafanua katika mrengo wa imani ya kiislamu lakini nimegundua kuwa baadhi yenu mnapenda sana ligi na dini nyingine na hili ndio tatizo kubwa.
Huyu ni master of the master....mkali wa China baada ya Bruce Lee...mwamba zaidi ya wa Lusaka...Jet Fighter Jet lee...Lee wa pili...hahaaa.....Ukweli mchungu, wengi tunashindwa kutofautisha tamaduni za waarabu (jamii) na dini ya kiislamu/uislamu.
View attachment 2669881
Pata picha hapo ndio tunaingia zetu Masjid kishaolin [emoji23][emoji23][emoji23]
Sio wametekwa ndo utamaduni uzuri uliyo na uhuru na maendeleo. Tamaduni za waarabu Zina ubaguzi wa rangi, wanawake, Zina ukatili na vitu hivyo vyote so of course mtu atafata anapoona pako vizuri na peaceful kuliko kufata tamaduni ambaye kiongozi wake wa dini aliolewa na mtoto wa miaka 6 na kumfanya Akiwa na 9. Utamaduni wa kimagharibi huwezi ruhusu vitu Kama hivi...
Siku Hazifanani nashukuru kwa kunitanaabisha ndio uzuri wa kuelimishanaNikusahishe vitu vidogo tu
PM wa UK (England, Scotland, Wales and Northern Ireland) ni Rishi Sunak dini yake muhindu
Hao wabunge watatu waislam wa bunge la Marekani lenye viti 435 still hawajafika hata asilimia 1
Safari bado ndefu ila one day yes
uarabu una mila na desturi zake na uislam una sheria zake lakini huku kwenye uislam tumekomba mpaka uarabu, nimeuliza swali uislamu ni uarabu?
Majina - yani mpaka jina la ukoo linanyofolewa.
"ngozi ya mtume", wewe uliiona ? Tupe uelewa umeijuwaje ipo vipi?Kutukuza waarabu - kuwa na dhana potofu kwamba waarabu ni ndugu zake Mwenyezi Mungu, kuiita ngozi ya kiarabu ngozi ya mtume, mwarabu akitaka kitu flani ni ngumu kumkatalia, akikosea kitu flani rahisi kumsamehe.
Walikuwa wanazaliana vipi? kama wanawake walikuwa wanazikwawalikua wakizika watoto wao wakike wakiwa hai
Hahahaa!! Bi Khadija uliyeolewa na mtume ukiwa na miaka 9 nilijua huku lazima uhusike.
Na hukuti wakisema ndo ukristo ulivyo. Sasa ninyi mna mavazi ya kiislamu, mapadri kuvaa vile ni sare za kazi km maaskari na si ukristoWale ma padre wanavyovaa kanzu, ma-sister wanavyovaa unform za kufanana juu wanaweka kofia, ma pasta wanavyovaa kola nyeupe, kanisani kuna wapiga piano, waumin wanavaa suti, shati na suruali huo utamaduni mmeutoa kwenye kabila gani Tz?
Yule askari wa zanzibar alikuwa mkristu? Nioneshe biblia ilipoandika kufungisha ndoa za wanaume. Mkaidi kafanya ya kwake ndo uite ni ukristo?? Ulitaka akapigwe mawe wakati ukristu unasema usiue??🤣🤣Sasa si kanisa hilo yalianzishwa na wazungu ...Na hizo suti si wameanzisha wazungu
.
Nionyesha andiko yesu alivaa suti au wanafunzi wake ...Nikuonyesha neno kanzu kweny bible..
Unafuata mila za wazungu hamna dini ndo maana mnafungisha ndoa za wanaume 🤣🤣🤣hamna dini hapo ni mila za wazungu kuvaa nguo fupi hapo wakubwa wenu sijui ndo sangara wanavaa kanzu
Ma shaa Allah, kasome vizuri historia yako. Bi Khadija aliolewa akiwa na Miaka 40, sijuwo wewe iyo 09 yako umeitowa wapi?Hahahaa!! Bi Khadija uliyeolewa na mtume ukiwa na miaka 9 nilijua huku lazima uhusike.
Au siyo. Mungu alikuwa na lugha yake ya kiarabu akawaandikia.Kamba, huwezi soma Quran kwa Kingereza ukaelewa, kitu chochote kikishatafsiriwa lazima kiwe na makosa.
Na sababu Quran ipo mpaka leo bila kuwa na kosa hata moja ni sababu imekua preserved kwa original language.
Nani kakuambia huyo ni Yesu?Yesu pia kavyaa kanzuView attachment 2670428
Mbona zanzibar inaongoza kwa kunyanduliwa nyuma wakati ndo uislamu ulipo kuliko bara. Ukimaliza zenji inafuatia kanda ya pwani, ushoga umeshamiri na inasadikika waarabu + wahindi hizi mambo za kupiga kinyeo nfo zaoTumia akili,kile ni tendo tu,sio kwamba anapigwa shetani yupo pale,ile nikuonyesha kwamba muislamu ajiepushe na matendo ya kishetani,shetani amfanye adui.Hii ndio inathibitisha kuwa uislamu na shetani hawapo pamoja.Ni tofauti na yule Rushdie aliyesema Qur'an ni aya za shetani,wakati Qur'an nzima inampinga shetani.
Hijja unailipia indirect. Ukienda kule taifa lile linaingiza matrilion ya pesa, utalala wapi? Kula? Gharama za safari n.k. wenye akili wanajua ile ni bizness iliyofichikaHijja Hailipiwi Mkuu,
Kufikirika ndio Yakini Yenyewe,Mungu hawezi Mleta shetani Mkawa Mnamuona bali ataleta Dalili Za kufikirika za Uwepo wa shetani,Hizo Dalili Zitawasaidia wenye Akili Kujua uwepi wake.
Hata Mungu mwenyewe Ni Wa Kufikirika Kaleta Dalili za uwepi wake Wenye Akili na yakini Tunaamini Yupo.
Kurusha mawe kwenye All Kaaba Ndo Tulichoelekezea Kwenye Vitabu vyetu na katu Wewe Huna akili Kuzidi Kitabu chake.