Kwa asilimia nyingi Waislamu tumechukua tamaduni za Kiarabu. Je, Uislamu ni Uarabu?

Kwa asilimia nyingi Waislamu tumechukua tamaduni za Kiarabu. Je, Uislamu ni Uarabu?

FICHA UPUMBAVU WEWE.

MWAMEDI AMEISHI MIAKA YA 1500 ILIYOPITA.

IBRAHIMU AMEISHI MIAKA 5000 ILIYOPITA.

UISLAMU UNA MIAKA 1500,
NA ULIANZISHWA NA MOHAMED WAKATI IBRAHIM AMEKUFA MIAKA ZAIDI YA 3500.
Miaka Mingi kabla ya UISLAMU KUANZISHWA NA MWAMEDI
NA HADIJA KUSILIMU.
Huna haja ya kukasiriska au kutokwa na povu; Tafuta kwanza maana ya neno uislam ndio uanzie hapo;
Labda nikupe mfano rahisi;
Hivi mtu akisema meli zote, Ngalawa na mashua zinafuata kanuni ya kuelea (low of flotation);
Unaweza kumkatalia kwa kuwa Mashua na ngalawa zilikuwepo kabla ya kugunduliwa low of flotation?

Kwa maana hiyo basi; kama mitume waliotajwa kama Ibrahim nk walikuwa wanafuata taratibu kama kumuamini Mungu mmoja na nyinginezo ambapo Muhamad alipokuja aliziita hizo taratibu kwa jina moja la Uislam, basi waislam wanayo haki ya kusema kuwa Ibrahimu na mitume wengine walio tangulia walikuwa waislam
Na hii nikama nilivyo sema, Ngalawa, mashua nk zilikuwa zinafuata low of floatation hata kama haikuwepo kipindi zina anza kutumia miaka miiingi BC
(Mtaniwia radhi wale ambao hamjui kanuni ya kuelea/Law of flotation)
 
Hiyo Nguzo Ina Sharti Lake
Ni kwa yule Mwenye uwezo wa mali tu.Umeelewa Mwana Kondoo
Kwanini mtu asafiri na kutumia gharama kubwa kwenda kubusu au kulipungia jiwe ?

Jiwe Lina mamlaka gani na Lina kazi gani ?
 
Huna haja ya kukasiriska au kutokwa na povu; Tafuta kwanza maana ya neno uislam ndio uanzie hapo;
Labda nikupe mfano rahisi;
Hivi mtu akisema meli zote, Ngalawa na mashua zinafuata kanuni ya kuelea (low of flotation);
Unaweza kumkatalia kwa kuwa Mashua na ngalawa zilikuwepo kabla ya kugunduliwa low of flotation?

Kwa maana hiyo basi; kama mitume waliotajwa kama Ibrahim nk walikuwa wanafuata taratibu kama kumuamini Mungu mmoja na nyinginezo ambapo Muhamad alipokuja aliziita hizo taratibu kwa jina moja la Uislam, basi waislam wanayo haki ya kusema kuwa Ibrahimu na mitume wengine walio tangulia walikuwa waislam
Na hii nikama nilivyo sema, Ngalawa, mashua nk zilikuwa zinafuata low of floatation hata kama haikuwepo kipindi zina anza kutumia miaka miiingi BC
(Mtaniwia radhi wale ambao hamjui kanuni ya kuelea/Law of flotation)
Uislamu ulikuwepo hata kabla ya mudi? Mudi si ndo anasimliwa kwenye quran au kulikuwa na kitabu gani hapo kabla?
 
Dufu inaharibu msingi upi wa uislam?
You are missing the point by a mile! It's about Arab culture and why Muslim Africans see anything Arab as superior. No one has said anything about the pillars of Islam being wrong
 
uarabu una mila na desturi zake na uislam una sheria zake lakini huku kwenye uislam tumekomba mpaka uarabu, nimeuliza swali uislamu ni uarabu?

Majina - yani mpaka jina la ukoo linanyofolewa.

Kutukuza waarabu - kuwa na dhana potofu kwamba waarabu ni ndugu zake Mwenyezi Mungu, kuiita ngozi ya kiarabu ngozi ya mtume, mwarabu akitaka kitu flani ni ngumu kumkatalia, akikosea kitu flani rahisi kumsamehe.

Mavazi - Kudhani kwamba kanzu ni uislam

Dufu - Ngoma hii wengi huipiga hasa kwenye sherehe kudhani ni uislam

taratibu za Kuoa - Kuvaa kanzu huku kiunoni kuna jambia la vitani kudhani ndio uislam.

Vyakula - kikiwa kina asili ya uarabuni mfano biriani kitapewa heshima zaidi kuliko pilau

lugha - Kusoma quran kwa kiarabu hata kama huelewi, kusalimiana kwa kiarabu, n.k.

mtume angekuwa mchina tungevaa kishaolin temple na tungekuwa na vidoti sita au kadhaa kwenye makomwe yetu ?
Hakika umeandika Ukweli Mtupu
 
Comment yako inaoneasha ulivyo mjinga! Sijui kwanini watu wengi mnakwama kuchangia hoja katika mijadala si Kwa mitandao ya kijamii hata kwenye media...Man up!!
Tatizo ni ukosefu wa Elimu na kuwa na akili ndogo isiyoweza kureason
 
Watu wanasafiri kwenda Saudia Arabia kumpiga shetani mawe. Shetani unaweza kumpiga mawe kweli? Wamemuona mtu wao ambaye kwao elimu siyo kipaumbele anafikiri kama wote ni wapiga mawe.
Watu wa jamii ya mwezi watakujengea msikiti na kisima cha kuchambia tu. Sehemu ambazo wameishi Waabudu mwezi na nyota hakuna hata maendelo hapa Tanganyika. Watakuletea Dirham? Zanzibar yenyewe karibia wote ni warushe mawe lakini hawajawapa Dirham. Wamekuja kuiba na nasikia Ikulu nayo ni ya warusha mawe
Hao wakishapewa gunia la tende na maji ya kutawadhia basi [emoji23]
 
Mbona mashoga wana majina ya kiislam
- DAAIYE ABDULLAH , ni Imamu Shoga maarufu zaidi USA, anaendesha msikiti wenye waumin wengi sana

- NUR WARSAME, ni Imamu Shoga maarufu zaidi CANADA na ana waumini wengi wanaomsikiliza mpaka sasa

- MUHSIN HENDRICK, ni IMAMU SHOGA maarufu sana South Africa na ana waumin wengi tu
 
Uislamu ulikuwepo hata kabla ya mudi? Mudi si ndo anasimliwa kwenye quran au kulikuwa na kitabu gani hapo kabla?
Wanakuambia Uislam ulikuwepo hata kabla ya Adam[emoji23]

Wakati huohuo tunaambiwa ili kuwa Muislam ni lazima kushuhudia kuwa yupo Mungu mmoja tu ambaye ni Allah na Muhammad ndio Mtume wake

Sasa kama Muhammad hakuwepo je walishuhudiaje? Hawakula SHAHADA?

Illogical
 
Wanakuambia Uislam ulikuwepo hata kabla ya Adam[emoji23]

Wakati huohuo tunaambiwa ili kuwa Muislam ni lazima kushuhudia kuwa yupo Mungu mmoja tu ambaye ni Allah na Muhammad ndio Mtume wake

Sasa kama Muhammad hakuwepo je walishuhudiaje? Hawakula SHAHADA?

Illogical
Mazingaombwe haya. Eti Yesu alikuwa muislamu aliitwa Issa, sijui alipewa na nani hilo jina kama siyo maandishi ya Mudi.
 
uarabu una mila na desturi zake na uislam una sheria zake lakini huku kwenye uislam tumekomba mpaka uarabu, nimeuliza swali uislamu ni uarabu?

Majina - yani mpaka jina la ukoo linanyofolewa.

Kutukuza waarabu - kuwa na dhana potofu kwamba waarabu ni ndugu zake Mwenyezi Mungu, kuiita ngozi ya kiarabu ngozi ya mtume, mwarabu akitaka kitu flani ni ngumu kumkatalia, akikosea kitu flani rahisi kumsamehe.

Mavazi - Kudhani kwamba kanzu ni uislam

Dufu - Ngoma hii wengi huipiga hasa kwenye sherehe kudhani ni uislam

taratibu za Kuoa - Kuvaa kanzu huku kiunoni kuna jambia la vitani kudhani ndio uislam.

Vyakula - kikiwa kina asili ya uarabuni mfano biriani kitapewa heshima zaidi kuliko pilau

lugha - Kusoma quran kwa kiarabu hata kama huelewi, kusalimiana kwa kiarabu, n.k.

mtume angekuwa mchina tungevaa kishaolin temple na tungekuwa na vidoti sita au kadhaa kwenye makomwe yetu ?

umejua kunichekesha sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
uarabu una mila na desturi zake na uislam una sheria zake lakini huku kwenye uislam tumekomba mpaka uarabu, nimeuliza swali uislamu ni uarabu?

Majina - yani mpaka jina la ukoo linanyofolewa.

Kutukuza waarabu - kuwa na dhana potofu kwamba waarabu ni ndugu zake Mwenyezi Mungu, kuiita ngozi ya kiarabu ngozi ya mtume, mwarabu akitaka kitu flani ni ngumu kumkatalia, akikosea kitu flani rahisi kumsamehe.

Mavazi - Kudhani kwamba kanzu ni uislam

Dufu - Ngoma hii wengi huipiga hasa kwenye sherehe kudhani ni uislam

taratibu za Kuoa - Kuvaa kanzu huku kiunoni kuna jambia la vitani kudhani ndio uislam.

Vyakula - kikiwa kina asili ya uarabuni mfano biriani kitapewa heshima zaidi kuliko pilau

lugha - Kusoma quran kwa kiarabu hata kama huelewi, kusalimiana kwa kiarabu, n.k.

mtume angekuwa mchina tungevaa kishaolin temple na tungekuwa na vidoti sita au kadhaa kwenye makomwe yetu ?
Dini hizi tufikie mahali tukubaliane kuwa ni utumwa wa kifikra na kiutamaduni, huku Kwa wakiristu usipo kuwa na jina la kizungu haubatizwi, yaani Bora liwe jina la kizungu ata kama kwenye biblia halipo, Kwa waislamu huko Nako Bora liwe jina la kiarabu ata kama halipo kwenye Quran
 
Dini hizi tufikie mahali tukubaliane kuwa ni utumwa wa kifikra na kiutamaduni, huku Kwa wakiristu usipo kuwa na jina la kizungu haubatizwi, yaani Bora liwe jina la kizungu ata kama kwenye biblia halipo, Kwa waislamu huko Nako Bora liwe jina la kiarabu ata kama halipo kwenye Quran
Wakristu wanaterm kuwa uwe na jina la mtukufu ikiwa na maana kama Nyerere akitangazwa kuwa mtukufu basi utabatizwa na hilo jina. Lengo uishi kitukufu kama wao, kwa islamu sijui lengo lake
 
Kwa hiyo ni biashara kama biashara zingine. Wasifiwe walioanzisha dini maana wameteka nyoyo za watu hadi hawa wa hijja na wachukua sadaka sehenu zingine zoote
Uislamu uko kwenye nyanja zote za kimaisha.Ndio ukaona Yesu,naye akaona avae kanzu na kubadhi na awavalishe na wanafunzi wake
download.jpg
 
Jibu swali kwa uelewa wako,uislamu ni uarabu?
Kuna kisa kimewai tokea eneo flani hapa Tz,waarabu waliingia zao bar na kanzu zao,waswahili wakatahamaki na kuzua taharuki,walijibiwa kuwa wao ni waarabu wa kikristo na kanzu kwao ni vazi la kimila tu kama ilivo wamasai na shuka zao!!
Kama alivyovyaa Yesu kanzu na wanafunzi wake
download.jpg
 
Uislamu uko kwenye nyanja zote za kimaisha.Ndio ukaona Yesu,naye akaona avae kanzu na kubadhi na awavalishe na wanafunzi wakeView attachment 2670763
Kumbe! Hongera kwa kuijua sura ya Jesus Christ. Tuma sura ya Mudi mtume wa mwisho wa Mungu kama isikikavyo. Hahahaaa, Mudi hana maajabu yoyote ya kuonekana kama mtume wa Mola aliye juu.
 
Back
Top Bottom