Kwa bajeti ya 10M - 12M naweza kupata gari gani used kutoka Japan?

Kwa bajeti ya 10M - 12M naweza kupata gari gani used kutoka Japan?

Wakati huo huo gari iwe offroader, ile mafuta 10-15 km/l, ibebe watu 6 na bei iwe nafuu..

Jamaa atulize kichwa anunue noah mkononi kwa 12M atapa nzuri tu!!
Mkuu kumbuka unaongea na mtu ambaye hana uzoefu na magari, ndio kwanza nataka nitoe nuksi.

Siyo muda wote nitakuwa nazunguka na watu 6 kwenye gari, muda mwingi nitakuwa na wanafunzi 2 tu asubuhi, mwingine mdogo bado hajaanza shule. Mchana mama yao atakuwa anawafuata. Watu 6 tukiwa tunaenda kanisani tu umbali wa Km 1.5 hadi 2 rafu road.

Noah huwa naziona kama gari za biashara, siyo gari za kufanyia mizunguko kama niliyoitaja kwenye bandiko langu. Sijajua hizo Noah new model kama zipo vizuri huwa nazipenda zilivyo kwa nje.
 
Mkuu kumbuka unaongea na mtu ambaye hana uzoefu na magari, ndio kwanza nataka nitoe nuksi.

Siyo muda wote nitakuwa nazunguka na watu 6 kwenye gari, muda mwingi nitakuwa na wanafunzi 2 tu asubuhi, mwingine mdogo bado hajaanza shule. Mchana mama yao atakuwa anawafuata. Watu 6 tukiwa tunaenda kanisani tu umbali wa Km 1.5 hadi 2 rafu road.

Noah huwa naziona kama gari za biashara, siyo gari za kufanyia mizunguko kama niliyoitaja kwenye bandiko langu. Sijajua hizo Noah new model kama zipo vizuri huwa nazipenda zilivyo kwa nje.
Mkuu kumbuka unaongea na mtu ambaye hana uzoefu na magari, ndio kwanza nataka nitoe nuksi.

Siyo muda wote nitakuwa nazunguka na watu 6 kwenye gari, muda mwingi nitakuwa na wanafunzi 2 tu asubuhi, mwingine mdogo bado hajaanza shule. Mchana mama yao atakuwa anawafuata. Watu 6 tukiwa tunaenda kanisani tu umbali wa Km 1.5 hadi 2 rafu road.

Noah huwa naziona kama gari za biashara, siyo gari za kufanyia mizunguko kama niliyoitaja kwenye bandiko langu. Sijajua hizo Noah new model kama zipo vizuri huwa nazipenda zilivyo kwa nje.
Hizo Noah new shape hamna gari mule mkuu wala usijitamanishe.
Bora hizo old kama alivyokushauri mkuu hapo juu.
Ukipata Sr40 unaweza kutumia hata private na inapendeza pia.
 
Mkuu kumbuka unaongea na mtu ambaye hana uzoefu na magari, ndio kwanza nataka nitoe nuksi.

Siyo muda wote nitakuwa nazunguka na watu 6 kwenye gari, muda mwingi nitakuwa na wanafunzi 2 tu asubuhi, mwingine mdogo bado hajaanza shule. Mchana mama yao atakuwa anawafuata. Watu 6 tukiwa tunaenda kanisani tu umbali wa Km 1.5 hadi 2 rafu road.

Noah huwa naziona kama gari za biashara, siyo gari za kufanyia mizunguko kama niliyoitaja kwenye bandiko langu. Sijajua hizo Noah new model kama zipo vizuri huwa nazipenda zilivyo kwa nje.
Sawa mkuu, wewe ndiye utakae tumia gari so pambana tu uchukue utakayoridhika nayo..

Noah new model sikushauri kabisa!
 
Nashukuru kwa ushauri mkuu. Ngoja na mimi nitaingia huko Beforward nikaangalie bei zake. Huo ushuru wa 5.2 mil umepataje? Na hizo gharama zingine kama charges za bandari, clearance na service ya kuanzia, naweza kuzipata wapi ili nijipange nikienda niwe najua naenda kulipia tsh ngapi?
Ingia kwenye website ya TRA, tafuta calculator ya magari yaliyotumika. Ukiingiza taarifa za gari, mwisho uta click 'calculate'. Zipo nyuzi kadhaa humu ambazo tushaelekeza jinsi ya kuingiza hizo details za gari.
Shukran mkuu! Baada ya kutoka kanisani nimetumia muda mwingi kwenye internet kufanya ka utaafiti kidogo. Nimeingia kwenye website ya TRA na nimefanya calculation ya baadhi ya magari.

Nimegundua kwa bajeti ya 12mil nikiongezea kidogo nitapata gari yenye ubora mzuri. Spacio, Succeed na Raum naweza kupata. Zipo zingine pia kama Karina TI, Premio, Cami, Wish, n.k naweza kupata pia ila ngoja niendelee na utafiti wa hizo 3 za mwanzo kwanza.
Safi, pia angalia kama utapendezwa na Toyota Ractis. Nimepitia moja leo Beforward ya 2005 na ushuru wake, gharama ni around 11.5mil. Gharama za bandari mara nyingi hufahamika gari inapofika Dar. Ila kwa magari madogo huwa hazizidi 1mil.
 
Mkuu hizi Honda crossroad nimezipenda muundo wake ila wanasema spea zake zinasumbua na bei zake zimechangamka kidogo. Huku mkoani hazipo nyingi sana. Nimeona zipo za cc 1790 na 1990 na 2000
Ongeza 1M agiza Carina TI
Huwezi pata 7seater kwa hiyo budget za ya kupigwa
Au uamue kumvua mtu Wish au Sienta thou kwa hayo mazingira zitakutesa.

Ningekuwa mimi ndo wew ningevumilia kidogo nkajichanga ikafika 16 afu nkavuta Honda CrossRoad[emoji119]

Kwa maelezo yako yanaangukia kene iyo Honda basi
 
Kwa mahesabu ya nauli ya watu 6 ni bora kutumia private tu,mana umbali huo nauli ya mtu mmoja si chini ya elfu 50,plus vurug za wapiga debe,daladala na mambo kibaoooo,private ni bora asilimia 100.
Nauli ni 80,000 @ 1 x 5 x 2 =800,000. Hapo bado chakula na mambo mengine.
 
Baada ya kufuatilia baadhi ya magari waliyopendekeza wadau mbalimbali nimekutana na gari aina ya HONDA CROSSROAD, CC 1790, 7 seaters, ya mwaka 2007. Naomba ushauri wenu juu ya upatikanaji wa spea parts kwa hapa Dar na maeneo mengine na uimara wake.
 
Baada ya kufuatilia baadhi ya magari waliyopendekeza wadau mbalimbali nimekutana na gari aina ya HONDA CROSSROAD, CC 1790, 7 seaters, ya mwaka 2007. Naomba ushauri wenu juu ya upatikanaji wa spea parts kwa hapa Dar na maeneo mengine na uimara wake.

Kuna nyuzi humu tushazungzia sana kuhusu crossroads

Gari nzuri lkn chache.spare lazima ziwe expensive
Otherwise go for it,haiwezi kukushinda
 
Ndio mkuu unapata. Utakapokuwa tayari njoo Pm coz ndio mambo yangu hayo boss.
Kwa ushauri zaidi.
Alphard pasua kichwa mkuu... pia iko chini sana.. jamaa safari zake nyingi ni off road. Mshauri gari ngumu
 
Hizo Noah new shape hamna gari mule mkuu wala usijitamanishe.
Bora hizo old kama alivyokushauri mkuu hapo juu.
Ukipata Sr40 unaweza kutumia hata private na inapendeza pia.
Zina shida gani? Naziona zipo vizuri, haswa kama ni private. Unless uitumie kibiashara
 
Wakuu habari za asubuhi.

Ni matumaini yangu mmeamka salama siku hii ya pasaka.

Nina mpango wa kununua gari kwa bajeti ya Tshs 10M - 12M. Nipo mkoani na ni mara yangu ya kwanza kumiliki gari. Nina familia ya watu 6 yani wife watoto 3 na house girl.

Matumizi yangu ni kuendea kazini, kuwapeleka watoto shule, kwenda kanisani Jumapili na familia, kwenda mjini kununua mahitaji, na mara moja kwa mwaka kwenda kuwasalimia wazee kijijini.

Kutoka mahali ninapoishi hadi kazini kuna umbali wa 2Km rafu road, kwenda shuleni 3Km (1km rafu, 2Km rami), mjini 4Km (1Km rafu, 3Km rami), kanisani 2Km rafu road na kijijini kwa wazee ni 1150Km, takribani 70 rafu road baada kutoka mkoani.

Naomba ushauri kwa bajeti tajwa hapo juu naweza kupata gari gani inayoendana na matumizi yangu? Nikipata inayotumia mafuta kati ya 10Km - 15km/1Lt inaweza kunifaa.

Natanguliza shukrani za dhati.
Shem Nina Maoni tofaut kidogo na wengine hvyo km itakupendeza waweza kufuata.
Nashaur uchukuwe Used hapa hapa Bongo gar aina ya Mitsubish Outlander.
Itakufaa sana kwakuwa ni 7seat, Cormfortable, Stability, na Spear zake naona sikuhz zipo nying tuh Madukan ila bei kidogo imechangamka.

Halafu siyo Unamiliki gar ambayo ni Uniform kila sehem ukipita unazikuta.
km Ist, Spacio, na The like.

Sory Jaman kwa wamiliki wa Gr hizo[emoji1][emoji2][emoji2]
 
Back
Top Bottom