Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,518
- 6,506
Yeye mwenyewe the Late alikuwa mwizi na mjomba wake plus Bashite by thenMsishindane na marehemu fanyeni yenu ya onekane. Marehemu alifanya na yalionekana Mijizi na Mafisadi ndio hawakuona hilo. Sasa mnapomnanga marehemu tunajiuliza ndio tuseme mijizi na mafisadi wamechukua hatamu tena? Je mlioko serikalini na utumishi wa umati wa Watanzania ambao hamkubalini na majizi na mafisadi mtakaa muangalie kinyonge kinyonge na msifanye lolote?
Yeye mwenyewe the Late alikuwa mwizi na mjomba wake plus Bashite by then
Hapo kanigusa sana na pia vitakuwa huru sasa, uhuru wa Habar ulipotea sanaNimemkubali sana Mama.....Vyombo vya habari vilivyofungiwa vifunguliwe.
Hii kitu inafikirisha mkuu 🤔🤔🤔1. Baba Mbabe alikuwa hamshirikishi na huenda hata alitamani Kuachana nae.
2. Ushauri wake ulikuwa ukipuuzwa na kudharauliwa na Baba.
3. Hali ngumu ya Maisha imemkwaza Mama japo Baba aliona anatukomesha.
4. Aliwaamini sana Waliodharauliwa na Baba ambao walikuwa Weledi kuliko aliyowateua Yeye Baba.
5. Kuna Siri nyingi za Upigaji wa Miradi ya Baba ila alishindwa Kumwambia kwakuwa alishagundua anadharaulika nae.
6. Baba Kukitenga sana Kisiwa anakotoka Mama kulimkwaza akiamini hata Kisiwa pia kina Haki ya Keki Tamu na Nono ya Ardhi ya Tanzania.
7. Mama ameiva vyema Kidiplomasia na Kiustaraabu japo ana Ukali wa Kiumakini tofauti na Baba aliyekuwa na Ukali, Kukomoa, Chuki na Ujeuri wa Kibabe.
Ni mapema mno Kumpongeza Mama ila tusikatae kuwa dalili ya Mvua ni Mawingu na ' Body Language ' ya Mama inaonyesha kuwa Kilio cha Ugumu wa Maisha ya Watanzania ( Vyuma Kukaza ) hata na Yeye (Mama) inamuuma.
Hivyo Kipaumbele chake sasa ni Kuturudishia Tabasamu lililopotea katika Sura za Watanzania tokea tarehe 25 Oktoba, 2015 hadi 17 Machi, 2021.
Hapo kanigusa sana na pia vitakuwa huru sasa, uhuru wa Habar ulipotea sana
SawaTunaojiamini tu tuna uhakika nae 100%.
Wapi unaenda huko tujuzeTupishe wala hujaelewa vyema huu Uzi.
Naomba nikwambie tuu mie n muhanga wa maisha na niliathirika na transformation ya "The Magufuli effects" Ila Jambo jema nikuwa from day one kipindi anahutubia bungen siku ya kwanza Kama Rais nilimuelewa na nikajipanga katika line za maneno yake aliyokuwa anasema nilienda shambani japo kiubishi nikaumia nikarud mtaan ikawa ngumu nikatafuta kazi nikaajiriwa ikala kwangu nikarud mtaan Tena nikapata majanga maisha yakawa ngumu kama jiwe.Aisee watu walikua wanajituma sana tu lakini njia za mafanikio zilizimika kabisaaaaa. Lamda wewe ulikua kwenye mkondo wa neema ya wanayokula wenye nchi, au kunamisha fulani uliyakuta kutoka kwa familia yako au ulishaneemeka kipindi cha kikwete na ile msemo wa tembo hata akikonda hawezi kuwa kama mbuzi. Ila watu tunapambana brother na tunajibana sana lakini ilikuwa sio kazi nyepesi kwa mtu anayeanza maisha kutoboa kwenda level nyingine.
Hata Magu mwanzoni alijizolea sifa kama hivi.
Hapana mkuu.Kwa hiyo unapingana na rais?