Kwa CCM kuingiza siasa kwenye taifa stars, dua langu ni kesho tuaibishwe na Morocco

Hii ni taifa stars ya Mama
 
Kuifunga na kuishinda Morocco, nyumbani au ugenini, ni muujiza tu. Si mchawi wa CCM (kama kina mchawi) au wa Taifa Stars (kama ina mchawi) anayeweza kuifanya Taifa stars ishinde dhidi ya Morocco. Hakuna ha haja ya kuiombea Taifa Stars sababu hakuna wakati katika historia ya dunia ambapo maombi yaliwahi kuwa mbadala wa wajibu.

Mama anunue tu tiket 30k zaidi watu wakaishangile Taifa Stars lakini kama hiyo itakuwa na maslahi ya kisiasa atakuwa anawakosea sana watanzania wapenda soccer wenye itikadi mbali mbali za kisiasa.
 
Kwaninunatakiwa kuwa mwanachama au mpenzi/shabiki wa chama gani, ili kuiunga mkono Taifa Stars? CCM na mwenyekiti wao wanaharibu sana kuingiza siasa kwenye mpira.
😀 😀 acheni kucheza mpira myoyoni na saikologikali bana,

kwahiyo ukimwona samia tu mara moja bendera ya ccm inapepea😀
 
Mpumbavu wewe, namuunga mkono SSH na sera zake lakini huwezi kuniita chawa, kwangu mimi hilo neno ni tusi.

Kesho nitaishangilia Stars kwa sababu nafsi yangu ipo hivyo sitangulizi siasa kwenye mapenzi ya timu yangu ya taifa.

Chawa at work
 
Tanzania ni hii hii moja kama unaumia sana Tafuta nauli uhamie ncho jirani, hapo maisha yataendelea kama kawaida.
 
Acha kuleta visingizio Tanzania hatuna uwezo wa kuifunga moroco labda , miujiza itokee tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…