johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #61
Kwani kazi aliyoifanya hapo Chadema hujaiona.Wanababaika sanaaa.. Sijaiona popote jamaa wanayemsifia alipofanikiwa ktk ufanyaji kazi wa muda mrefu
Sent using Jamii Forums mobile app
Chukua hiyoKuna watu wamepiga shule lakini wako kimya kabisa tofauti na yule msomi wa uchumi first class aliyetumbuliwa baada ya kutunukiwa PhD.
Nimeipitia CV ya Dr Mashinji kisha nikavuta CV kadhaa za madaktari wetu pale Lumumba kiukweli sijamuona wa kufanana naye Jamaa ni kichwa ndio maana Chadema wameumia sana.
Nikasema hebu nivute na CV za makamanda wa Ufipa nikakuta ni yale yale jamaa aliwaacha mbali mno.
Sikuchoka nikasema hebu basi niivute CV ya aliyekuwa kipenzi cha Ufipa Dr Slaa hapo ndio nikabaki najichekea moyoni kimya kimya.
Kwa hakika hii hazina inatakiwa ipate uteuzi wa haraka ikatumike serikalini.
Niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!
Ameweza kuliokoa taifa kwa kiwango ambacho wewe huwezi kukiona bwashee!Hapana, mtu anaweza kuwa na makaratasi mazuri sana, lakini akawa hawezi kutekeleza mambo in the real world.
Sasa huyo Mashinji kwa level ya ukatibu mkuu wa chama cha siasa cha kitaifa kafanya kitu gani kipya?
Hahahaaaa....... Sasa yuko mahali sahihi kwa wakati sahihi so utaweza kumfanyia tathmini!
PhD unalialia njaKuna watu wamepiga shule lakini wako kimya kabisa tofauti na yule msomi wa uchumi first class aliyetumbuliwa baada ya kutunukiwa PhD.
Nimeipitia CV ya Dr Mashinji kisha nikavuta CV kadhaa za madaktari wetu pale Lumumba kiukweli sijamuona wa kufanana naye Jamaa ni kichwa ndio maana Chadema wameumia sana.
Nikasema hebu nivute na CV za makamanda wa Ufipa nikakuta ni yale yale jamaa aliwaacha mbali mno.
Sikuchoka nikasema hebu basi niivute CV ya aliyekuwa kipenzi cha Ufipa Dr Slaa hapo ndio nikabaki najichekea moyoni kimya kimya.
Kwa hakika hii hazina inatakiwa ipate uteuzi wa haraka ikatumike serikalini.
Niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!
Akienda jela familia yake utailisha wewe bwashee?!
Nafasi ya ukatibu mkuu wa CCM ndiyo nafasi anayofit huyu Dr.Mashiji apewe chance aokoe chama.Kwa elimu ile kazi ziko nyingi sana bwashee!
Hapo mezani kwa Dr Bashiru kuna rundo la barua za viongozi wa Chadema wanaoomba kujiunga CCM wakiwemo wabunge 17, wewe unataka chama gani kiokolewe hapo?!Nafasi ya ukatibu mkuu wa CCM ndiyo nafasi anayofit huyu Dr.Mashiji apewe chance aokoe chama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ningeweza kukiona ningekuuliza?Ameweza kuliokoa taifa kwa kiwango ambacho wewe huwezi kukiona bwashee!
Kuna watu wamepiga shule lakini wako kimya kabisa tofauti na yule msomi wa uchumi first class aliyetumbuliwa baada ya kutunukiwa PhD.
Nimeipitia CV ya Dr Mashinji kisha nikavuta CV kadhaa za madaktari wetu pale Lumumba kiukweli sijamuona wa kufanana naye Jamaa ni kichwa ndio maana Chadema wameumia sana.
Nikasema hebu nivute na CV za makamanda wa Ufipa nikakuta ni yale yale jamaa aliwaacha mbali mno.
Sikuchoka nikasema hebu basi niivute CV ya aliyekuwa kipenzi cha Ufipa Dr Slaa hapo ndio nikabaki najichekea moyoni kimya kimya.
Kwa hakika hii hazina inatakiwa ipate uteuzi wa haraka ikatumike serikalini.
Niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!
Tatizo liko wapi mbona Mbowe huwa anatulizwa na Job pale bungeni na huketi huku akichekacheka?!CV ya Prof.Palamaganda nayo iko vizuri sana,kuna siku aliambiwa wewe pamoja na kwamba ni mkubwa ila wewe ni mpumbavu akainuka kwenye kiti chake na akainamia kiti cha mh. Huku akicheka cheka kwa furaha.
Baada ya hapo ndipo nilipokuja kuziaminia PH.d/CV za Lumumba.
Ishiii chadema kafanya nini vile pale..Kuna watu wamepiga shule lakini wako kimya kabisa tofauti na yule msomi wa uchumi first class aliyetumbuliwa baada ya kutunukiwa PhD.
Nimeipitia CV ya Dr Mashinji kisha nikavuta CV kadhaa za madaktari wetu pale Lumumba kiukweli sijamuona wa kufanana naye Jamaa ni kichwa ndio maana Chadema wameumia sana.
Nikasema hebu nivute na CV za makamanda wa Ufipa nikakuta ni yale yale jamaa aliwaacha mbali mno.
Sikuchoka nikasema hebu basi niivute CV ya aliyekuwa kipenzi cha Ufipa Dr Slaa hapo ndio nikabaki najichekea moyoni kimya kimya.
Kwa hakika hii hazina inatakiwa ipate uteuzi wa haraka ikatumike serikalini.
Niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!
Ewaa, sasa hiyo meza akabidhiwe Dr.Mashiji ndiyo anawajulia vizuri hao walioleta maombi kujiunga na CCM.Hapo mezani kwa Dr Bashiru kuna rundo la barua za viongozi wa Chadema wanaoomba kujiunga CCM wakiwemo wabunge 17, wewe unataka chama gani kiokolewe hapo?!
Huyu Bashiru ndio ameifuta Chadema kwenye ramani ya Siasa za Tanzania.
Hapa tayari pua zimekutanuka unahema haraka-haraka umepanic.Tatizo liko wapi mbona Mbowe huwa anatulizwa na Job pale bungeni na huketi huku akichekacheka?!
Hayo ni mambo ya kawaida kwenye Siasa bwashee!
Wewe unajua Mbowe alimtoa wapi Dr Mashinji na kumpa ukatibu mkuu moja kwa moja?Ningeweza kukiona ningekuuliza?
Taja kiwango gani tujadili hapa, tuhakiki, isije kuwa unatufunga kamba tupu.
Hujajibu nilichokuuliza.Wewe unajua Mbowe alimtoa wapi Dr Mashinji na kumpa ukatibu mkuu moja kwa moja?
Unajua kwanini ni " sasa" Mbowe amemuachilia Dr Mashinji ajiunge CCM?
Unajua ni kwanini Dr Mashinji wakati anapokelewa CCM ametumia sare za Chadema na CCM?..... Yaani aliingia na Sweta ya mtaa wa Ufipa na kutoka na Shati ya mtaa wa Lumumba?
Usiku mwema bwashee!
Nani huyo wa kuhema haraka haraka?!
Kwa akili hizo utakijua baada ya bunge kuvunjwa!Hujajibu nilichokuuliza.
Mashinji kafanya kipi kipya?
Kwa kukusaidia tu pale mambo ya ndani patatokea nafasi soon kadhalika katika Tume ya Uchaguzi.Ewaa, sasa hiyo meza akabidhiwe Dr.Mashiji ndiyo anawajulia vizuri hao walioleta maombi kujiunga na CCM.
Sent using Jamii Forums mobile app