Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Uko sahihi.Hahahahaha..Mkuu sie wengine tukiandika majanga na history zetu utajiuliza nilifikaje hapa au ukahisi ni uongo..maana wengine wanaona ktk movie tu sasa sie tumeyapitia na ku experience..hapa tupo kufurahi mwanzo mwisho
Jamani weweππUnique Flower hakuweka tangazo humu kama la Leejay49 la kumpata mfumuasi wake maana matangazo yalikuwa bandika bandua humu eniwei imani yako itakuponya
Siumenitenga mpaka nauwawa saizi niache tu na hali yangu mkuuPole Mdogo wangu Unique Flower
Tatzo la ugonjwa wa akil ni kubwa braza,yote alaumiwe ccm...maisha yamekua magum sana kaka..amin hiloDishi lako linayumba kwa kasi sana
Haha Hawawezi kukuua Ungeniambia tu ungeona ningemfanya niniSiumenitenga mpaka nauwawa saizi niache tu na hali yangu mkuu
Kweli eh haya asanteHaha Hawawezi kukuua Ungeniambia tu ungeona ningemfanya nini
Yaani mdogo wangu anatalewa kafara na huniiti?jamaniπ€£π€£π€£π€£ Da mau hebu wataje tuwajue
Dr salama?tunamsaidiaje mdogo wetu kitaalamu?Pole Mdogo wangu Unique Flower
Umewaza kama mimi mkuu,, Unique Flower umefunga PM why?Kuna vitu tunachukulia kawaida sana, may be sijui lakini dunia Haina Huruma na watu Hawana huruma, huyu binti naona Kuna kitu kinatafuna moyo early, lakini wapi apate msaada? Jamiiforum iliyojinasibu kuwa ni home of greater thinker Ina mkejeli na kumwita chizi............. Infinity love will end all
Duuh umenikumbusha mbali sana mkuu, mwanzo kilifahamika kama "safari ya msafiri" badae "safari ya mshindi" kila alhamisi nilikuwa siachi kukisikiliza badae sijui ikawaje wakakiondoa kabisaUmenikumbusha kipindi nikiwa mdogo, nilifundishwa nisiposali usiku, majini na wachawi watanijia.
Nilikua nateseka sana, nilikua naogopa giza, kila muda nawaza kuna jini amenijia, nilikua naona vitu vya ajabu usiku, nikisikia kelele za ajabu nje mfano paka, silali.
Nataka kusema nini? Dini Ina dhana mbaya ya kutumia hofu ili kuwashikilia watu. Inafanya tuishi kwa woga sana.
Ukiumwa nenda hospitali kwanza ukajue kiini cha tatizo hayo mengine yatafuata baadae.
Hivi kile kipindi cha safari ya mshindi radio safina bado kipo? Nimevuta picha wewe unaweza kuwa mtu unaekifuatilia sana....