Lowasa alimwendea Kikwete kumweleza kuwa yeye ameamua kujiuzulu ili kuilinda Serikali. Kikwete alikataa ombi la Lowasa kujiuzulu, lakini marehemu alishikilia msimamo wake, akiamini ndiyo njia ya kuiokoa Serikali ya Kikwete isidondoke, na pengine ipate imani ya aina fulani toka kwaWabunge. Nilivyosoma tu hii sehemu niliangalia ID, hivi we lini utakuja kuwa na akili? We ni bure kabisa, umeshajichanganya mwenyewe na kuanza uzushi km ulivyo siku zote. Kweli mwongo n i mwongo tu na tabia haina dawa. Acha uzushi na uwongo havina posho
Ingekuwa ni dhulma wala asingeiacha Chadema na kurudi tena kule CCM kirahisi.Lowassa hata hakuhojiwa na kamati ya bunge kuhusu kashfa ya Richmond, hii peke yake ilionesha kutohusika kwake.. sasa Kikwete kukata jina la Lowassa lisiende kupigiwa kura ndio inayoitwa dhulma kwa wajumbe kukataliwa kumchagua mtu wanaemtaka na dhulma kwa Lowassa kwa kukataliwa nafasi ya kuweza kuchaguliwa!
kwahiyo tunakubaliana kuwa marehemu alikuwa miongoni mwa mafisadi na kaonewa na mafisadi wenzie katika harakati zao za kutaka kupeana vyeo ili wapate kuongeza mianya ya kufanya ufisadi zaidi...so marehemu hapaswi kuonewa huruma,wakuonewa huruma mwananchi ambaye alitegemea baada ya marehemu kujiuzulu labda angechukuliwa hatua au kutaifishwa baadhi ya mali zake kulingana na ufisadi alioufanya...unakumbuka yale malipo ya milioni 150+ kwa siku?Kaka, mafisadi ni wengi mnoo ndani ya CCM, wengi mnooo. Ila ilibidi EL achafuliwe kwa makusudi ili mambo 'yao' yaende. TIS ni ufisadi, madini kuna ufisadi, madawa, MSD, kuna ufisadi, Sukari ufisadi, Mafuta ya kula na ya mitambo ufisadi, ufisadi umeota mizizi ndani ya CCM, ila EL amefanywa alama ya taifa ya ufisadi! TANAPA na TANESCO kuna ufisadi wa kuda mtu
Hilo bwege we hujalizoea? Amejiconfuse mwenyewe. Eti CHADEMA ndiyo inamtegemea km mshauri wao?
A good analysis.Sasa, kama Lowassa alimwambia Kikwete anataka kujiuzulu, Kikwete akakataa, lakini Lowassa akalazimisha kujiuzulu, huoni Lowassa kajitakia mwenyewe kupigwa chini kwa kulazimisha kujiuzulu?
Ulitegemea vipi Kikwete aendelee ku support mbio za Urais za Lowassa baada ya Lowassa mwenyewe kulazimisha kujiuzulu kutokana na kashfa ya Richmond?
Yani ulitaka Kikwete ampigie kampeni ya urais Lowassa aliyeshindwa Uwaziri Mkuu kwa kashfa?
Huoni kwamba Lowassa ndiye aliyemsaliti Kikwete hapo kwa kulazimisha kujiuzulu na kumuachia manyanga Kikwete, wakati labda alihitajika kupambana akiwa upande wa serikali?
Mtu aliyejiuzulu Uwaziri Mkuu kutokana na msukosuko wa kashfa, unajuaje akipata urais na kupata msukosuko wa kashfa hatajiuzulu tena?
Lowassa alipewa mtihani wa uongozi, akashindwa. Kikwete akaona huyu kashindwa, twende na wengine.
Hata mimi ningemshangaa sana Kikwete kama angempigia kampeni Lowassa kwa sababu ni rafiki yake tu.
Ingekuwa ni dhulma wala asingeiacha Chadema na kurudi tena kule CCM kirahisi.
Hata JK kwenda Dodoma na majina matano na Lowassa kutokuwepo ni mpango wa Mungu pia, labda hujui namna Mungu anavyofanya kazi kupitia sisi katika maisha yetu ya kila siku.Hakuna maana pana hapo mkuu, mchakato wote unahusisha watu na watu ndio wanapitisha watu wachaguliwe kuwa marais. Rais Kikwete inaaminika alienda Dodoma na majina yake matano ya mfukoni, labda kama unataka kusema Mzee Kikwete ni Mungu.
Mungu amekupa Pumzi uyatafute maarifa, Mungu hajawahi kumfanyia mtu chaguo hapa duniani.
Alikueleza hayo ama umejitungia tu?Pale alipo anajikaza kisabuni hana amani katika nafsi yake; na hiyo ndio itakayomtafuna!
CCM gani wewe unayoizungumzia? Hiyo ambayo wajumbe wengi wakiwemo kina Nchimbi, Sophia Simba, Kimbisa, Bashe, Musukuma n.k walifura hadi kuanza kuimba wana imani na Lowassa baada ya kutoliona jina lake??
Katika watu walio yumbisha taifa ni huyu Mzee Kikwete, ni Jambazi sugu limejificha kwenye kichaka cha Urais mstaafu, mauji mengi ya wanasiasa ana kwa njia moja au nyingine, mnafiki ni balaa, lakini wananchi wamesha mshitukiaHakuna mnafiki aliyejaa ghiliba kama Jakaya! amemuambukiza na mchepuko wake saa100!
Kikwete alifanya maasi mengi sana kimya kimya huku akitoa meno nje kama anatabasamu la mbwa aliyeona mfupa!
Jakaya alijipendekeza akaanzisha mchakato wa katiba mpya baadaye akaja akaufuta. Huyu ndiye majinuni mkubwa kwenye taifa hili.
Jakata alishiriki wizi wote mkubwa kuanzia richmond (ambayo alimsukumia EL akafa nayo.
Escrow: Magunia ya Noti yalipelekwa ikulu kwa maelekezo ya Jakaya. Huyu ni wa kukamata kabla hajatutoka! kupoteza ushahidi!!!
Uchunguzi huru ukifanyika utawakamata Jakaya na saa100 kwa mauti ya Magu! trust me>
Kurogana vile vile vilikuwa wazi mno!
Hakuna trick yoyote, hiyo ni bahati ya mtende tu ilimdondokea jiwe, njia zote zilikuwa zimechorwa kuelekea kwa jasusi wa Rondo. Wajumbe waliomuweka ENL moyoni ndio walioamua kama wenzao jikoni wamemwaga mboga basi wao bora wamwage ugali tu wote wakose walale njaa.Kumuweke Magufuli ni trick mpya kwa vile hakuwa na kashfa kwa sana , Magufuli sio mkamilifu ila angalau alikuwa anajulikana kwa utendaji kazi wake .