Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
- Thread starter
- #281
Lowasa alimwendea Kikwete kumweleza kuwa yeye ameamua kujiuzulu ili kuilinda Serikali. Kikwete alikataa ombi la Lowasa kujiuzulu, lakini marehemu alishikilia msimamo wake, akiamini ndiyo njia ya kuiokoa Serikali ya Kikwete isidondoke, na pengine ipate imani ya aina fulani toka kwaWabunge. Nilivyosoma tu hii sehemu niliangalia ID, hivi we lini utakuja kuwa na akili? We ni bure kabisa, umeshajichanganya mwenyewe na kuanza uzushi km ulivyo siku zote. Kweli mwongo n i mwongo tu na tabia haina dawa. Acha uzushi na uwongo havina posho
Hoja zangu ni kwaajili ya watu wenye akili timamu, upeo mpana na wakweli wa nafsi. Wewe haikuhusu.