Kwa dhuluma ambayo Jakaya Kikwete alimfanyia Mzee Lowassa, ataumaliza uzee wake bila amani

Kuna aliye msafi kwenye huo mfumo? Humo kila mtu anakula kulingana na urefu wa kamba yake humo.
rejea uzi una,mtoa mada ana hanikiza huruma kwa lowassa ndo maana nikaleta haya yote,hakuna mwanasiasa kwenye taifa hili anatakiwa aonewe huruma labda wapinzani coz hawapo kwenye hiyo mifumo tunayoizungumza hapa
 
Kuna mengi ya kiusalama yaliyomfanya ENL ashindwe kuwa rais wa TZ, naamini hatuyajui tunafanya kuandika ubashiri wetu. Alianza kukataliwa na Mwalimuu JKN akaja kukataliwa na mwanafunzi wa Mwalimu miaka 20 baadae hao wakongwe wa siasa wanazo sababu zenye mashiko za kwanini walilikata jina lake.

Mengineyo ni maongezi ya hisia tu hayana uwezo wa kubadili ukweli kwamba alizaliwa akatimiza wajibu wake na hatimeye Bwana amemtwaa.
 
Majitu ya Pwani huwa ni ovyo na hayajali. Hili jambazi la msoga halijali chochote
 
Umeandika vizur sana. Huyu JK kizazi chake kitaishi kwa laana. Na hata, yeye atapata mapigo mazito. Huyu mzee anawafanya watanzania mazuzu wakati yeye ndio zuzu. Siri zake zote, zitawekwa, hadharani.
 
mkuu unamwonea imani Lowasa vp ufisadi wake alioufanya kutajirisha familia yake...hutuonei huruma sisi watanzania!!!
au na wewe family member
Lowassa anasingiziwa kwa ufisadi ambao hajawahi kuufanya.
 
Umeandika vizur sana. Huyu JK kizazi chake kitaishi kwa laana. Na hata, yeye atapata mapigo mazito. Huyu mzee anawafanya watanzania mazuzu wakati yeye ndio zuzu. Siri zake zote, zitawekwa, hadharani.

haya mashambulizi yote yalipaswa ayapate rostamu huyo ndo devil namba 1 tanzagiza sema kama kawaida anatuma niggas mbele wauwane wao kwa wao, yeye anachekelea tu benki na sasa hivi yuko vatikani au sijui norwayi kwa gharama zetu ofcourse …
 
Umeandika vizur sana. Huyu JK kizazi chake kitaishi kwa laana. Na hata, yeye atapata mapigo mazito. Huyu mzee anawafanya watanzania mazuzu wakati yeye ndio zuzu. Siri zake zote, zitawekwa, hadharani.
Dua la kuku
 
Kuna kipindi rais wa Zimbabwe Robert Mugabe alichoka kuibaiba chaguzi, akasema tuwaachie hawa wapinzani.

Wale watu wa security organs wakamwambia haaachiwi mtu hapa. Sisi tushawapiga na kuwaua sana hawa wapinzani. Wakija kuchukua nchi watatulipizia kisasi.

Wakamwambia wewe Mugabe kaa utulie, sisi tutafanya michezo yetu.

Rais mwenyewe kuna wakati anakuwa hostage wa system.

Sasa, sisi badala ya kuangalia mfumo, tuubadilishe, tunaangalia mtu.

Hatuwezi kumaliza matatizo ya kimfumo kwa kutafuta lawama za mtu.
 
Wewe ndiye umepanic. Mimi mara zote first post inakuwa na makosa halafu na edit.

Wewe ndiye umepanic.
Hakuna ku panic hata kidogo, sababu nyingine ilinifanya nikuache upoe ni baada ya kuona kwenye huu uzi unagombaniwa kama mpira wa kona, kila mmoja anataka kufunga kupitia wewe, ndio maana kichwa yako inapata moto.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Kugombaniwa mimi ni kawaida, kwa sababu huwa sijali watu wanafikiri au wanapenda nini, huwa najieleza ninavyofikiri mimi kwa kiasi changu, kwa kuangalia ukweli ninavyouelewa.

Ila kunradhi, ukiona post ya kwanza ina typos nipe dakika chache, yumkini post ya kwanza inapita na typos lakini mara nyingi huwa narekebisha right away.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…