Kwa dhuluma ambayo Jakaya Kikwete alimfanyia Mzee Lowassa, ataumaliza uzee wake bila amani

Kwa dhuluma ambayo Jakaya Kikwete alimfanyia Mzee Lowassa, ataumaliza uzee wake bila amani

Madaraka makubwa, usipokuwa na hekima, hasa hekima ya Mungu, yanalevya. Na ukikosa hekima unaweza kudhania kuwa wewe ni kila kitu, kwa sababu hakuna wa kukuhoji wala kukuadhibu.

Mathalani madaraka ya Rais wa Tanzania, anaweza kuyatumia vyovyote apendavyo, hata kuua, akitaka, na asihojiwe wala kushtakiwa mahali popote Duniani.

Lakini hawa watawala, kwa kukosa hekima huwa wanaamini kuwa hawawezi kuhojiwa Duniani, ahera wala hata na nafsi zao.

Marehemu Lowasa, aliuishi uaminifu kwa urafiki wake na Kikwete, lakini Kikwete alimsaliti na kumdhulumu rafiki yake.

Lowasa alijitoa kwa nguvu na moyo wake wote katika kuhakikisha Kikwete anakuwa Rais. Hata ndege iliyompeleka Kikwete Dodoma wakati anautafuta Urais, naambiwa iligharamiwa na Lowasa.

Serikali ya Kikwete ipopata msukosuko kutokana na kashfa ya Richmond, huku Msabaha akitamka wazi kuwa zigo la Richmond halikuwa lake kama waziri, kwa sababu wakati wote aliwasiliana na Serikali kupitia Waziri Mkuu, na hivyo kama kuna makosa, basi ni makosa ya Serikali nzima, Lowasa alimwendea Kikwete kumweleza kuwa yeye ameamua kujiuzulu ili kuilinda Serikali. Kikwete alikataa ombi la Lowasa kujiuzulu, lakini marehemu alishikilia msimamo wake, akiamini ndiyo njia ya kuiokoa Serikali ya Kikwete isidondoke, na pengine ipate imani ya aina fulani toka kwaWabunge.

Katikati ya safari yao, tofauti na makubaliano yao ya awali kuwa yeye marehemu amsaidie Kikwete kuwa Rais 2005, halafu Kikwete amsaidie marehemu kuutafuta Urais mwaka 2015, Kikwete alimtosa rafiki yake na kutaka Urais uende kwa mdogo wake.

Kikwete akifahamu wazi kuwa hakukuwa na mgombea yeyote ndani ya CCM na hata nje, wa kumzidi marehemu, akatumia madaraka yake, kuliondoa jina la Lowasa, lisipelekwe kwenye mkutano mkuu wa CCM.

Huku zaidi ya wajumbe 2,000 wa mkutano mkuu wa CCM wakiwa wamejiandaa kumpigia kura Lowasa RIP, kwa mshangao mkubwa wakaambiwa jina la Lowasa halipo.

Wajumbe wa mkutano mkuu, baada ya kuujua ukweli namna Kikwete alivyodhulumu haki ya rafiki yake wa awali ili Urais uende kwa mdogo wake, wakaitana nje, wakaambizana kuwa wale wote waliokuwa wamejiandaa kumchagua Lowasa, kura zao wampe mgombea aliyeonekana dhaifu kuliko wote, na ambaye amewekwa na Kikwete kama chambo. Ndipo ushindi ulipomwangukia Magufuli RIP.

Lowasa hakukata tamaa, aliamua kugombea nafasi ile ile kupitia CHADEMA. Sote tunayakumbuka mafuriko ya Lowasa. Lakini Kikwete akiwa amefunga mkataba wa kudumu wa kumdhulumu marehemu, huku majumuisho ya kura kutoka vituoni yakionesha wazi kuwa Lowasa alikuwa anaongoza kwa kura nyingi, aliwatuma Polisi kwenda kuvamia kituo cha ujumlishaji kura za Lowasa, wakapora computers zote, na kuwaweka mahabusu wajumlishaji wa kura.

Watanzania, nyakati hizi, tunaombeleza msiba wa Edward Lowasa, ambaye kiuhalisia ndiye aliyechaguliwa na wananchi kuwa Rais wa JMT mwaka 2015.

Lakini ni Kikwete pia, ndiye aliyemdhulumu ushindi wa Urais wa Zanzibar, Maalim Seif RIP.

Dhuluma ya Kikwete kwa marehemu hawa, itaitafuna nafsi yake mpaka siku yake ya mwisho. Madaraka yalimlevya, akaisahau haki. Akasahau kuwa madaraka ni kitu cha kuja na kupita, lakini haki huamua maisha yako ya leo na ya umilele.

Nina hakika, hata wakati huu wamsiba, watu watamtazama Kikwete kwa kujiuliza maswali mengi sana. Je, anaupenda sana na kuisikitikia mwili wa marehemu kuliko nafsi ya marehemu ilipokuwa hai?

Ndugu zangu, tutendeni haki ili tuwe na amani hadi siku za uzee wetu.

Kwa heri Lowasa, mtu uliyependwa na Watanzania walio wengi, ukadhulumiwa na wachache.

Mungu wa rehema, tunakuomba umtuze mja wako kwa raha ya milele kwani aliyathamini uhai wa wengine kuliko madaraka yake binafsi.
Bams siku hizi mada zako hazina kichwa wala miguu.
 
Nimeona huko X jamaa wanamuwakia moto huyu mzee, yaani walikuwa wanamsubiri aongee tu waluke naye.

Kuna picha nimeiona kwa karibu mzee anazeeka kwa hatua za haraka sana, mara nyingi dhuruma huwa haipiti hivi hivi, inakutafuna ukiwa hujijui, muangalie yule dokta pale JKIC anavyoliwa!.
Ujinga kipaji. Kati ya Lowasa na Kikwete, nani aliyezeeka haraka? Chuki zenu kwa JK haziwafikishi popote.
 
Madaraka makubwa, usipokuwa na hekima, hasa hekima ya Mungu, yanalevya. Na ukikosa hekima unaweza kudhania kuwa wewe ni kila kitu, kwa sababu hakuna wa kukuhoji wala kukuadhibu.

Mathalani madaraka ya Rais wa Tanzania, anaweza kuyatumia vyovyote apendavyo, hata kuua, akitaka, na asihojiwe wala kushtakiwa mahali popote Duniani.

Lakini hawa watawala, kwa kukosa hekima huwa wanaamini kuwa hawawezi kuhojiwa Duniani, ahera wala hata na nafsi zao.

Marehemu Lowasa, aliuishi uaminifu kwa urafiki wake na Kikwete, lakini Kikwete alimsaliti na kumdhulumu rafiki yake.

Lowasa alijitoa kwa nguvu na moyo wake wote katika kuhakikisha Kikwete anakuwa Rais. Hata ndege iliyompeleka Kikwete Dodoma wakati anautafuta Urais, naambiwa iligharamiwa na Lowasa.

Serikali ya Kikwete ipopata msukosuko kutokana na kashfa ya Richmond, huku Msabaha akitamka wazi kuwa zigo la Richmond halikuwa lake kama waziri, kwa sababu wakati wote aliwasiliana na Serikali kupitia Waziri Mkuu, na hivyo kama kuna makosa, basi ni makosa ya Serikali nzima, Lowasa alimwendea Kikwete kumweleza kuwa yeye ameamua kujiuzulu ili kuilinda Serikali. Kikwete alikataa ombi la Lowasa kujiuzulu, lakini marehemu alishikilia msimamo wake, akiamini ndiyo njia ya kuiokoa Serikali ya Kikwete isidondoke, na pengine ipate imani ya aina fulani toka kwaWabunge.

Katikati ya safari yao, tofauti na makubaliano yao ya awali kuwa yeye marehemu amsaidie Kikwete kuwa Rais 2005, halafu Kikwete amsaidie marehemu kuutafuta Urais mwaka 2015, Kikwete alimtosa rafiki yake na kutaka Urais uende kwa mdogo wake.

Kikwete akifahamu wazi kuwa hakukuwa na mgombea yeyote ndani ya CCM na hata nje, wa kumzidi marehemu, akatumia madaraka yake, kuliondoa jina la Lowasa, lisipelekwe kwenye mkutano mkuu wa CCM.

Huku zaidi ya wajumbe 2,000 wa mkutano mkuu wa CCM wakiwa wamejiandaa kumpigia kura Lowasa RIP, kwa mshangao mkubwa wakaambiwa jina la Lowasa halipo.

Wajumbe wa mkutano mkuu, baada ya kuujua ukweli namna Kikwete alivyodhulumu haki ya rafiki yake wa awali ili Urais uende kwa mdogo wake, wakaitana nje, wakaambizana kuwa wale wote waliokuwa wamejiandaa kumchagua Lowasa, kura zao wampe mgombea aliyeonekana dhaifu kuliko wote, na ambaye amewekwa na Kikwete kama chambo. Ndipo ushindi ulipomwangukia Magufuli RIP.

Lowasa hakukata tamaa, aliamua kugombea nafasi ile ile kupitia CHADEMA. Sote tunayakumbuka mafuriko ya Lowasa. Lakini Kikwete akiwa amefunga mkataba wa kudumu wa kumdhulumu marehemu, huku majumuisho ya kura kutoka vituoni yakionesha wazi kuwa Lowasa alikuwa anaongoza kwa kura nyingi, aliwatuma Polisi kwenda kuvamia kituo cha ujumlishaji kura za Lowasa, wakapora computers zote, na kuwaweka mahabusu wajumlishaji wa kura.

Watanzania, nyakati hizi, tunaombeleza msiba wa Edward Lowasa, ambaye kiuhalisia ndiye aliyechaguliwa na wananchi kuwa Rais wa JMT mwaka 2015.

Lakini ni Kikwete pia, ndiye aliyemdhulumu ushindi wa Urais wa Zanzibar, Maalim Seif RIP.

Dhuluma ya Kikwete kwa marehemu hawa, itaitafuna nafsi yake mpaka siku yake ya mwisho. Madaraka yalimlevya, akaisahau haki. Akasahau kuwa madaraka ni kitu cha kuja na kupita, lakini haki huamua maisha yako ya leo na ya umilele.

Nina hakika, hata wakati huu wamsiba, watu watamtazama Kikwete kwa kujiuliza maswali mengi sana. Je, anaupenda sana na kuisikitikia mwili wa marehemu kuliko nafsi ya marehemu ilipokuwa hai?

Ndugu zangu, tutendeni haki ili tuwe na amani hadi siku za uzee wetu.

Kwa heri Lowasa, mtu uliyependwa na Watanzania walio wengi, ukadhulumiwa na wachache.

Mungu wa rehema, tunakuomba umtuze mja wako kwa raha ya milele kwani aliyathamini uhai wa wengine kuliko madaraka yake binafsi.
hakuna dhulma ambayo jk alimfanyia lowassa,kuhusu urais haikuwa uamuzi wa jk pekee,ni ccm tuache ujinga
 
Kuna kipindi rais wa Zimbabwe Robert Mugabe alichoka kuibaiba chaguzi, akasema tuwaachie hawa wapinzani.

Wale watu wa security organs wakamwambia haaachiwi mtu hapa. Sisi tushawapiga na kuwaua sana hawa wapinzani. Wakija ku hujua nchi watatulipizia kisasi.

Wakamwambia wewe Mugabe kaa utukie, sisi tutafanya michezo yetu.

Rais mwenyewe kuna wakati anakuwa hostage wa system.

Sasa, sisi badala ya kuangalia mfumo, tuubadikishe, tunaangalia mtu.

Hatuwezi kumaliza matatizo ya kimfumo kwa kutafuta lawama za mtu.


Huo Mfumo unaundwa na hao hao watu.

Hao watu ni matokeo ya jamii, wao na wanaowongoza ni pipa na mfuniko.

Sasa hapo Mfumo tutaubadirisha vipi ikiwa kansa imesambaa kiasi hiki?!

Na sasa tuko kwenye era ya Siasa za kulambana miguu. Kazi ipo.
 
Madaraka makubwa, usipokuwa na hekima, hasa hekima ya Mungu, yanalevya. Na ukikosa hekima unaweza kudhania kuwa wewe ni kila kitu, kwa sababu hakuna wa kukuhoji wala kukuadhibu.

Mathalani madaraka ya Rais wa Tanzania, anaweza kuyatumia vyovyote apendavyo, hata kuua, akitaka, na asihojiwe wala kushtakiwa mahali popote Duniani.

Lakini hawa watawala, kwa kukosa hekima huwa wanaamini kuwa hawawezi kuhojiwa Duniani, ahera wala hata na nafsi zao.

Marehemu Lowasa, aliuishi uaminifu kwa urafiki wake na Kikwete, lakini Kikwete alimsaliti na kumdhulumu rafiki yake.

Lowasa alijitoa kwa nguvu na moyo wake wote katika kuhakikisha Kikwete anakuwa Rais. Hata ndege iliyompeleka Kikwete Dodoma wakati anautafuta Urais, naambiwa iligharamiwa na Lowasa.

Serikali ya Kikwete ipopata msukosuko kutokana na kashfa ya Richmond, huku Msabaha akitamka wazi kuwa zigo la Richmond halikuwa lake kama waziri, kwa sababu wakati wote aliwasiliana na Serikali kupitia Waziri Mkuu, na hivyo kama kuna makosa, basi ni makosa ya Serikali nzima, Lowasa alimwendea Kikwete kumweleza kuwa yeye ameamua kujiuzulu ili kuilinda Serikali. Kikwete alikataa ombi la Lowasa kujiuzulu, lakini marehemu alishikilia msimamo wake, akiamini ndiyo njia ya kuiokoa Serikali ya Kikwete isidondoke, na pengine ipate imani ya aina fulani toka kwaWabunge.

Katikati ya safari yao, tofauti na makubaliano yao ya awali kuwa yeye marehemu amsaidie Kikwete kuwa Rais 2005, halafu Kikwete amsaidie marehemu kuutafuta Urais mwaka 2015, Kikwete alimtosa rafiki yake na kutaka Urais uende kwa mdogo wake.

Kikwete akifahamu wazi kuwa hakukuwa na mgombea yeyote ndani ya CCM na hata nje, wa kumzidi marehemu, akatumia madaraka yake, kuliondoa jina la Lowasa, lisipelekwe kwenye mkutano mkuu wa CCM.

Huku zaidi ya wajumbe 2,000 wa mkutano mkuu wa CCM wakiwa wamejiandaa kumpigia kura Lowasa RIP, kwa mshangao mkubwa wakaambiwa jina la Lowasa halipo.

Wajumbe wa mkutano mkuu, baada ya kuujua ukweli namna Kikwete alivyodhulumu haki ya rafiki yake wa awali ili Urais uende kwa mdogo wake, wakaitana nje, wakaambizana kuwa wale wote waliokuwa wamejiandaa kumchagua Lowasa, kura zao wampe mgombea aliyeonekana dhaifu kuliko wote, na ambaye amewekwa na Kikwete kama chambo. Ndipo ushindi ulipomwangukia Magufuli RIP.

Lowasa hakukata tamaa, aliamua kugombea nafasi ile ile kupitia CHADEMA. Sote tunayakumbuka mafuriko ya Lowasa. Lakini Kikwete akiwa amefunga mkataba wa kudumu wa kumdhulumu marehemu, huku majumuisho ya kura kutoka vituoni yakionesha wazi kuwa Lowasa alikuwa anaongoza kwa kura nyingi, aliwatuma Polisi kwenda kuvamia kituo cha ujumlishaji kura za Lowasa, wakapora computers zote, na kuwaweka mahabusu wajumlishaji wa kura.

Watanzania, nyakati hizi, tunaombeleza msiba wa Edward Lowasa, ambaye kiuhalisia ndiye aliyechaguliwa na wananchi kuwa Rais wa JMT mwaka 2015.

Lakini ni Kikwete pia, ndiye aliyemdhulumu ushindi wa Urais wa Zanzibar, Maalim Seif RIP.

Dhuluma ya Kikwete kwa marehemu hawa, itaitafuna nafsi yake mpaka siku yake ya mwisho. Madaraka yalimlevya, akaisahau haki. Akasahau kuwa madaraka ni kitu cha kuja na kupita, lakini haki huamua maisha yako ya leo na ya umilele.

Nina hakika, hata wakati huu wamsiba, watu watamtazama Kikwete kwa kujiuliza maswali mengi sana. Je, anaupenda sana na kuisikitikia mwili wa marehemu kuliko nafsi ya marehemu ilipokuwa hai?

Ndugu zangu, tutendeni haki ili tuwe na amani hadi siku za uzee wetu.

Kwa heri Lowasa, mtu uliyependwa na Watanzania walio wengi, ukadhulumiwa na wachache.

Mungu wa rehema, tunakuomba umtuze mja wako kwa raha ya milele kwani aliyathamini uhai wa wengine kuliko madaraka yake binafsi.
Kifo cha huyu mzee itakua fraha ya watanzania wengi
 
Huo Mfumo unaundwa na hao hao watu.

Hao watu ni matokeo ya jamii, wao na wanaowongoza ni pipa na mfuniko.

Sasa hapo Mfumo tutaubadirisha vipi ikiwa kansa imesambaa kiasi hiki?!

Na sasa tuko kwenye era ya Siasa za kulambana miguu. Kazi ipo.
Mfumo unabadilishwa kwa uwazi, sheria, teknolojia, ushirikishwaji wa umma.

Mpaka leo bungeni mambo yanapitishwa kwa kura za sauti. Kura mbunge anapiga bila kuogopa personal responsibility.

Ilitakiwa kura zote muhimu zirekodiwe kwa majina mbunge gani kapiga kura ku support mkataba wa Dubai kuchukua bandari, halafu wananchi wanaopinga jambo hilo wote wawajue wabunge kwa majina nani kapiga kura vipi, wawabane. Sasa hivi tunasema tu "bunge limeridhia" lakini hakuna personal accountability kwa mbunge mmoja mmoja.

Sanasana tutasema tu Halima Mdee alipinga.

Sasa, ukiweka mfumo wenye uwazi zaidi, hata mbunge anayetakankupigabkura ya kijinga lazima atajiuliza mara mbili, maana anajua atabanwa kwa ushahidi mkubwa.

Hao watu unaowasema ni pipa na mfuniko, inabidi wenye nia nzuri na elimu bora wa speak up zaidi, wapo, tatizo wajinga wenye hila wanapewa promo kuliko wenye akili na nia nzuri.
 
Bado nasoma toka J3 naitafuta dhulma aliyofanya JK Kwa swaiba wake bado sijaisoma popote pale, zaidi zaidi ninachoona ni watu kutaka EL apewe Urais kwa minajili ya uswaiba na malipo ya fadhila.

Kuna watu wanasema eti alimdhulumu kwa kukata jina lake kamati kuu mara oooh tume ya uchaguzi hata baada ya EL kwenda CDM.

Kwa tafsiri yao maana yake huyu JK ana miguvu kuliko mfumo na mtu yeyote nchi hii, ina maana hata nguvu na ushawishi tulioambiwa EL alikuwa nao hakuwa nao.
1995 JKN alilikata jina la EL mapema Sana na JK baada ya kushinda pia allimkata lakini hatukusikia mtu akimlaumu JKN alimdhulumu JK baadala yake tulimpigia makofi JKN.
2005 BWM hakumpenda JK na chaguo lake na wazee alikuwa ni SAS lakini baadala yake BWM na Wazee nguvu ya JK iliwatisha wakaogopa kumchinja JK.
2015 JK allimkata EL Kwa tafsiri yake hakuiogopa nguvu ya EL.
 
Bado nasoma toka J3 naitafuta dhulma aliyofanya JK Kwa swaiba wake bado sijaisoma popote pale, zaidi zaidi ninachoona ni watu kutaka EL apewe Urais kwa minajili ya uswaiba na malipo ya fadhila.

Kuna watu wanasema eti alimdhulumu kwa kukata jina lake kamati kuu mara oooh tume ya uchaguzi hata baada ya EL kwenda CDM.

Kwa tafsiri yao maana yake huyu JK ana miguvu kuliko mfumo na mtu yeyote nchi hii, ina maana hata nguvu na ushawishi tulioambiwa EL alikuwa nao hakuwa nao.
1995 JKN alilikata jina la EL mapema Sana na JK baada ya kushinda pia allimkata lakini hatukusikia mtu akimlaumu JKN alimdhulumu JK baadala yake tulimpigia makofi JKN.
2005 BWM hakumpenda JK na chaguo lake na wazee alikuwa ni SAS lakini baadala yake BWM na Wazee nguvu ya JK iliwatisha wakaogopa kumchinja JK.
2015 JK allimkata EL Kwa tafsiri yake hakuiogopa nguvu ya EL.
Wote hao walikataliwa na JKN kitambo sana !
EL aliambiwa ananuka utajiri maana yake ilivyotafsiriwa ni kwamba akikaa pale juu atajilimbikizia mali kupita maelezo !
JK aliambiwa bado mdogo, maana yake ilivyotafsiriwa ni kwamba alimuona ni mtu mwenye kupenda anasa anasa !
Kila mtu aliona nini kilichotokea baada ya hao Waheshimiwa kushika nyadhifa za juu kabisa Nchini ambazo JKN aliona two boys Men hawastahili kuwepo pale juu !
 
haya mashambulizi yote yalipaswa ayapate rostamu huyo ndo devil namba 1 tanzagiza sema kama kawaida anatuma niggas mbele wauwane wao kwa wao, yeye anachekelea tu benki na sasa hivi yuko vatikani au sijui norwayi kwa gharama zetu ofcourse …
Punguza roho ya chuki, unajuaje kuwa ni gharama zako zilizompeleka huko aliko hivi sasa?.
 
Kwamba Lowassa 'Urais ulikuwa ni Haki yake kutoka Kwa Mungu' kwahiyo kadhulumiwa?

Cha ajabu wanaolia Lia na hili ni Chadema. Kama Lowassa aliona CCM wamemdhulumu why alirudi CCM?
Kama alisamehe why Chadema inawauma sana?

Lowassa hii Haki ya kuwa Rais ilitoka wapi?si na Kambona nae watoto wake watadai Nyerere alimdhulumu Urais?watoto wa Sokoine je waseme Baba Yao aliuwawa ili asiwe Rais?

Mijitu mizima inalialia na consipiracy theory za kitoto kabisa

ENL Kama mtanzania wengine ni haki yake kuwa rais,Kama kuna namna JMK alisaidiwa na ENL akaukwaa urais na alilpewa Nguvu na mwenzake basi alipaswa kulipa Fadhira kam nature ya urafiki ilivyo. pokea na baadae utoe.

Kama alimfanyia Figisu pia mwenzake badala ya kumpa mkono alikosea sana.

Mtasema hii nchi ingemalizwa na ENL vipi kama angeiimalisha?
 
Madaraka makubwa, usipokuwa na hekima, hasa hekima ya Mungu, yanalevya. Na ukikosa hekima unaweza kudhania kuwa wewe ni kila kitu, kwa sababu hakuna wa kukuhoji wala kukuadhibu.

Mathalani madaraka ya Rais wa Tanzania, anaweza kuyatumia vyovyote apendavyo, hata kuua, akitaka, na asihojiwe wala kushtakiwa mahali popote Duniani.

Lakini hawa watawala, kwa kukosa hekima huwa wanaamini kuwa hawawezi kuhojiwa Duniani, ahera wala hata na nafsi zao.

Marehemu Lowasa, aliuishi uaminifu kwa urafiki wake na Kikwete, lakini Kikwete alimsaliti na kumdhulumu rafiki yake.

Lowasa alijitoa kwa nguvu na moyo wake wote katika kuhakikisha Kikwete anakuwa Rais. Hata ndege iliyompeleka Kikwete Dodoma wakati anautafuta Urais, naambiwa iligharamiwa na Lowasa.

Serikali ya Kikwete ipopata msukosuko kutokana na kashfa ya Richmond, huku Msabaha akitamka wazi kuwa zigo la Richmond halikuwa lake kama waziri, kwa sababu wakati wote aliwasiliana na Serikali kupitia Waziri Mkuu, na hivyo kama kuna makosa, basi ni makosa ya Serikali nzima, Lowasa alimwendea Kikwete kumweleza kuwa yeye ameamua kujiuzulu ili kuilinda Serikali. Kikwete alikataa ombi la Lowasa kujiuzulu, lakini marehemu alishikilia msimamo wake, akiamini ndiyo njia ya kuiokoa Serikali ya Kikwete isidondoke, na pengine ipate imani ya aina fulani toka kwaWabunge.

Katikati ya safari yao, tofauti na makubaliano yao ya awali kuwa yeye marehemu amsaidie Kikwete kuwa Rais 2005, halafu Kikwete amsaidie marehemu kuutafuta Urais mwaka 2015, Kikwete alimtosa rafiki yake na kutaka Urais uende kwa mdogo wake.

Kikwete akifahamu wazi kuwa hakukuwa na mgombea yeyote ndani ya CCM na hata nje, wa kumzidi marehemu, akatumia madaraka yake, kuliondoa jina la Lowasa, lisipelekwe kwenye mkutano mkuu wa CCM.

Huku zaidi ya wajumbe 2,000 wa mkutano mkuu wa CCM wakiwa wamejiandaa kumpigia kura Lowasa RIP, kwa mshangao mkubwa wakaambiwa jina la Lowasa halipo.

Wajumbe wa mkutano mkuu, baada ya kuujua ukweli namna Kikwete alivyodhulumu haki ya rafiki yake wa awali ili Urais uende kwa mdogo wake, wakaitana nje, wakaambizana kuwa wale wote waliokuwa wamejiandaa kumchagua Lowasa, kura zao wampe mgombea aliyeonekana dhaifu kuliko wote, na ambaye amewekwa na Kikwete kama chambo. Ndipo ushindi ulipomwangukia Magufuli RIP.

Lowasa hakukata tamaa, aliamua kugombea nafasi ile ile kupitia CHADEMA. Sote tunayakumbuka mafuriko ya Lowasa. Lakini Kikwete akiwa amefunga mkataba wa kudumu wa kumdhulumu marehemu, huku majumuisho ya kura kutoka vituoni yakionesha wazi kuwa Lowasa alikuwa anaongoza kwa kura nyingi, aliwatuma Polisi kwenda kuvamia kituo cha ujumlishaji kura za Lowasa, wakapora computers zote, na kuwaweka mahabusu wajumlishaji wa kura.

Watanzania, nyakati hizi, tunaombeleza msiba wa Edward Lowasa, ambaye kiuhalisia ndiye aliyechaguliwa na wananchi kuwa Rais wa JMT mwaka 2015.

Lakini ni Kikwete pia, ndiye aliyemdhulumu ushindi wa Urais wa Zanzibar, Maalim Seif RIP.

Dhuluma ya Kikwete kwa marehemu hawa, itaitafuna nafsi yake mpaka siku yake ya mwisho. Madaraka yalimlevya, akaisahau haki. Akasahau kuwa madaraka ni kitu cha kuja na kupita, lakini haki huamua maisha yako ya leo na ya umilele.

Nina hakika, hata wakati huu wamsiba, watu watamtazama Kikwete kwa kujiuliza maswali mengi sana. Je, anaupenda sana na kuisikitikia mwili wa marehemu kuliko nafsi ya marehemu ilipokuwa hai?

Ndugu zangu, tutendeni haki ili tuwe na amani hadi siku za uzee wetu.

Kwa heri Lowasa, mtu uliyependwa na Watanzania walio wengi, ukadhulumiwa na wachache.

Mungu wa rehema, tunakuomba umtuze mja wako kwa raha ya milele kwani aliyathamini uhai wa wengine kuliko madaraka yake binafsi.
Jambo la Msingi ni kumuombea heri marehemu, lakini hizi ngonjera za uaminifu, sijui usafi, upendo nk nk ni yeye tu ndiye aliujua ukweli wake.

Urais ni haki ya Mtanzania yeyote mwenye sifa na hakuwa na hakimiliki ya nafasi hiyo, hivyo kukosa kwake ni sawa na wale wengine walioukosa.
 
It's not necessarily lazima ni JK!, sometimes wahafidhina wana nguvu kuliko rais!, ila mkubwa ni jalala!.

Ni kweli kwasababu by that JK alikuwa bado ni mjamaa, na EL alikuwa tayari ni bepari!, sasa wote ni mabepari!.

Sina uhakaki kama makubaliano haya yalikuwepo!, ila kunafanyika vitu vingi ambavyo sio, mfano kutoa fomu moja, kugombea kwa msesereko, kupokezana Mkristo na Muislam.

Sii kweli, jina la Lowassa lilichinjiwa baharini hata kwenye CC halikujadiliwa, ila akina sisi tuliisha muandaa kisaikolojia Elections 2015 - Licha ya kukubalika, Jina la Lowassa halitafika hata CC!

Sii kweli, jina la EL halikutoka hata CC, hivyo halikuingia hata NEC, ule wimbo wa "Tunaimani..." ni uliimbwa NEC! Elections 2015 - Edward Lowassa sio lazima yeye tu ndiye awe Rais wetu 2015, Rais wetu wa 2015 ni...

Sii kweli!, wanaoamua nani awe ngombea wa CCM, sio wana CCM, ni kitu kinachoitwa "the inner circle" angalia tarehe ya bandiko hili Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli

Sii kweli!, kura zote mpaka za urais zimehesabiwa vituoni na kila msimamizi alipewa copy ya matokeo!, TV Program Alert: Msidanywe na Wanasiasa Kuhusu Uchaguzi Mkuu: Ulikuwa Huru na wa Haki!. Shuhudia! ila kwa upande wa Zanzibar, kule ndio kweli EL alimbwaga JPM Elections 2015 - Imethibitishwa pasi na shaka kuwa ni kweli kabisa, Zanzibar, Maalim Seif na CUF ndio walioshinda

Hii sii kweli, Elections 2015 - Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake! makarateka yalifanywa uchaguzi wa 2020!.

Sii kweli, ni wahafidhina!, kwa siasa za Zanzibar, ni lazima CCM ishinde for the sake of Muungano!, ukisikia Muungano tutaulinda kwa gharama yoyote, ushindi wa lazima wa CCM Zanzibar ni moja ya gharama hizo. Iwapo CCM itashindwa Zanzibar, Nini Majaaliwa ya Muungano?

ukitenda wema mwingi kuliko ubaya karma inarekebisha "The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa Duniani!, Unahukumiwa kwa Matendo Yako!

Baada ya ushauri huu, Ushauri wa bure kwa Rais Kikwete, muombe msamaha Lowassa kabla ya October 25!

Amen
The rule of thumb; don't quote your own statements - PLO Lumumba.
 
Japo nilikua bado mdogo kipindi hicho lakini mambo hayakua marahisi kama ulivyo andika. Right kama mzee kikwete angefanikiwa kuwaweka hao wawili ulio wazungumzia sidhani kama CCM ingepona. Kuhusu kwamba Lowassa alimshinda kura JPM sio kweli. Kilichokua kinaenda kuiua CCM kama Lowassa angegombea kupitia CCM ni zile kashfa. CCM ingekufa palihitajika mtu aliyekua msafi ili CCM ipate kushinda lasivyo CCM ingekufa. Hongera Lowassa, Kikwete na JPM kwa kuiokoa CCM. Na ukumbuke agenda zote za CHADEMA za mambo ya ufisadi zilikua zinamhusu Lowassa na CCM. Mimi kwa mtazamo wangu nawapongeza wote Lowassa, JPM na Kikwete kwa kuendelea kuiwezesha CCM kusurvive.
Kwamba 2008 ulikuwa mdogo sana?
 
Hakuna contradiction mkuu.

Mimi nakataa papara popote.

Kwa Nyerere, kwa Sokoine, kwa Lowassa, kwa Magufuli. Kwa Makonda.

Kwa aliyepita, kwa akiyekatwa. Kwa aliyekufa, kwa anayeishi.

Nikikataa papara kwa aliyekatwa, halafu wewe ukanipa mfano wa aliyepita kwamba mbona huyu naye ana papara, nitakwambia hata huyo naye papara yake niliikataa.

Ushindi wa mtu katika uchaguzi hauoneshi kwamba yuko sawa. Hata Hitler alishinda uchaguzi. Kwa ulaghai.

Inawezekana Watanzania hawajafikia kiwango cha kuielewa na kukataa papara popote wanapoiona, wakaona papara ya Magufuli au ya Makonda ndiyo uongozi wanaouhitaji.

Mimi nasimama palepale kupinga uongozi wa papara, bila kujali huyu kiongozi anapendwa vipi, kachaguliwa kama Magufuki au kakatwa kama Lowassa.

Ameshafariki au anaishi kama Makonda.

Papara ni papara tu.

Sasa wewe ukija na objection yako "mbona Magufuli kachaguliwa wakati alikuwa ana papara" hilo ni kosa la Watanzania waliomchagua, si langu.

Mimi sijawahi kumpigia kura Magufuli, na nimekuwa nikimsema sana utawala wake wote na mpaka kesho namsema kwa papara.

Sasa, hilo swali lako halifai kunitupia mimi, mimi sijamchagua Magufuli. Mimi nimepiga kura uchaguzi wa 1995 tu, baada ya hapo nimekipa kitu viwanja vikubwa, nimepiga kura kwa miguu yangu kuondoka Tanzania.

Kawatupie swali hilo waliomchagua Magufuli.
Sasa Kiranga, umemsema Lowasa sana ktk ujenzi wa hoja zako na Bams kuhusu kwanini Lowasa alijiuzuru na kumuachia matatizo rafiki yake Kikwete.

Hapa na wewe unasema umepiga kura uchaguzi wa kwanza tu na kutokomea ughainuni. Huoni na wewe umetuachia matatizo ya nchi tuhangaike nayo wenyewe halafu unakuja kutusimanga sisi tuliowachagua hawa viongozi.

Huoni unafanya kama Lowasa. Ama labda utuambie sababu ya kwenda ughainuni haikusababishwa na siasa na maisha mabovu ya hapa nyumbani.
 
Back
Top Bottom