Kwa dhuluma ambayo Jakaya Kikwete alimfanyia Mzee Lowassa, ataumaliza uzee wake bila amani

Kwa dhuluma ambayo Jakaya Kikwete alimfanyia Mzee Lowassa, ataumaliza uzee wake bila amani

Kwamba Lowassa 'Urais ulikuwa ni Haki yake kutoka Kwa Mungu' kwahiyo kadhulumiwa?

Cha ajabu wanaolia Lia na hili na Chadema...kama Lowassa aliona Ccm wamemdhulumu why alirudi CCM?
Kama alisamehe why Chadema unawajua sana?
Lowassa hii Haki ya kuwa Rais ilitoka wapi?si na Kambona nae watoto wake watadai Nyerere alimdhulumu Urais?watoto wa Sokoine je waseme Baba Yao aliuwawa ili asiwe Rais?

Mijitu mizima inalialia na consipiracy theory za kitoto kabisa
Kipi usichokijua wewe ?
 
Madaraka makubwa, usipokuwa na hekima, hasa hekima ya Mungu, yanalevya. Na ukikosa hekima unaweza kudhania kuwa wewe ni kila kitu, kwa sababu hakuna wa kukuhoji wala kukuadhibu.

Mathalani madaraka ya Rais wa Tanzania, anaweza kuyatumia vyovyote apendavyo, hata kuua, akitaka, na asihojiwe wala kushtakiwa mahali popote Duniani.

Lakini hawa watawala, kwa kukosa hekima huwa wanaamini kuwa hawawezi kuhojiwa Duniani, ahera wala hata na nafsi zao.

Marehemu Lowasa, aliuishi uaminifu kwa urafiki wake na Kikwete, lakini Kikwete alimsaliti na kumdhulumu rafiki yake.

Lowasa alijitoa kwa nguvu na moyo wake wote katika kuhakikisha Kikwete anakuwa Rais. Hata ndege iliyompeleka Kikwete Dodoma wakati anautafuta Urais, naambiwa iligharamiwa na Lowasa.

Serikali ya Kikwete ipopata msukosuko kutokana na kashfa ya Richmond, huku Msabaha akitamka wazi kuwa zigo la Richmond halikuwa lake kama waziri, kwa sababu wakati wote aliwasiliana na Serikali kupitia Waziri Mkuu, na hivyo kama kuna makosa, basi ni makosa ya Serikali nzima, Lowasa alimwendea Kikwete kumweleza kuwa yeye ameamua kujiuzulu ili kuilinda Serikali. Kikwete alikataa ombi la Lowasa kujiuzulu, lakini marehemu alishikilia msimamo wake, akiamini ndiyo njia ya kuiokoa Serikali ya Kikwete isidondoke, na pengine ipate imani ya aina fulani toka kwaWabunge.

Katikati ya safari yao, tofauti na makubaliano yao ya awali kuwa yeye marehemu amsaidie Kikwete kuwa Rais 2005, halafu Kikwete amsaidie marehemu kuutafuta Urais mwaka 2015, Kikwete alimtosa rafiki yake na kutaka Urais uende kwa mdogo wake.

Kikwete akifahamu wazi kuwa hakukuwa na mgombea yeyote ndani ya CCM na hata nje, wa kumzidi marehemu, akatumia madaraka yake, kuliondoa jina la Lowasa, lisipelekwe kwenye mkutano mkuu wa CCM.

Huku zaidi ya wajumbe 2,000 wa mkutano mkuu wa CCM wakiwa wamejiandaa kumpigia kura Lowasa RIP, kwa mshangao mkubwa wakaambiwa jina la Lowasa halipo.

Wajumbe wa mkutano mkuu, baada ya kuujua ukweli namna Kikwete alivyodhulumu haki ya rafiki yake wa awali ili Urais uende kwa mdogo wake, wakaitana nje, wakaambizana kuwa wale wote waliokuwa wamejiandaa kumchagua Lowasa, kura zao wampe mgombea aliyeonekana dhaifu kuliko wote, na ambaye amewekwa na Kikwete kama chambo. Ndipo ushindi ulipomwangukia Magufuli RIP.

Lowasa hakukata tamaa, aliamua kugombea nafasi ile ile kupitia CHADEMA. Sote tunayakumbuka mafuriko ya Lowasa. Lakini Kikwete akiwa amefunga mkataba wa kudumu wa kumdhulumu marehemu, huku majumuisho ya kura kutoka vituoni yakionesha wazi kuwa Lowasa alikuwa anaongoza kwa kura nyingi, aliwatuma Polisi kwenda kuvamia kituo cha ujumlishaji kura za Lowasa, wakapora computers zote, na kuwaweka mahabusu wajumlishaji wa kura.

Watanzania, nyakati hizi, tunaombeleza msiba wa Edward Lowasa, ambaye kiuhalisia ndiye aliyechaguliwa na wananchi kuwa Rais wa JMT mwaka 2015.

Lakini ni Kikwete pia, ndiye aliyemdhulumu ushindi wa Urais wa Zanzibar, Maalim Seif RIP.

Dhuluma ya Kikwete kwa marehemu hawa, itaitafuna nafsi yake mpaka siku yake ya mwisho. Madaraka yalimlevya, akaisahau haki. Akasahau kuwa madaraka ni kitu cha kuja na kupita, lakini haki huamua maisha yako ya leo na ya umilele.

Nina hakika, hata wakati huu wamsiba, watu watamtazama Kikwete kwa kujiuliza maswali mengi sana. Je, anaupenda sana na kuisikitikia mwili wa marehemu kuliko nafsi ya marehemu ilipokuwa hai?

Ndugu zangu, tutendeni haki ili tuwe na amani hadi siku za uzee wetu.

Kwa heri Lowasa, mtu uliyependwa na Watanzania walio wengi, ukadhulumiwa na wachache.

Mungu wa rehema, tunakuomba umtuze mja wako kwa raha ya milele kwani aliyathamini uhai wa wengine kuliko madaraka yake binafsi.
Kikwete ana miaka zaidi ya 70 hata akifa leo hana cha kupoteza ila baba yako akifa leo ataavha m
 
Sasa kama kashfa haikuwa ya Lowassa, ilikuwa ya serikali nzima, Lowassa kutaka kujiuzulu yeye ni kimbelembele.

Na mtu kimbelembele anaweza kuleta matatizo katika uongozi.

Ni hivi, ingekuwa Kikwete kamtuma Lowassa ajiuzulu, kamwambia "Edward, haya maji ni marefu, inabidi tumtoe mtu hapa ili kuinusuru serikali, tena mtu mzito, nakuomba kama rafiki yangu ujiuzulu ili kuinusuru serikali, halafu hapo baadaye mambo yakipoa, tutakurudisha ugombee urais nikimaliza mimi".

Halafu Lowassa akasema "Kweli? Serikali inaweza kuanguka? Na mimi kujiuzulu kwangu ndiko kutainusuru? Mnanitaka nijiuzulu halafu nitakuwa rais baada yako? Hapo hakuna shida, najiuzulu"

Halafu Lowassa akajiuzulu.

Halafu baadaye, alipotaka kuwa rais, Kikwete akamruka. Akamkata.

Hapo sawa, ungeweza kusema Kikwete mtu jahili na laghai, kamuhadaa mwenzake ajiuzulu, kwa ahadi kuwa atamfanya awe rais, mwenzake akajiuzulu, na urais akamkata.

Lakini mambo hayakuwa hivyo. Kwa maelezo yako, Kikwete hakutaka Lowassa ajiuzulu. Hata Lowassa alivyotaka kujiuzulu, Kikwete alikataa, Lowassa akalazimisha kujiuzulu.

Sasa hapo mpango wa Kikwete wa Lowassa kuendelea kuwa Waziri Mkuu umekataliwa na Lowassa.

Aliyemsaliti mwenzake kati ya Kikwete na Lowassa ni nani hapo?

Na kama Lowassa alikataa mpango wa Kikwete kuendelea kuwa Waziri Mkuu, kwa nini unafikiri ni sawa Kikwete kukubali mpango wa Lowassa kuja kuwa rais?
Issue ya Lowassa kumuachia urais Kikwete 2005, tayari kama marafiki walishakubaliana ifikapo 2015 Kikwete atamuachia Lowassa.

Haya makubaliano tayari yalishakuwepo kabla hata ya kuibuka kashfa ya Richmond, ile ilikuja baadae kama ajali ya kisiasa tu, na ndio maana Lowassa ili kumlinda rafiki yake na ile kashfa akaamua kujiuzulu, akijua fika makubaliano yao ya mwanzo bado yako valid, asijue mwenzake ameshamgeuka.

Hata ile barua ya Lowassa kujiuzulu, wapo waliosema JK alimshauri Lowassa aiandike ili ikimfikia aikatae, lakini kwa mshangao wa Lowassa, JK akakubali Lowassa kujiuzulu, na alifanya hivyo baada ya kuona jina la Lowassa linazidi kuoata nguvu kila uchao ndani ya serikali yake, akaamua kwenda na msemo; never outsmart your master.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Madaraka makubwa, usipokuwa na hekima, hasa hekima ya Mungu, yanalevya. Na ukikosa hekima unaweza kudhania kuwa wewe ni kila kitu, kwa sababu hakuna wa kukuhoji wala kukuadhibu.

Mathalani madaraka ya Rais wa Tanzania, anaweza kuyatumia vyovyote apendavyo, hata kuua, akitaka, na asihojiwe wala kushtakiwa mahali popote Duniani.

Lakini hawa watawala, kwa kukosa hekima huwa wanaamini kuwa hawawezi kuhojiwa Duniani, ahera wala hata na nafsi zao.

Marehemu Lowasa, aliuishi uaminifu kwa urafiki wake na Kikwete, lakini Kikwete alimsaliti na kumdhulumu rafiki yake.

Lowasa alijitoa kwa nguvu na moyo wake wote katika kuhakikisha Kikwete anakuwa Rais. Hata ndege iliyompeleka Kikwete Dodoma wakati anautafuta Urais, naambiwa iligharamiwa na Lowasa.

Serikali ya Kikwete ipopata msukosuko kutokana na kashfa ya Richmond, huku Msabaha akitamka wazi kuwa zigo la Richmond halikuwa lake kama waziri, kwa sababu wakati wote aliwasiliana na Serikali kupitia Waziri Mkuu, na hivyo kama kuna makosa, basi ni makosa ya Serikali nzima, Lowasa alimwendea Kikwete kumweleza kuwa yeye ameamua kujiuzulu ili kuilinda Serikali. Kikwete alikataa ombi la Lowasa kujiuzulu, lakini marehemu alishikilia msimamo wake, akiamini ndiyo njia ya kuiokoa Serikali ya Kikwete isidondoke, na pengine ipate imani ya aina fulani toka kwaWabunge.

Katikati ya safari yao, tofauti na makubaliano yao ya awali kuwa yeye marehemu amsaidie Kikwete kuwa Rais 2005, halafu Kikwete amsaidie marehemu kuutafuta Urais mwaka 2015, Kikwete alimtosa rafiki yake na kutaka Urais uende kwa mdogo wake.

Kikwete akifahamu wazi kuwa hakukuwa na mgombea yeyote ndani ya CCM na hata nje, wa kumzidi marehemu, akatumia madaraka yake, kuliondoa jina la Lowasa, lisipelekwe kwenye mkutano mkuu wa CCM.

Huku zaidi ya wajumbe 2,000 wa mkutano mkuu wa CCM wakiwa wamejiandaa kumpigia kura Lowasa RIP, kwa mshangao mkubwa wakaambiwa jina la Lowasa halipo.

Wajumbe wa mkutano mkuu, baada ya kuujua ukweli namna Kikwete alivyodhulumu haki ya rafiki yake wa awali ili Urais uende kwa mdogo wake, wakaitana nje, wakaambizana kuwa wale wote waliokuwa wamejiandaa kumchagua Lowasa, kura zao wampe mgombea aliyeonekana dhaifu kuliko wote, na ambaye amewekwa na Kikwete kama chambo. Ndipo ushindi ulipomwangukia Magufuli RIP.

Lowasa hakukata tamaa, aliamua kugombea nafasi ile ile kupitia CHADEMA. Sote tunayakumbuka mafuriko ya Lowasa. Lakini Kikwete akiwa amefunga mkataba wa kudumu wa kumdhulumu marehemu, huku majumuisho ya kura kutoka vituoni yakionesha wazi kuwa Lowasa alikuwa anaongoza kwa kura nyingi, aliwatuma Polisi kwenda kuvamia kituo cha ujumlishaji kura za Lowasa, wakapora computers zote, na kuwaweka mahabusu wajumlishaji wa kura.

Watanzania, nyakati hizi, tunaombeleza msiba wa Edward Lowasa, ambaye kiuhalisia ndiye aliyechaguliwa na wananchi kuwa Rais wa JMT mwaka 2015.

Lakini ni Kikwete pia, ndiye aliyemdhulumu ushindi wa Urais wa Zanzibar, Maalim Seif RIP.

Dhuluma ya Kikwete kwa marehemu hawa, itaitafuna nafsi yake mpaka siku yake ya mwisho. Madaraka yalimlevya, akaisahau haki. Akasahau kuwa madaraka ni kitu cha kuja na kupita, lakini haki huamua maisha yako ya leo na ya umilele.

Nina hakika, hata wakati huu wamsiba, watu watamtazama Kikwete kwa kujiuliza maswali mengi sana. Je, anaupenda sana na kuisikitikia mwili wa marehemu kuliko nafsi ya marehemu ilipokuwa hai?

Ndugu zangu, tutendeni haki ili tuwe na amani hadi siku za uzee wetu.

Kwa heri Lowasa, mtu uliyependwa na Watanzania walio wengi, ukadhulumiwa na wachache.

Mungu wa rehema, tunakuomba umtuze mja wako kwa raha ya milele kwani aliyathamini uhai wa wengine kuliko madaraka yake binafsi.
mkuu unamwonea imani Lowasa vp ufisadi wake alioufanya kutajirisha familia yake...hutuonei huruma sisi watanzania!!!
au na wewe family member
 
Hatari sana, kwahiyo mlitaka JK amsaidie EL kushinda Urais? Eti kwakuwa walikuwa marafiki? Kwahiyo tunaunga mkono Urais kugawiwa kwa minajili ya urafiki?.

EL alikuwa CCM na tabia hizi tunazomsema nazo JK ndio hizi hizi wana CCM wote wanazo, EL aliondoka CCM baada ya kukatwa pale Dodoma, kama alikuwa mwema alipaswa kuikacha CCM toka 1995 na sio kusubiri maslahi yalipokoma.

EL na JK wanajuana kuliko Mimi na wewe tunavyowajua, unapokwenda kumlaumu JK huku humjui EL kiundani nawewe itabidi tukuite mnafiki au mmbeya.

Mwenyezi Mungu ndiye anapanga kifo cha kila mtu na namna gani kitokee.
Ypu do not get my point.

Hapa tunaongelea dhuluma, siyo kumsaidia.

Kikwete alimdhulumu Lowasa haki ya kupigiwa kura na wajumbe, tena wengi waliokuwa wakimtaka awe mgombea kupitia CCM.

Lowasa akaondoka CCM, akagombea kupitia CHADEMA, akashinda katika kupata uwingi wa kura, Kikwete tena akamdhulumu kwa kutumia madaraka yake.
 
Kwahiyo Lowasa ameuawa na kikwete? Toa upumbavu wako
Wewe bwege hujui kuwa maamuzi ya mtu na vitendo vyake vinaweza kufanya maradhi yakamdhoofisha mgonjwa haraka! To me Kikwete ndio alisababisha Lowassa akapata stroke!
Kwavile wewe chawa wa mkwere utatuma na matusi yako hayatabadiri ukweli kuwa Jakaya hana utu na ni JambaziI tu!
 
Kwamba Lowassa 'Urais ulikuwa ni Haki yake kutoka Kwa Mungu' kwahiyo kadhulumiwa?

Cha ajabu wanaolia Lia na hili na Chadema...kama Lowassa aliona Ccm wamemdhulumu why alirudi CCM?
Kama alisamehe why Chadema unawajua sana?
Lowassa hii Haki ya kuwa Rais ilitoka wapi?si na Kambona nae watoto wake watadai Nyerere alimdhulumu Urais?watoto wa Sokoine je waseme Baba Yao aliuwawa ili asiwe Rais?

Mijitu mizima inalialia na consipiracy theory za kitoto kabisa
Kwa nini police walivamia tallying Centre ya kura ya CHADEMA huku wakiruhusu ile ya upande wa pili iliyokuwa chini ya February kuendelea kuchakata matokeo??
 
Unamaanisha JPM alikuwa dhaifu? au lengo ni kutaka kujua Magufuri gang wamesogezeka kwa kiwango gani na Bashite katika mahakama ya jukwaa? Na mdogo wa Kikwete aliyewania nafasi ya urais katika kura za maoni ni nani katika safu kubwa ile (au mtoto wa kambo) mpaka ifikie hatua amuweke dhaifu kwa wote?
 
Sasa kama kashfa haikuwa ya Lowassa, ilikuwa ya serikali nzima, Lowassa kutaka kujiuzulu yeye ni kimbelembele.

Na mtu kimbelembele anaweza kuleta matatizo katika uongozi.

Ni hivi, ingekuwa Kikwete kamtuma Lowassa ajiuzulu, kamwambia "Edward, haya maji ni marefu, inabidi tumtoe mtu hapa ili kuinusuru serikali, tena mtu mzito, nakuomba kama rafiki yangu ujiuzulu ili kuinusuru serikali, halafu hapo baadaye mambo yakipoa, tutakurudisha ugombee urais nikimaliza mimi".

Halafu Lowassa akasema "Kweli? Serikali inaweza kuanguka? Na mimi kujiuzulu kwangu ndiko kutainusuru? Mnanitaka nijiuzulu halafu nitakuwa rais baada yako? Hapo hakuna shida, najiuzulu"

Halafu Lowassa akajiuzulu.

Halafu baadaye, alipotaka kuwa rais, Kikwete akamruka. Akamkata.

Hapo sawa, ungeweza kusema Kikwete mtu jahili na laghai, kamuhadaa mwenzake ajiuzulu, kwa ahadi kuwa atamfanya awe rais, mwenzake akajiuzulu, na urais akamkata.

Lakini mambo hayakuwa hivyo. Kwa maelezo yako, Kikwete hakutaka Lowassa ajiuzulu. Hata Lowassa alivyotaka kujiuzulu, Kikwete alikataa, Lowassa akalazimisha kujiuzulu.

Sasa hapo mpango wa Kikwete wa Lowassa kuendelea kuwa Waziri Mkuu umekataliwa na Lowassa.

Aliyemsaliti mwenzake kati ya Kikwete na Lowassa ni nani hapo?

Na kama Lowassa alikataa mpango wa Kikwete kuendelea kuwa Waziri Mkuu, kwa nini unafikiri ni sawa Kikwete kukubali mpango wa Lowassa kuja kuwa rais?

Hayo mambo ya kuwa Rais kwa kupitia urafiki wao, siyo hoja ya msingi. Hoja ya msingi, ni roho ya dhuluma aliyo nayo Kikwete.

Hata kama tukisema kuwa Lowasa alipojiuzulu ilimkera Kikwete, lakini kwa nini Kikwete aamue kudhulumu haki yake? Alitumia madaraka yake kulikata jina la Lowasa licha ya kwamba wajumbe wengi na wanachama wengi wa CCM walikuwa wakimtaka Lowasa.

Hiyo haitoshi, umemkata jina kwenye chama ambacho wewe ni mwenyekiti wake, ameondoka, amepigiwa kura na wananchi, ameshinda uchaguzi, bado unadhulumu umma wote wa Watanzania kuongozwa na mtu waliyemtaka. Hivi wewe ni mtu wa namna gani? Zanzibar nako akamtumia Jecha kudhulumu haki ya Maalim Seif. Halafu leo, kwa unafiki mkubwa anasema eti marehemu aliendelea kuwa rafiki yake siku zote. Wewe unayaamini hayo?
 
Sina chochote kumlaumu Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kuhusu Marehemu Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa.
Vyote vilivyofanyika ndivyo vinatufanya leo hii kuwa huru kutoa maoni.
Tumshukuru Mungu Kwa Maisha ya wote wawili,ingawa mmoja katangulia mbele za haki.
Nina hakika siku Mzee Kikwete naye akiondoka kuna watu watasema tena kama ambavyo leo tunasema.
Mwenyezi Mungu mpumzishe mpendwa wetu mahala pema na uwajaaliwe Viongozi wengine na sisi kwa ujumla tuishi maisha marefu yenye fanaka.
 
Mtu aliyejiuzulu Uwaziri Mkuu kutokana na msukosuko wa kashfa, unajuaje akipata urais na kupata msukosuko wa kashfa hatajiuzulu tena?

Huoni kwamba hili ni jambo jema sana la uwajibikaji kiongozi yeyote hata ikiwa ni Rais kujiuzulu pale inapoonekana ameshindwa kutimiza majukumu yake sawasawa?!

Mbona Mwinyi aliwahi kujiuzulu akiwa waziri halafu akaja kuwa Rais baadaye?
 
Sina chochote kumlaumu Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kuhusu Marehemu Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa.
Vyote vilivyofanyika ndivyo vinatufanya leo hii kuwa huru kutoa maoni.
Tumshukuru Mungu Kwa Maisha ya wote wawili,ingawa mmoja katangulia mbele za haki.
Nina hakika siku Mzee Kikwete naye akiondoka kuna watu watasema tena kama ambavyo leo tunasema.
Mwenyezi Mungu mpumzishe mpendwa wetu mahala pema na uwajaaliwe Viongozi wengine na sisi kwa ujumla tuishi maisha marefu yenye fanaka.
 
Issue ya Lowassa kumuachia urais Kikwete 2005, tayari kama marafiki walishakubaliana ifikapo 2015 Kikwete atamuachia Lowassa.

Haya makubaliano tayari yalishakuwepo kabla hata ya kuibuka kashfa ya Richmond, ile ilikuja baadae kama ajali ya kisiasa tu, na ndio maana Lowassa ili kumlinda rafiki yake na ile kashfa akaamua kujiuzulu, akijua fika makubaliano yao ya mwanzo bado yako valid, asijue mwenzake ameshamgeuka.

Hata ile barua ya Lowassa kujiuzulu, wapo waliosema JK alimshauri Lowassa aiandike ili ikimfikia aikatae, lakini kwa mshangao wa Lowassa, JK akakubali Lowassa kujiuzulu, na alifanya hivyo baada ya kuona jina la Lowassa linazidi kuoata nguvu kila uchao ndani ya serikali yake, akaamua kwenda na msemo; never outsmart your master.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Sasa hapa mnatoa stories zinazogongana.

Wengine mnasema JK hakutaka Lowassa ajiuzulu ila Lowassa akalazimisha, wengine mnasema JK alimshauri Lowassa aandike barua ya kujiuzulu ili aikatae, ika JK hakuikataa.

Habari hii watu wanaojua ukweli wake wa ndani ni wachache sana na hapa tutabishana kwa speculations tu kuhusu mambo ya details kama hizi.

Kibaya zaidi, viongozi wetu hawaandiki vitabu vya maisha yao, na hao wachache wanaoandika mambo muhimu mengi hawayaandiki.
 
Je hawa watu wanaomfanyia dhuluma Mwananchi kwa kufanya mambo ndivyo sivyo uzee wao wanaumaliza vipi ?

Anyway ndio hivyo Dua za Kuku uzee wao watasafishwa na kuonekana walikuwa Malaika....

RIP...... na kwa Hekima tunasema Let the Sleeping Dogs Lie.....
Uzee wao wanaumaliza vizuri tu bila shida yoyote.
 
Back
Top Bottom