Kwa dua na laana hizi, Israel mwisho wake unakaribia

Kwa dua na laana hizi, Israel mwisho wake unakaribia

Fao La Kujitoa

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
396
Reaction score
966
Kuna Sheikh mmoja Mecca Saudi Arabia anaheshimika sana na ni mtu wa Mungu ana miaka 98. Hata ameshawahi kuja kwenye mashindano ya dunia ya Quran Tanzania na Magufuli kuhudhuria.

Huyu Sheikh alitabiri miaka ya nyuma Waarabu watakuja kupigana wenyewe kwa wenyewe na kutawanyika kama wakimbizi. Watu walimbeza angalia yaliyotokea Libya na Syria.

Jana katabiri miaka ishirini ijayo Israel itafutika kabisa na kutoweka na watawaangukia hawahawa Wapalestina kuomba msaada.

Ni Taifa lililoaniwa na Mungu atawanyoosha.

Muda siyo mrefu mafedhuli mayahudi baby killers wote wataangamia.

Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.
 
Cursed be the igniter of the fighting, Hamas militants, from nowhere start wamewarushia Israel makombora mia moja mfululizo kwa dhamira ya anti missile za Israel zingeshindwa kuhimili dozens of bombs, so wangewamaliza wa israel, kibaya baada ya kurusha makombora mia kwa ghafla, wakaendelea kurusha makombora mengine kwa idadi yamefikia 1000, targeting total destruction and erases ISRAEL which mean "GOD HANDS".
 
Hao wazayuni lazima walipe hayo maovu, kivipi itajulikana tu wakati huo, swala la dua hatujuwi, maana dada mange halikumathiri sasa haliaminiki kivile.
 
Baba mpalestina kaenda kuchukua samaki baharini akawa anarudi akakutana na majeshi ya Israel wakamsimamisha akawasihi wamruhusu anawahi kuwapelekea chakula familia yake futari yani wakammiminia risasi na kumuua. Familia inamsubiri wanaambiwa mayahud wamemuua
20210517_062514.jpg
 
Hivi kwanini makao makuu ya dini yetu ya kikristo yasiwe Israel halafu hawa Wayahudi hivi ni dhehebu gani..?
 
Hivi kwanini makao makuu ya dini yetu ya kikristo yasiwe Israel halafu hawa Wayahudi hivi ni dhehebu gani..?
Hao wayahudi, wanafuata dini ya "Judaism", ni dini toka miaka 4000 iliyopita, ili kuijuwa imanj ya Kiyahudi lazima ujuwe Judaism
Hawa Wayahudi siyo WAKRISTO.
Na ndiyo maana WALIMUUWA YESU KRISTO.
 
Kuna sheikh mmoja Mecca Saudi Arabia anaheshimika sana na ni mtu wa Mungu ana miaka 98. Hata ameshawahi kuja kwenye mashindano ya dunia ya Quran Tanzania na Magufuli kuhudhuria.

Huyu sheikh alitabiri miaka ya nyuma waarabu watakuja kupigana wenyewe kwa wenyewe na kutawanyika kama wakimbizi. Watu walimbeza angalia yaliyotokea Libya na Syria.

Jana katabiri miaka ishirini ijayo Israel itafutika kabisa na kutoweka na watawaangukia hawahawa wapalestina kuomba msaada.

Ni taifa lililoaniwa na Mungu atawanyoosha.

Muda siyo mrefu mafedhuli mayahudi baby killers wote wataangamia.

Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.
Mwanzo 12:3,"Nami nitawabariki wakubarikio naye akulaaniye nitamlaani" ,na katika wewe jamaa zote za dunia watabarikiwa.
 
What’s 9.3 miles (15 km)?

163 football fields
46 Eiffel Towers
34 Empire State Buildings
18 Burj Khalifas
Nearly 2 Mt. Everests

Our fighter jets neutralized 9.3 miles of the Hamas 'Metro' terror tunnel system overnight.

That's 9.3 miles that can no longer be used for terror.
 
Hivi kwanini makao makuu ya dini yetu ya kikristo yasiwe Israel halafu hawa Wayahudi hivi ni dhehebu gani..?


wayahud sio wakristo Dini yao ni Judaism ni mchanganyiko wa mafundisho ya Agano la kale na taratibu za kiasili za wayahudi...

kama ilivyo kwa Islamic religion ina mchanganyiko wa Taratibu za kidini na tamaduni za kiarabu

judaism ni moja kati ya dini kubwa tatu. ulimwengunk wayahud sio wakristo... hawaamini kuwa Yesu ndie mwokozi na alietabiriwa na yohana mbatizaji.. wao wanasubir mwokoz wao..

tofauti ya Mkristo na Myahud ni kuwa Myahud hana Agano jipya kwenye Biblia yake (Hebrew bible) anatumia Agano la kale tu kwa maana hiyo yeye anafata mafundisho ya agano la kale .. kumbuka Agano jipya ni kumhusu yesu na maisha yake na wao wanaomuona yesu ni mwanaharakati tu na inspirational leader sio Holy figure (Masihi)

ila Ukristo umetoka kwenye judaism ( sexond temple of judaism) ndo maana kuna wayahud wakristo kwa maana ya wanaomwamini Yesu Kristo

Biblia ya Wayahud na ya wakristo ziko sawa tofauti ni ya wakristo imeongezeka Agano jipya ambalo wayahud hawalitambui .. Mkristo maana yake ni anatemfata kristi ambaye ndio Yesu

So kwa ufupi ukiwa ww mkristo ukaingia kwenye kanisa (sinagogi) la wayahud kama unaelewa kiebrania hautapata shida kusali... shida yako itakuwa ni zile taratibu zao za kusali za kiasili (hawakai kwenye viti hawaingii na viatu na wanasujudu) kama unavyoona waislam...

chimbuko la kusujudu au kutokuingia na viatu kwenye masinagogi yao.. wayahud wamepata kutoka kwenye agano la kale pale Musa alipoongea na Mungu kupitia kichaka kilichokuwa kinawaka.. akaambiwa via viatu hapa ni mahali patakatifu.

tukihitimisha ni kuwa Wakristo wanafata mafundisho ya Yesu ambaye kwake yeye life style na material things (kama mavaz na aina ya vyakula ) sio issue kwake , issue ni kuwa msafi wa kiroho na imani. wakat wayahud wanaamin mafundisho ya Musa (agano la kale) ambalo linatoa muongozo wa jinsi ya kuishi na aina ya vyakula.
 
Kuna sheikh mmoja Mecca Saudi Arabia anaheshimika sana na ni mtu wa Mungu ana miaka 98. Hata ameshawahi kuja kwenye mashindano ya dunia ya Quran Tanzania na Magufuli kuhudhuria.

Huyu sheikh alitabiri miaka ya nyuma waarabu watakuja kupigana wenyewe kwa wenyewe na kutawanyika kama wakimbizi. Watu walimbeza angalia yaliyotokea Libya na Syria.

Jana katabiri miaka ishirini ijayo Israel itafutika kabisa na kutoweka na watawaangukia hawahawa wapalestina kuomba msaada.

Ni taifa lililoaniwa na Mungu atawanyoosha.

Muda siyo mrefu mafedhuli mayahudi baby killers wote wataangamia.

Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.
Nawe ukaamini?
Waarabu hawajaanza kutawanyika leo, mbona Saudia Arabia hawajatawanyika, Qatar, United Arab emirates au siyo waarabu?
Hata waafrika wanatawanyika wakimbizi kila kona.
Ila Israel kupata tabu lazima ipate tabu maana kimsingi wanawaonea wapalestina yani dunia ni sawa imebariki unyanyasaji wa Israel dhidi ya wapalestina.
Sijawahi kuelewa, inawezekana vipi eti mtu aliyeondoka kwenye eneo flani mamia ya miaka arudi basi hata wangoni wanaweza kurudi south Africa kudai eneo lao kama ndiyo hivi.
 
Israel ni taifa teule hawawezi kupotea kamwe...

Hii vita ilikuwepo tangu wakati ule Musa anawatoa Misri kuja nchi ya ahadi.

Mtoa mada, umewahi kujiuliza hawa watu waliua watu wangapi tangu walipotoka huko Misri mpaka walipofika nchi ya ahadi??

Imagine.. wakifika eneo lako wanakwambia hii ardhi Yahwe ametupa ni yetu, hivyo ondoka hapa...

Ukibisha wanamuomba Mungu wao na Mungu anakaa upande wao...

Unakula Kipigo either Ufe au ukimbie!

Kama kutoweka wangeshatoweka zamani sanaaa
 
Mkuu unamjua Rothischild, Rocafella, Jp Morgan nk? hao ni matajiri wakubwa wa dunia hao waarabu wapo kwenye mikono ya mabwana
 
Back
Top Bottom