Kwa dua na laana hizi, Israel mwisho wake unakaribia

Kwa dua na laana hizi, Israel mwisho wake unakaribia

Sawa, wanachokifanya ni kuwakomoa waarabu ndio lengo la makafiri kwa waislamu. Wenyewe wafanye wanavyotaka lakini watarudi kwenye fuel system
Teh teh teh teh teh.. Ila we jamaa kuna wakati unachekesha sana..
Kwa mfano:, hii comment upo siriazi kweli?.

Kwamba Tech ya magari ya umeme imebuniwa na makafiri ili kuwadhohofisha waja wa Allah, kweli?.

Basi, makafiri wana roho mbaya sana..

Baada ya makafiri kuona waja wa Allah wana ngamia, ili kuwa komoa, makafiri wakavumbua magari.

Baada ya kuona waja wa Allah wana mafuta, makafiri wakatengeneza umeme ili kuwa dhohofisha waja wa Allah.... Lakini makafiri hawakutosheka.. Sasa wametengeneza magari ya umeme ili kuharibu kabisa.

Uko Sawa, kila kichwa kina friikwensi zake.
 
Kuna Sheikh mmoja Mecca Saudi Arabia anaheshimika sana na ni mtu wa Mungu ana miaka 98. Hata ameshawahi kuja kwenye mashindano ya dunia ya Quran Tanzania na Magufuli kuhudhuria.

Huyu Sheikh alitabiri miaka ya nyuma Waarabu watakuja kupigana wenyewe kwa wenyewe na kutawanyika kama wakimbizi. Watu walimbeza angalia yaliyotokea Libya na Syria.

Jana katabiri miaka ishirini ijayo Israel itafutika kabisa na kutoweka na watawaangukia hawahawa Wapalestina kuomba msaada.

Ni Taifa lililoaniwa na Mungu atawanyoosha.

Muda siyo mrefu mafedhuli mayahudi baby killers wote wataangamia.

Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.

Tatizo wewe unadandia garimoshi kwa mbele au kwa vingine unasimamisha trani wakati ishakupita kwa kasi ya treni ya umeme(SGR)! Hamas walianza kurusha makombora(Rockets) (indiscriminately into ) Israel tena bila kujali ni sehemu ya raia wa kawaida, makombora 3500, sasa ulitaka Wayahudi wasijibu mapiga? Ulitaka Wayahudi watulie bila kujihami na kujibu mapigo? Sasa Wayahudi wamejibu na ni vema waingie Gaza Strip wawavurushe Hamas wote na wakalie sehemu ya Gaza ili kurudisha amani na ustawi wa jamii! Pili ni vema Wayahudi wachukue kisehemu hicho mpaka Isa atakaporudi. Kwa hiyo usitegemee amani dunia na hasa Mashariki ya Kati mpaka Yesu atakaporudi dunia, soma Kuran na Biblia(Armageddon)!! Ukumbuka Wapalestina ni Waarabu waliovamia ardhi ya Wayahudi wakati Wayahudi walikuwa utumwani Misri na Babylon(Iran, Iraq), Waarabu wengine waliendelea na uvamizi nchi za Afrika Kazikazini(North Africa) yaani Misri, Sudan, Libya, Tunisia Algeria Morocco na mpaka leo wamekalia nchi hizo, na asili yao ni Arabian Peninsular,Yemen!
 
Asante gwiji , hakuna watu wenye roho chafu kama warabu , kama kuna mfia dini wa kujitoa ufahamu aje apinge , video hizo , warabu hawafai waliwatesa sana babu zetu kuwauza utumwani , halafu bora mzungu unaweza kuta black. Amerricans wamebakia , mwarabu watumwa alikuwa anawaua wakishazeeka wengine anawabinya pymbU , mwarabu ny0k0 sana

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Habari za kusadikika, hazina ukweli wowote.. kila mmoja hapo anadai mwanae kajirushu toka gorofani 😂😂 sababu ya mateso.


Ebu weka na clip za mabosi wao tuone pande zote mbili, ili tujue nani mkweli. Na sio kuniwekea upande mmoja.
Pole sana kwa mahaba uliyonayo kwa waarabu, ni moja ya jamii mbovu sana na isiyostaarabika ktk hii dunia.
 
Jinsi israel inavyoporomosha makombora mazito mazito kwenye mahandaki ya hammas jiji lote la Gaza linatikisika hammas wameanza kuomba poo na Netanyahu amesema kipigo kiendelee mpaka ajihakikishie usalama wa israel

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
 
Jinsi israel inavyoporomosha makombora mazito mazito kwenye mahandaki ya hammas jiji lote la Gaza linatikisika hammas wameanza kuomba poo na Netanyahu amesema kipigo kiendelee mpaka ajihakikishie usalama wa israel

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Wapiiiiiiigweeeeee dadeki zao, wanajitoa toa muhanga hapa , pumbavu kabisa hawa
 
Kuna Sheikh mmoja Mecca Saudi Arabia anaheshimika sana na ni mtu wa Mungu ana miaka 98. Hata ameshawahi kuja kwenye mashindano ya dunia ya Quran Tanzania na Magufuli kuhudhuria.

Huyu Sheikh alitabiri miaka ya nyuma Waarabu watakuja kupigana wenyewe kwa wenyewe na kutawanyika kama wakimbizi. Watu walimbeza angalia yaliyotokea Libya na Syria.

Jana katabiri miaka ishirini ijayo Israel itafutika kabisa na kutoweka na watawaangukia hawahawa Wapalestina kuomba msaada.

Ni Taifa lililoaniwa na Mungu atawanyoosha.

Muda siyo mrefu mafedhuli mayahudi baby killers wote wataangamia.

Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.
Mungu wa palestina ndio Mungu wa Israel.
 
Back
Top Bottom