Kwa dua na laana hizi, Israel mwisho wake unakaribia

Kwa dua na laana hizi, Israel mwisho wake unakaribia

Hivi kwanini makao makuu ya dini yetu ya kikristo yasiwe Israel halafu hawa Wayahudi hivi ni dhehebu gani..?
Israeli hakuna Ukiristo hiyo 2% hapo ni wageni kama wewe ukienda Israel makao maku yenu ni Roma
Screenshot_20210518-190717.jpg
 
Baba mpalestina kaenda kuchukua samaki baharini akawa anarudi akakutana na majeshi ya Israel wakamsimamisha akawasihi wamruhusu anawahi kuwapelekea chakula familia yake futari yani wakammiminia risasi na kumuua. Familia inamsubiri wanaambiwa mayahud wamemuua.
Endeleeni kutunga atory kuchochea chuki lkn hamtaweza kushindana na wana wa Mungu.
 
Israeli hakuna Ukiristo hiyo 2% hapo ni wageni kama wewe ukienda Israel makao maku yenu ni RomaView attachment 1789899

Unadhan watakuelewa!!! Wanavyopigwa palestina wao hufurahi mkuu. Ingelikua wanaopigwa ni wakristo unadhani wangekuja kutetea miyahudi hapa!!!!. Hawa sio ndugu zetu wala rafiki zetu, ni adui wakubwa kwa waislamu.
 
Unadhan watakuelewa!!! Wanavyopigwa palestina wao hufurahi mkuu. Ingelikua wanaopigwa ni wakristo unadhani wangekuja kutetea miyahudi hapa!!!!. Hawa sio ndugu zetu wala rafiki zetu, ni adui wakubwa kwa waislamu.
Hivi hiyo uislam kama ni njia ni dini ya Mungu , kwanini huyo mungu asije kuitetea hiyo dini yake yeye mwenyewe mpaka nyie ndio mjitoe muhanga , wafia dini na suruali kaptura zenu

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Mkuu ni kiu tu ya kutafuta mibaraka. Desperately looking for blessings that's why we put those holy flags in our dwellings.

Ila Mkuu unapataje baraka kutoka kwa mporaji?, Israeli ni waporaji wa ardhi ya Palestina. Ila kwa vile ni swala limekaa kiimani zaidi wacha niheshimu imani yako ndugu.
 
Endeleeni kutunga atory kuchochea chuki lkn hamtaweza kushindana na wana wa Mungu.

Nyie wakristo mnaamini yesu ni mwana wa Mungu, ambae kwa wayahudi hawamtambui yeye kama mwana wa Mungu, na ukristo wana ukana vile vile, ukristo kwao ni 2% na islamic 14%

Swali linakuja; je! Mayahudi wao wanaamini nani haswaa ndie mwana wa Mungu?
 
Unaongea utumbo tu kijana , kumbe hata hujui ile vita ya siku sita ambayo waarabu wote waliungana kutaka kuifuta Israel [emoji1134] kwenye uso wa dunia wakisaidiwa na russia [emoji635] wakajikuta wanapigwa wao , israel [emoji1134] hajawah kuanzisha vita maana anapenda amani , israel [emoji1134] pale masharik ya kati huwa haanzishi vurugu yeye , ila huwa anawatandika magaidi we hamas ambao huwa wanajitoa muhanga au wanatumiwa na iran [emoji1130] na russia [emoji635] na nchi nyingie, Israel [emoji1134] huwa anataka coexistamce na ndio maana aliwaachia msikit wa alaqsa waendelee kusali , ila kila wakileta fujo wanadhibitiw vikali , kumbuka hezbola na hamas ni magaid

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Ila Mkuu unapataje baraka kutoka kwa mporaji?, Israeli ni waporaji wa ardhi ya Palestina. Ila kwa vile ni swala limekaa kiimani zaidi wacha niheshimu imani yako ndugu.
Before the state of palestine, there was a country called Israel but the Nazi, Russians, and Allied members killed and pushed jewish out of their land that was located around mt. Zion, later After the defeat of Germany and it's Nazi allies, USA, Britain, France and it's Triple Entente decided to give Jewish people their original land at mt Zion, infact Jerusalem is situated on Mount Zion, so if we're to truly look at this issue with archaeological, Anthropological and any other Scientific facts we'll find that initially there was no country called Palestine.

Palestine was a province in syria, but the Assyrian empire took control of Babylonian empire and all Israelites were taken into captive, Assyrians extended their territorial boundaries into a Israel that what brings contention around East Jerusalem.

This is but a few, many historical facts can prove. Then finally the MOSSAD can infiltrate any country in the world and assassinate anybody they want particularly those supporting their opponents so I do advice that even if we may be at liberty to comment, we should be neutral particularly we citizens of Africa because our governments can't protect us whenever Israeli mossads decides to capture.

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Mwanzo 12:3,"Nami nitawabariki wakubarikio naye akulaaniye nitamlaani" ,na katika wewe jamaa zote za dunia watabarikiwa.
Ni kweli hii ilishatabiriwa na ayatollah wa iran kwamba Israel haitokuwepo miaka 25 ijayo hayo aliyasema mwaka 2015 leo ni 2021 ishapita miaka 5 sheikh wa maka naye katabiri kwamba miaka 20 ijayo hii inaenda kutokea kweli
Ahmed Nejaad alitabiri kuifuta Israel ndani ya utawala wake, ila mpaka anastaafu hakurusha jiwe hata jiwe ndani ya Israel. Huyu Ayatollah ni mwanasiasa aliyejificha nyuma ya dini, wala hakuna cha utabiri wowote. Tena kataja muda ambao anajuwa hatakuwepo hivyo hataweza kuulizwa kuhusu utabiri huo feki.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Itakuwa huna macho kama hujaona laana iliyompata Trump.Zaidi ni kuwa laana imeipata Marekani yote.leo hawana ubavu wa kupambana na hata Nicolas Maduro.Kule Afghanistan wamefurushwa kama mbwa koko.
Tatizo wewe kama binadamu una hasira na huna uoni wa lijalo mbeleni.Allah s.w ana huruma na ana hasira lakini sio kama hizi za kwetu binadamu.
Hivi ni lini mtakuwa na akili?? Trump na Marekani wana laana gani? Subiri wakuletee chanjo ya corona ili upate wasaa mzuri zaidi wa kuandika haya unayoyasema hapa.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Before the state of palestine, there was a country called Israel but the Nazi, Russians, and Allied members killed and pushed jewish out of their land that was located around mt. Zion, later After the defeat of Germany and it's Nazi allies, USA, Britain, France and it's Triple Entente decided to give Jewish people their original land at mt Zion, infact Jerusalem is situated on Mount Zion, so if we're to truly look at this issue with archaeological, Anthropological and any other Scientific facts we'll find that initially there was no country called Palestine.

Palestine was a province in syria, but the Assyrian empire took control of Babylonian empire and all Israelites were taken into captive, Assyrians extended their territorial boundaries into a Israel that what brings contention around East Jerusalem.

This is but a few, many historical facts can prove. Then finally the MOSSAD can infiltrate any country in the world and assassinate anybody they want particularly those supporting their opponents so I do advice that even if we may be at liberty to comment, we should be neutral particularly we citizens of Africa because our governments can't protect us whenever Israeli mossads decides to capture.

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app

Mkuu hivi unajua Zionism movement imeanza mwaka gani na ilianzia wapi? (Tafuta) alafu uje kulinganisha na ulichoandika hapa ndugu utaona unapojichanganya.
 
Unaongea utumbo tu kijana , kumbe hata hujui ile vita ya siku sita ambayo waarabu wote waliungana kutaka kuifuta Israel [emoji1134] kwenye uso wa dunia wakisaidiwa na russia [emoji635] wakajikuta wanapigwa wao , israel [emoji1134] hajawah kuanzisha vita maana anapenda amani , israel [emoji1134] pale masharik ya kati huwa haanzishi vurugu yeye , ila huwa anawatandika magaidi we hamas ambao huwa wanajitoa muhanga au wanatumiwa na iran [emoji1130] na russia [emoji635] na nchi nyingie, Israel [emoji1134] huwa anataka coexistamce na ndio maana aliwaachia msikit wa alaqsa waendelee kusali , ila kila wakileta fujo wanadhibitiw vikali , kumbuka hezbola na hamas ni magaid

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app

Kafiri lazima aegemee kumtetea kafiri mwenzie, tulishawazoea, na Qur'an haijaacha kitu."Hawatakuwa radhi juu yako Mayahudi wala Wakristo mpaka ufuate mila zao"

Wamekua wakipambana na palestina kwa takriban miaka sasa, wakitumia silaha za hali ya juu na msaada wa kifedha wa Amerika dhidi ya nchi ambayo haina jeshi, haina silaha wala pesa wala hakuna serikali kuu. Na bado hawajafanikiwa kushinda. Lini watafahamu?! Huwezi kuipiga nchi ambayo inalindwa na ALLAH
 
Hivi ni lini mtakuwa na akili?? Trump na Marekani wana laana gani? Subiri wakuletee chanjo ya corona ili upate wasaa mzuri zaidi wa kuandika haya unayoyasema hapa.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app

Kwani kutumia chanjo yao kuna shida gani, hata vya kwetu waislamu pia wanavitumia!! Mfano, oil, fuel n.k wanatumia.
 
Isa 43:1-7

Lakini sasa, BWANA aliyekuhuluku, Ee Yakobo, yeye aliyekuumba, Ee Israeli, asema hivi, Usiogope, maana nimekukomboa; nimekuita kwa jina lako, wewe u wangu. Upitapo katika maji mengi nitakuwa pamoja nawe; na katika mito, haitakugharikisha; uendapo katika moto, hutateketea; wala mwali wa moto hautakuunguza.

Maana mimi ni BWANA, Mungu wako; Mtakatifu wa Israeli, mwokozi wako, nimetoa Misri kuwa ukombozi wako; nimetoa Kushi na Seba kwa ajili yako. Kwa kuwa ulikuwa wa thamani machoni pangu, na mwenye kuheshimiwa, nami nimekupenda; kwa sababu hiyo nitatoa watu kwa ajili yako; na kabila za watu kwa ajili ya maisha yako.

Usiogope; maana mimi ni pamoja nawe; nitaleta wazao wako toka mashariki, nitakukusanya toka magharibi; nitaiambia kaskazi, Toa; nayo kusi, Usizuie; waleteni wana wangu kutoka mbali, na binti zangu kutoka miisho ya dunia. Kila mmoja aliyeitwa kwa jina langu, niliyemwumba kwa ajili ya utukufu wangu; mimi nimemwumba, naam, mimi nimemfanya.

Now its time wanarudi kwao
 
Nawe ukaamini?
Waarabu hawajaanza kutawanyika leo, mbona Saudia Arabia hawajatawanyika, Qatar, United Arab emirates au siyo waarabu?
Hata waafrika wanatawanyika wakimbizi kila kona.
Ila Israel kupata tabu lazima ipate tabu maana kimsingi wanawaonea wapalestina yani dunia ni sawa imebariki unyanyasaji wa Israel dhidi ya wapalestina.
Sijawahi kuelewa, inawezekana vipi eti mtu aliyeondoka kwenye eneo flani mamia ya miaka arudi basi hata wangoni wanaweza kurudi south Africa kudai eneo lao kama ndiyo hivi.
Hivi hawa wapalestina wanarusha ma-rockets kwa ajili ya kuua nyoka na mende kwenda Israel?
Tena si wanarusha kwenda ktk makazi ya watu wengi?
Mbona tunaona ukatili wanafanya Israel tu? au kwa kuwa silaha zao ni more advanced kuliko za hawa wapelstina?
 
Yaani mawazo ya sheikh mmoja ndo unasema mawazo ya wengi?

akili yako inaemdeshwaje na mtu wa miaka 98?😁
 
Back
Top Bottom