Kwa dua na laana hizi, Israel mwisho wake unakaribia

Kwa dua na laana hizi, Israel mwisho wake unakaribia

Hapa wote tuko kwa kutegemeana, wao wanatumia mafuta yetu tunayochimba, tena kwa kununua na kutuibia juu. Na sisi tunanunua vya kwao. Ngoma droo.
Hawana mchango wowote katika utengenezaji wa hayo mafuta zaidi ya kuyachimba kwa kwa techolojia ya mzungu, hata hivyo nchi kadhaa zishaanza kuachana na mafuta na sasa wanatumia umeme

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Hawana mchango wowote katika utengenezaji wa hayo mafuta zaidi ya kuyachimba kwa kwa techolojia ya mzungu, hata hivyo nchi kadhaa zishaanza kuachana na mafuta na sasa wanatumia umeme

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app

Sawa, wanachokifanya ni kuwakomoa waarabu ndio lengo la hao. Wenyewe wafanye wanavyotaka lakini watarudi kwenye fuel system, isitoshe mafuta yanatumika sehemu nyingi na si magari tu.
 
Hakika dini ya haki mbele ya Mwenyezi Mungu ni uislamu.
Mungu hana dini, tafuta taarifa kamili kuhusu chimbuko la dini zote, utashangaa, na utakuwa mshiriki mzuri sana ktk dini uliyonayo na akija mtu kukudanganya utakuwa unacheka tu.
 
Sawa, wanachokifanya ni kuwakomoa waarabu ndio lengo la makafiri kwa waislamu. Wenyewe wafanye wanavyotaka lakini watarudi kwenye fuel system
Binadamu wote ni sawa tunatofautiana akili na namna ya kutumia akili ili kujiendeleza, kuita watu makafiri ni kujizolea laana za bure na ni kwa sababu tunadangaywa kwa vitu hata tusivyovijua, Waarabu ndio wanaongoza kwa kuchukia na kuwaua watu weusi duniani, lakini hao wanaoitwa makafiri ndio wametumia akili zao kuendeleza dunia mpaka hapa ilipofikia. tukatea kudanganywa kwa maslahi ya watu wengine.
 
Chief, Israel itakuja kupigwa na kuharibiwa vibaya.. Sema sio leo ama kesho.. Hii ni kwa mujibu wa bible yenyewe.

Shida waislamu wanapambana kukamilisha unabii ambao wakati wake bado.

Wakati wa Yesu (fake) wa waislamu atakapokuja hapo ndo yatatimia haya.
Na Muslims wanamsubiri huyo jamaa kwa hamu sana..

Huyu Yesu fake ndiye atakae shusha moto kutoka mbinguni.
Kama ni fake atashushaje Moto? Hebu fafanua kidogo

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Binadamu wote ni sawa tunatofautiana akili na namna ya kutumia akili ili kujiendeleza, kuita watu makafiri ni kujizolea laana za bure na ni kwa sababu tunadangaywa kwa vitu hata tusivyovijua, Waarabu ndio wanaongoza kwa kuchukia na kuwaua watu weusi duniani, lakini hao wanaoitwa makafiri ndio wametumia akili zao kuendeleza dunia mpaka hapa ilipofikia. tukatea kudanganywa kwa maslahi ya watu wengine.

Kafiri sio tusi

Kafiri=Hakika wale wanao mkataa Mwenyezi Mungu na Mitume wake, na wanataka kufarikisha baina ya Mwenyezi Mungu na Mitume wake, kwa kusema: “Wengine tunawaamini na wengine tunawakataa.” Na wanataka kushika njia iliyo kati kati ya haya. - Hao ndio makafiri kweli. Na tumewaandalia makafiri adhabu ya kudhalilisha” (an-Nisa, 4/150 151).
 
Waarabu ndio wanaongoza kwa kuchukia na kuwaua watu weusi duniani

Stori za kwenye kahawa hizo, ziishie huko huko uliko.,, au unaweza leta uthibitisho hapa.

Wazungu wanauwa black amerika hulioni hilo!!!! Weusi kwa weusi wanauana huko ulaya na marekani hulioni hilo!!! Afrika ndio haswaa mauaji ya kikatili mpaka sasa yanaendelea, ukija huku kwetu albino huwa mnawafanya nini? Yote ili mpate utajiri wa haraka, kuuwa vikongwe, kuchuna watu ngozi!!! Wiki iliyopita abilia alipanda boda ikampeleka mpaka nyumbani kwake, kufika akamwambia wa boda subiri nije, jamaa alisubiri kumbe abilia ni jambazi lilitoka na nyundo akamtwanga la kichwa mshkaji alipoteza maisha pale pale. Yani ukitaka nikutajie matukio nitakuletea hata matukio 100 mnayoyafanya dhidi ya binadamu wenzenu. Haya yote hamuyaoni? ila mmekazania waarabu waarabu. Acheni chuki.
 
Stori za kwenye kahawa hizo, ziishie huko huko uliko.,, au unaweza leta uthibitisho hapa.

Wazungu wanauwa black amerika hulioni hilo!!!! Weusi kwa weusi wanauana huko ulaya na marekani hulioni hilo!!! Afrika ndio haswaa mauaji ya kikatili mpaka sasa yanaendelea, ukija huku kwetu albino huwa mnawafanya nini? Yote ili mpate utajiri wa haraka, kuuwa vikongwe, kuchuna watu ngozi!!! Wiki iliyopita abilia alipanda boda ikampeleka mpaka nyumbani kwake, kufika akamwambia wa boda subiri nije, jamaa alisubiri kumbe abilia ni jambazi lilitoka na nyundo akamtwanga la kichwa mshkaji alipoteza maisha pale pale. Yani ukitaka nikutajie matukio nitakuletea hata matukio 100 mnayoyafanya dhidi ya binadamu wenzenu. Haya yote hamuyaoni? ila mmekazania waarabu waarabu. Acheni chuki.
Nenda saudia arabia mji wenu mtakatifu u0ne wanavy0fir@ wafanyakaz wa ndani
 
Kiboko ya Israel ni Iran. Hatii mguu pale. Period

Mkuu huko mbali sana, kwani kwa palestina ameweza kushinda vita?? Wamekua wakipambana na palestina kwa takriban miaka sasa, wakitumia silaha za hali ya juu na msaada wa kifedha wa Amerika dhidi ya nchi ambayo haina jeshi, haina silaha wala pesa wala hakuna serikali kuu. Na bado hawajafanikiwa kushinda. Lini watafahamu?! Huwezi kuipiga nchi ambayo inalindwa na ALLAH
 
Nenda saudia arabia mji wenu mtakatifu u0ne wanavy0fir@ wafanyakaz wa ndani

Hapa tunaenda na facts with evidence, sasa ukiniambia niende saudia nikaone wafanyakazi wanafirwa nitakua mwendawazimu, ushahidi umeshindwa kuleta, still unataka nipoteze tiketi yangu kwa mambo ya kusadikika 😂 aise unapotoa hoja njoo kikamilifu, na sio kudhania. Mungu hapendi.
 
Stori za kwenye kahawa hizo, ziishie huko huko uliko.,, au unaweza leta uthibitisho hapa.

Wazungu wanauwa black amerika hulioni hilo!!!! Weusi kwa weusi wanauana huko ulaya na marekani hulioni hilo!!! Afrika ndio haswaa mauaji ya kikatili mpaka sasa yanaendelea, ukija huku kwetu albino huwa mnawafanya nini? Yote ili mpate utajiri wa haraka, kuuwa vikongwe, kuchuna watu ngozi!!! Wiki iliyopita abilia alipanda boda ikampeleka mpaka nyumbani kwake, kufika akamwambia wa boda subiri nije, jamaa alisubiri kumbe abilia ni jambazi lilitoka na nyundo akamtwanga la kichwa mshkaji alipoteza maisha pale pale. Yani ukitaka nikutajie matukio nitakuletea hata matukio 100 mnayoyafanya dhidi ya binadamu wenzenu. Haya yote hamuyaoni? ila mmekazania waarabu waarabu. Acheni chuki.











 













Habari za kusadikika, hazina ukweli wowote.. kila mmoja hapo anadai mwanae kajirushu toka gorofani 😂😂 sababu ya mateso.


Ebu weka na clip za mabosi wao tuone pande zote mbili, ili tujue nani mkweli. Na sio kuniwekea upande mmoja.
 
Mkuu huko mbali sana, kwani kwa palestina ameweza kushinda vita?? Wamekua wakipambana na palestina kwa takriban miaka sasa, wakitumia silaha za hali ya juu na msaada wa kifedha wa Amerika dhidi ya nchi ambayo haina jeshi, haina silaha wala pesa wala hakuna serikali kuu. Na bado hawajafanikiwa kushinda. Lini watafahamu?! Huwezi kuipiga nchi ambayo inalindwa na ALLAH
Hizbullah nao wameanza kufanya yao kutokea Lebanon.
 
Back
Top Bottom