Kwa dua na laana hizi, Israel mwisho wake unakaribia

Kwa dua na laana hizi, Israel mwisho wake unakaribia

Wayahud ndo wamefanya maisha yetu kuwa Magumu.. maana kumtosa Jesus kwa Ego's zao ndo wametupa mitihani sie outsiders kuwa kwenye dilemma

haiwezekan wamuamini Yohana mbatizaji awabatize ila wasimuamini maneno yake ya Kumtabiria Yesu
Na ndio hao hao wayahudi wametuletea dini nzuri ya kikristo tuipendayo hadi kufa. Yohana petro paulo Stephano n. K. Tutawapenda hadi kifio hilo halipingiki
 
Kuna sheikh mmoja Mecca Saudi Arabia anaheshimika sana na ni mtu wa Mungu ana miaka 98. Hata ameshawahi kuja kwenye mashindano ya dunia ya Quran Tanzania na Magufuli kuhudhuria.

Huyu sheikh alitabiri miaka ya nyuma waarabu watakuja kupigana wenyewe kwa wenyewe na kutawanyika kama wakimbizi. Watu walimbeza angalia yaliyotokea Libya na Syria.

Jana katabiri miaka ishirini ijayo Israel itafutika kabisa na kutoweka na watawaangukia hawahawa wapalestina kuomba msaada.

Ni taifa lililoaniwa na Mungu atawanyoosha.

Muda siyo mrefu mafedhuli mayahudi baby killers wote wataangamia.

Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.
Huyo atakuwa anataka ubwabwa ana namna
 
Wewe hujui history ya middle east, yani hujui lolote mzee, mahaba ya mayahudi/m.a.k.a.f.i.r.i wenzio yamekujaa tele " na utaingianao motoni hao makafiri wa kiyahudi.
Wew unachojua ni kipi. Boya wew , endeleeni kujitoa muhanga mkapewe mabikira motoni ,
 
Huyo mzee na rafikize Hamasi waweke silaha chini, Israel ataumaliza umma wa wapalestina kutokana na vizee vya mabaraza ya migambo huko mashariki ya kati.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Warabu wataisoma. Number , wanatumia watoto wadogo msitari wa mbele wa vita ili ionekane israel [emoji1134] anaua watoto , wazee wa kujitoa muhanga wameingia cha kike acha waiaome number [emoji336], hamas wanasaidiwa na russia na irani , wazee wa kujitoa muhanga wote
 
Binafsi ninaamini Mungu yupo [Ingawa siwezi thibitisha], ila sina hakika kama Mungu huwa anatoa laana kwa matukio makubwa kama haya ya Uonevu wa serikali na majeshi au yeye hutoa laana kwetu sisi katika individual level kwa vimakosa vyetu kama kuibiana, kudhulumiana n.k (yaani god of small things). Kwanini nasema hivi.

Ukitazama historia ya mwanadamu, toka dunia ya kale, mwanadamu amekuwa na hulka ya kumvamia mwenzake, kwa vigezo vya udhaifu, na kisha kumtawala. Hii si kati ya mzungu na mwafrika tu, bali hata jamii zingine. Mfano, huku kwetu africa dola kama Baganda ilikuwa kubwa kutokana na kuzivamia dola zingine ndogo ndogo kisha kuwa maeneo yake na kutanuka kwa ufalme (unyanganyaji ardhi), kina Milambo, Mkwawa, n.k wote wamefanya hivi. Warumi walitawala wazungu, waarabu wa Ottoman waliwatawala wazungu pia kwa miaka mingi, waarabu waliwachukua watumwa waafrika na kujenga miji yao huko, miaka ya 1500 wareno, waholanzi wote waliitawala dunia, kimabavu. Uingereza miaka ya 1800 to 1940s.

Leo Mmarekani amepindua/kujaribu kupindua serikali Zaidi ya 30 toka 1940. Mamilioni ya watu wameua kwenye mission hizo. Ugaidi ambao unatengenezwa na mataifa makubwa umeua takribani watu 2,000 duniani. Watawala madikteta kama kina mobutu, Noriega wamewekwa na Marekani wakiua watu wake, wakiuza unga huku yeye US akivuna rasilimali na kuzidi kuwa taifa tajiri zaidi. Libya wamemuua Ghadafi na maelfu ya raia wamekufa kutokana na ukosefu mapinduzi hayo, kisa tu Ghadafi alitaka kuanzisha sarafu itayotumiwa na Arab Countries kuuza mafuta. Hao Israel, wamewekwa pale Kibabe, na hadi leo wanazidi kuchukua maeneo ya wapalestine na kuua raia wasio na hatia. Karibu miaka 70 sasa, Mungu haoni tu? Dua ngapi zimeombwa na wapalestine, vilio vingapi vimetoka kwa kina mama na watoto wadogo wasio na hatia(ambao imani zinasema hakuna dua na laana mbaya kama ya mtoto!?).

Kwa hulka ya mwanadamu, kumtawala mwenzake akipata upenyo, ndio maana tulijiwekea sheria. Sheria hizi ndio zinaweza mdhibiti mwanadamu. So, hizi dua na laana sidhani kama zina majibu yoyote katika mambo haya ya kiserikali. Suluhu ya wapalestine ni wenzao wa M.E kuungana nao, kitu ambacho sikioni kikitokea. Jambo ambalo nina uhakika nalo ni kuwa, Palestine inaenda kupotea.
 
Israel haitapigwa kamwe,ila Palestina watapigwa na Gaza itapigwa na baadhi ya nchi zitakapoona wanashindwa suluhisho wataona waligawanye jiji LA Jerusalem kitu ambacho Mungu hataki na ndo balaa litaanzia hapo,Haya unayoyaona ni maandalizi tu!subiri uone!

Kuna nchi zitaungana ila nazo zitapigwa zote!

Soma biblia kitabu chote cha zakaria!
Kwa hiyo Mungu anataka watoto na raia wasio na hatia wauawe?[emoji848]
 
Huyo Shehe ni Balaamu aliyetumwa na Balaki kuilani Israeli! Majinu aliyopewa ni haya/
Hesabu 23:6-19,21-24
 
Masikini ya Mungu wanatia huruma hawa viumbe waliopotea. Hawaamini kama uislamu utakuja kutawala.
Utatawala kwa mikakati ipi? Maana sio organization na cordination iliyopo kwenye dini ya Uislam kiasi cha kusema utatawala dunia. Takwimu zinaonyesha kuwa watu duniani sasa hivi wanapoteza imani na dini. Kumbuka hata Ottoman ilipotawala dunia, haikutawala Uislam, bali ilitawala dola yenye viongozi na raia Waislam. Mfano huwezi sema Anglican ilitawala dunia, kisa tu dola ya Uingereza ilitawala dunia.

Hata Middle East watu wenye mfungamano na dini wanapotea. Millennials wanafuata sayansi hawafuati imani.
Screenshot_20210518-155353.jpg
 
Warabu wataisoma. Number , wanatumia watoto wadogo msitari wa mbele wa vita ili ionekane israel [emoji1134] anaua watoto , wazee wa kujitoa muhanga wameingia cha kike acha waiaome number [emoji336], hamas wanasaidiwa na russia na irani , wazee wa kujitoa muhanga wote

Bado hujui kuhusu huu mgogoro nini haswa wanachogombania,. ebu tuonyeshe basi angalau kaclip kanaonyesha watoto wadogo kuwaweka msitari wa mbele ya vita.

Unaonekana upo kishabiki zaidi kwa makafiri wenzio mkuu Kadosh
 
Back
Top Bottom