Mwamedi kakuingia sana mpaka umekuwa muhakiki wa imani za wengine, mwamedi alieoa kibinti cha miaka tisa ,?anaesema chinja watu ila wakubali imani yake , asee itamchukua mjinga kumwaminijihu rahisi ni kuwa sio sawa... sababu nje ya biblia judaism ni mchanganyiko wa Imani na tamaduni za kiyahudi
Ukristo ni imani tu....similarties na judaism zinaishia kwenye biblia tena agano la kale
mfano uislam na judasim similarities zao ziko kwenye tamaduni. na kidogo imani..wote wana Adhini kuitana kuswali.. wote, wanasujudu, wote hawaingii na viatu kwenye nyumba za ibada..wote wana uchaguzi wa vyakula..
wote wanatumia torah (Agano la kale) ... ingawa waislam wanaamini Wayahud wamechakachua Torah yao ...ndo maana quran ikashushwa