Kwa dua na laana hizi, Israel mwisho wake unakaribia

Kwa dua na laana hizi, Israel mwisho wake unakaribia

Sheikh wako utopolo kama wewe. Vita vinapiganwa ukanda huo toka enzi za Mussa.

Unganeni waarabu wote muipige Israel muone kinachowatokea. Shubamit!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nmechekaa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Israel ni taifa teule hawawezi kupotea kamwe...

Hii vita ilikuwepo tangu wakati ule Musa anawatoa Misri kuja nchi ya ahadi.

Mtoa mada, umewahi kujiuliza hawa watu waliua watu wangapi tangu walipotoka huko Misri mpaka walipofika nchi ya ahadi??

Imagine.. wakifika eneo lako wanakwambia hii ardhi Yahwe ametupa ni yetu, hivyo ondoka hapa...

Ukibisha wanamuomba Mungu wao na Mungu anakaa upande wao...

Unakula Kipigo either Ufe au ukimbie!

Kama kutoweka wangeshatoweka zamani sanaaa

[emoji3][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu umenichekesha sanaaa
Either upigwe ukimbie au[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna sheikh mmoja Mecca Saudi Arabia anaheshimika sana na ni mtu wa Mungu ana miaka 98. Hata ameshawahi kuja kwenye mashindano ya dunia ya Quran Tanzania na Magufuli kuhudhuria.

Huyu sheikh alitabiri miaka ya nyuma waarabu watakuja kupigana wenyewe kwa wenyewe na kutawanyika kama wakimbizi. Watu walimbeza angalia yaliyotokea Libya na Syria.

Jana katabiri miaka ishirini ijayo Israel itafutika kabisa na kutoweka na watawaangukia hawahawa wapalestina kuomba msaada.

Ni taifa lililoaniwa na Mungu atawanyoosha.

Muda siyo mrefu mafedhuli mayahudi baby killers wote wataangamia.

Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.
Tatizo hata huelewi palestina anapambana na nani?
Hujiulizi kwann mataifa yenye nguvu hayaingilii?hujiulizi kwann miaka nenda rudi haiishi?
Kama unaweza kupigana na Mungu na ukashinda sawa,Israel atapigwa! Laa sivyoo sahau,mtapigwa mpk muombe pooo!
Tutarudi hapa Ku comment!
 
Chief, Israel itakuja kupigwa na kuharibiwa vibaya.. Sema sio leo ama kesho.. Hii ni kwa mujibu wa bible yenyewe.

Shida waislamu wanapambana kukamilisha unabii ambao wakati wake bado.

Wakati wa Yesu (fake) wa waislamu atakapokuja hapo ndo yatatimia haya.
Na Muslims wanamsubiri huyo jamaa kwa hamu sana..

Huyu Yesu fake ndiye atakae shusha moto kutoka mbinguni.
Israel haitapigwa kamwe,ila Palestina watapigwa na Gaza itapigwa na baadhi ya nchi zitakapoona wanashindwa suluhisho wataona waligawanye jiji LA Jerusalem kitu ambacho Mungu hataki na ndo balaa litaanzia hapo,Haya unayoyaona ni maandalizi tu!subiri uone!

Kuna nchi zitaungana ila nazo zitapigwa zote!

Soma biblia kitabu chote cha zakaria!
 
Israel will not exist in the next 25 years: Khamenei



5 years ago
Hakuna wa kuofuta Israel,hawakuanza Leo kutaka kuifuta!
Ila Gaza haita exist!
Jamani mbona biblia iko wazi!
Achaneni na nabii fake hizi
 
Israel itakuja kuchapika kipigo cha mbwa koko sio leo wala kesho Lazima unabii utimie kama Bible ilivyosema
Mnasoma biblia gani[emoji16]soneni kwa mafunuo na kuelewa,
According to bible,Israel haiwezi kupigwa na Taifa lolote ila itapiga!
 
Kuna mambo mawili mkuu ni lazima yatokee.

1)Israeli kula kichapo kweli kweli hadi wapoteane.

2)islam kutawala dunia..
Kama masighala vile lakini ili ni lazima litatimia, lisipotimia basi bibilia itakuwa imeanza ugonjwa wa kuongopa.
Icho ndo kile kipindi cha kumkiri Yesu shingo idondoke ama umkane maisha ya endelee.
Biblia unaisingizia,either hujaelewa au umesimuliwa!
Israel haiwezi kupigwa,Islam haiwezi kutawala dunia!
Soma zakaria yote,na ufunuo ,Daniel pia utaona nani atakuja kutawala dunia!
 
Ufunuo 13:13Naye afanya ishara kubwa, hata kufanya moto kushuka kutoka mbinguni uje juu ya nchi mbele ya wanadamu.
Huyu anaeongelewa hapa ni mpinga Kristo ambae sshv roho yake ndo inafanya kazi,yeye bado kufunuliwa!
 
"They Jews left BLACK and returned WHITE" hii nukuu ya rais wa misri Gamal Nasser according to the Bible....

Wale ni wavamizi ndio maana wapalestina hawawezi kukubali kuondoka kwenye nchi ile
Israel ni kwao walipewa na Mungu! Hawawezi kuondoka!
Kwanza watu wengi hata hamuelewi kuwa hii vita nn kinagombewa hapa mnafikiri ni ardhi tu!
 
Kuna sheikh mmoja Mecca Saudi Arabia anaheshimika sana na ni mtu wa Mungu ana miaka 98. Hata ameshawahi kuja kwenye mashindano ya dunia ya Quran Tanzania na Magufuli kuhudhuria.

Huyu sheikh alitabiri miaka ya nyuma waarabu watakuja kupigana wenyewe kwa wenyewe na kutawanyika kama wakimbizi. Watu walimbeza angalia yaliyotokea Libya na Syria.

Jana katabiri miaka ishirini ijayo Israel itafutika kabisa na kutoweka na watawaangukia hawahawa wapalestina kuomba msaada.

Ni taifa lililoaniwa na Mungu atawanyoosha.

Muda siyo mrefu mafedhuli mayahudi baby killers wote wataangamia.

Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.
Mnaota nyie

Lile eneo ni la Israel na lazima wavunje ule msikiti wa al aqsa
 
Miaka 60 israel hawajashinda hii vita, Mwenyezi Mungu anawalinda wapalestina.
 
Israel ni taifa teule hawawezi kupotea kamwe...

Hii vita ilikuwepo tangu wakati ule Musa anawatoa Misri kuja nchi ya ahadi.

Mtoa mada, umewahi kujiuliza hawa watu waliua watu wangapi tangu walipotoka huko Misri mpaka walipofika nchi ya ahadi??

Imagine.. wakifika eneo lako wanakwambia hii ardhi Yahwe ametupa ni yetu, hivyo ondoka hapa...

Ukibisha wanamuomba Mungu wao na Mungu anakaa upande wao...

Unakula Kipigo either Ufe au ukimbie!

Kama kutoweka wangeshatoweka zamani sanaaa
duuh,this is Really propaganda,Mungu huyu ninaemjua hawezi kukaa upande wa madhalimu haiwezekani mtu akupore ardhi yako halafu Mungu awe upande wake,vitu vingine tutumie logic tusikubali kulishwa propaganda,siye Mungu huyu ninaemjua anayeweza kuwa hivyo ulivyopropagandishwa
 
Ni kweli hii ilishatabiriwa na ayatollah wa iran kwamba Israel haitokuwepo miaka 25 ijayo hayo aliyasema mwaka 2015 leo ni 2021 ishapita miaka 5 sheikh wa maka naye katabiri kwamba miaka 20 ijayo hii inaenda kutokea kweli
hakuna ajuae ya sirini zaidi ya Mungu pekee,huo utabaki kuwa utabiri kama utabiri mwingine kikubwa hao jamaa mbona inafahamika ni wavamizi wa ardhi ya watu,dunia na jumuia za kimataifa zitende haki...na kikubwa zaidi hakika mwisho wa udhalimu ni maangamivu
 
wayahud sio wakristo Dini yao ni Judaism ni mchanganyiko wa mafundisho ya Agano la kale na taratibu za kiasili za wayahudi...

kama ilivyo kwa Islamic religion ina mchanganyiko wa Taratibu za kidini na tamaduni za kiarabu

judaism ni moja kati ya dini kubwa tatu. ulimwengunk wayahud sio wakristo... hawaamini kuwa Yesu ndie mwokozi na alietabiriwa na yohana mbatizaji.. wao wanasubir mwokoz wao..

tofauti ya Mkristo na Myahud ni kuwa Myahud hana Agano jipya kwenye Biblia yake (Hebrew bible) anatumia Agano la kale tu kwa maana hiyo yeye anafata mafundisho ya agano la kale .. kumbuka Agano jipya ni kumhusu yesu na maisha yake na wao wanaomuona yesu ni mwanaharakati tu na inspirational leader sio Holy figure (Masihi)

ila Ukristo umetoka kwenye judaism ( sexond temple of judaism) ndo maana kuna wayahud wakristo kwa maana ya wanaomwamini Yesu Kristo

Biblia ya Wayahud na ya wakristo ziko sawa tofauti ni ya wakristo imeongezeka Agano jipya ambalo wayahud hawalitambui .. Mkristo maana yake ni anatemfata kristi ambaye ndio Yesu

So kwa ufupi ukiwa ww mkristo ukaingia kwenye kanisa (sinagogi) la wayahud kama unaelewa kiebrania hautapata shida kusali... shida yako itakuwa ni zile taratibu zao za kusali za kiasili (hawakai kwenye viti hawaingii na viatu na wanasujudu) kama unavyoona waislam...

chimbuko la kusujudu au kutokuingia na viatu kwenye masinagogi yao.. wayahud wamepata kutoka kwenye agano la kale pale Musa alipoongea na Mungu kupitia kichaka kilichokuwa kinawaka.. akaambiwa via viatu hapa ni mahali patakatifu.

tukihitimisha ni kuwa Wakristo wanafata mafundisho ya Yesu ambaye kwake yeye life style na material things (kama mavaz na aina ya vyakula ) sio issue kwake , issue ni kuwa msafi wa kiroho na imani. wakat wayahud wanaamin mafundisho ya Musa (agano la kale) ambalo linatoa muongozo wa jinsi ya kuishi na aina ya vyakula.
Nataka utoe conclusion je ukristo ni sawa na uyahudi despite the whole similarities
 
Nataka utoe conclusion je ukristo ni sawa na uyahudi despite the whole similarities


jihu rahisi ni kuwa sio sawa... sababu nje ya biblia judaism ni mchanganyiko wa Imani na tamaduni za kiyahudi

Ukristo ni imani tu....similarties na judaism zinaishia kwenye biblia tena agano la kale

mfano uislam na judasim similarities zao ziko kwenye tamaduni. na kidogo imani..wote wana Adhini kuitana kuswali.. wote, wanasujudu, wote hawaingii na viatu kwenye nyumba za ibada..wote wana uchaguzi wa vyakula..

wote wanatumia torah (Agano la kale) ... ingawa waislam wanaamini Wayahud wamechakachua Torah yao ...ndo maana quran ikashushwa
 
Back
Top Bottom