PNC
JF-Expert Member
- Feb 3, 2015
- 8,106
- 14,353
Ahahahahahhahahha aiseeHii ndiyo sababu ya ugomvi wao huu wa sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahahahhahahha aiseeHii ndiyo sababu ya ugomvi wao huu wa sasa?
Hili Taifa lina mkono wa Mungu amini usiamini.Ni taifa lililoaniwa na Mungu atawanyoosha.
Huku tulishapita nduguKuna mambo mawili mkuu ni lazima yatokee.
1)Israeli kula kichapo kweli kweli hadi wapoteane.
2)islam kutawala dunia..
Kama masighala vile lakini ili ni lazima litatimia, lisipotimia basi bibilia itakuwa imeanza ugonjwa wa kuongopa.
Icho ndo kile kipindi cha kumkiri Yesu shingo idondoke ama umkane maisha ya endelee.
Imeandikwa wapiChief, Israel itakuja kupigwa na kuharibiwa vibaya.. Sema sio leo ama kesho.. Hii ni kwa mujibu wa bible yenyewe.
Shida waislamu wanapambana kukamilisha unabii ambao wakati wake bado.
Wakati wa Yesu (fake) wa waislamu atakapokuja hapo ndo yatatimia haya.
Na Muslims wanamsubiri huyo jamaa kwa hamu sana..
Huyu Yesu fake ndiye atakae shusha moto kutoka mbinguni.
Hawajafurushwa na mtu, wametoka wenyewe kwani waliloenda kulifanya washalifanya, ya nini kutumia zaidi hela ya umma, wakati washatimiza yao?Itakuwa huna macho kama hujaona laana iliyompata Trump.Zaidi ni kuwa laana imeipata Marekani yote.leo hawana ubavu wa kupambana na hata Nicolas Maduro.Kule Afghanistan wamefurushwa kama mbwa koko.
Tatizo wewe kama binadamu una hasira na huna uoni wa lijalo mbeleni.Allah s.w ana huruma na ana hasira lakini sio kama hizi za kwetu binadamu.
Marekani kuondoka Afghanistan ni laana? Kwani ni kwao kule? Alitakiwa akae mpaka lini kwani.Itakuwa huna macho kama hujaona laana iliyompata Trump.Zaidi ni kuwa laana imeipata Marekani yote.leo hawana ubavu wa kupambana na hata Nicolas Maduro.Kule Afghanistan wamefurushwa kama mbwa koko.
Tatizo wewe kama binadamu una hasira na huna uoni wa lijalo mbeleni.Allah s.w ana huruma na ana hasira lakini sio kama hizi za kwetu binadamu.
Ufunuo 13:13Naye afanya ishara kubwa, hata kufanya moto kushuka kutoka mbinguni uje juu ya nchi mbele ya wanadamu.Imeandikwa wapi
Huku tulishapita ndugu
Kazi ya Marekani na Israel ndio hiyo kupiga kiholela.Na sio sisi tuliosema bali ni wao wenyewe kuwa mwisho wa Maduro ni mwezi ujao au Assad ataondoka wiki mbili zijazo.Iwapo wameshindwa kuwaondoa inakuwaje wewe unawatetea na unakataa kuwa huko ni kushindwa.Marekani kuondoka Afghanistan ni laana? Kwani ni kwao kule? Alitakiwa akae mpaka lini kwani.
Nicholas Madulo wapiganae nae kwa sababu zipi. Kwani jeshi la Marekani kazi yake ni kupigana kiholera? Kwa nini unataka wapigane na Madulo ili isionekane wamelaaniwa
Nyie ndio mnasababisha Israel aendelee kuwapiga Wapalestina kwa vile akiwaacha anafanya nao makubaliano mtasema amewaogopa.
"They Jews left BLACK and returned WHITE" hii nukuu ya rais wa misri Gamal Nasser according to the Bible....Nawe ukaamini?
Waarabu hawajaanza kutawanyika leo, mbona Saudia Arabia hawajatawanyika, Qatar, United Arab emirates au siyo waarabu?
Hata waafrika wanatawanyika wakimbizi kila kona.
Ila Israel kupata tabu lazima ipate tabu maana kimsingi wanawaonea wapalestina yani dunia ni sawa imebariki unyanyasaji wa Israel dhidi ya wapalestina.
Sijawahi kuelewa, inawezekana vipi eti mtu aliyeondoka kwenye eneo flani mamia ya miaka arudi basi hata wangoni wanaweza kurudi south Africa kudai eneo lao kama ndiyo hivi.
... kabeba samaki au vilipukizi? Ilikuwa sahihi wamuhi kabla hajaleta madhara; safi sana. Waache ujuaji.Baba mpalestina kaenda kuchukua samaki baharini akawa anarudi akakutana na majeshi ya Israel wakamsimamisha akawasihi wamruhusu anawahi kuwapelekea chakula familia yake futari yani wakammiminia risasi na kumuua. Familia inamsubiri wanaambiwa mayahud wamemuua.
Ukishaanza kuweka mtazamo wa kidini kwenye mgogoro wowote ule unakuwa unafanya makosa. Hii issue sio religious war, hii sio kama Sereka VS Antibaraka ya C.A.RKazi ya Marekani na Israel ndio hiyo kupiga kiholela.Na sio sisi tuliosema bali ni wao wenyewe kuwa mwisho wa Maduro ni mwezi ujao au Assad ataondoka wiki mbili zijazo.Iwapo wameshindwa kuwaondoa inakuwaje wewe unawatetea na unakataa kuwa huko ni kushindwa.
Makubaliano na Hamas nawafanye na hatuwakatazi lakini twajua Hamas kwa kufuata muongozo wa Qur'an kuhusiana na mayahudi hawalali hata siku moja na hakuna siku watainua mikono kwamba wameshindwa.Kwa upande mwengine Israel itachoka kuporomosha majengo lakini haitawashinda waislamu wa Palestina.
Mkuu Fredwash shukran kwa ufafanuzi ila hizi Imani na Dini za mapokeo ukichunguza kwa akili timamu unagundua ni kama tamaduni na mila tu za hawa jamaa.
Hivi myahudi Yesu yeye alikuwa hatawadh na kusujudutukihitimisha ni kuwa Wakristo wanafata mafundisho ya Yesu ambaye kwake yeye life style na material things (kama mavaz na aina ya vyakula ) sio issue kwake , issue ni kuwa msafi wa kiroho na imani. wakat wayahud wanaamin mafundisho ya Musa (agano la kale) ambalo linatoa muongozo wa jinsi ya kuishi na aina ya vyakula.
Hivi myahudi Yesu yeye alikuwa hatawadh na kusujudu