Kwa dua na laana hizi, Israel mwisho wake unakaribia

Kwa dua na laana hizi, Israel mwisho wake unakaribia

Hao wayahudi, wanafuata dini ya "Judaism", ni dini toka miaka 4000 iliyopita, ili kuijuwa imanj ya Kiyahudi lazima ujuwe Judaism
Hawa Wayahudi siyo WAKRISTO.
Na ndiyo maana WALIMUUWA YESU KRISTO.
Sasa inakuaje baadhi ya sisi Wakristo tunawababaikia na kuwaita taifa teule
 
ngoja wenyewe waje namsubiri pia yule shehe ubwabwa aliyemlaani Afande sele , naona jamaa anaendelea kula ganja hata baada ya kuisha Ramadhani
 
Israel ni taifa teule hawawezi kupotea kamwe...

Hii vita ilikuwepo tangu wakati ule Musa anawatoa Misri kuja nchi ya ahadi.

Mtoa mada, umewahi kujiuliza hawa watu waliua watu wangapi tangu walipotoka huko Misri mpaka walipofika nchi ya ahadi??

Imagine.. wakifika eneo lako wanakwambia hii ardhi Yahwe ametupa ni yetu, hivyo ondoka hapa...

Ukibisha wanamuomba Mungu wao na Mungu anakaa upande wao...

Unakula Kipigo either Ufe au ukimbie!

Kama kutoweka wangeshatoweka zamani sanaaa
Chief, Israel itakuja kupigwa na kuharibiwa vibaya.. Sema sio leo ama kesho.. Hii ni kwa mujibu wa bible yenyewe.

Shida waislamu wanapambana kukamilisha unabii ambao wakati wake bado.

Wakati wa Yesu (fake) wa waislamu atakapokuja hapo ndo yatatimia haya.
Na Muslims wanamsubiri huyo jamaa kwa hamu sana..

Huyu Yesu fake ndiye atakae shusha moto kutoka mbinguni.
 
Kuna sheikh mmoja Mecca Saudi Arabia anaheshimika sana na ni mtu wa Mungu ana miaka 98. Hata ameshawahi kuja kwenye mashindano ya dunia ya Quran Tanzania na Magufuli kuhudhuria.

Huyu sheikh alitabiri miaka ya nyuma waarabu watakuja kupigana wenyewe kwa wenyewe na kutawanyika kama wakimbizi. Watu walimbeza angalia yaliyotokea Libya na Syria.

Jana katabiri miaka ishirini ijayo Israel itafutika kabisa na kutoweka na watawaangukia hawahawa wapalestina kuomba msaada.

Ni taifa lililoaniwa na Mungu atawanyoosha.

Muda siyo mrefu mafedhuli mayahudi baby killers wote wataangamia.

Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.
Israel taifa la Mungu,mpango wa kulifuta haukuanza leo.
 
Nawe ukaamini?
Waarabu hawajaanza kutawanyika leo, mbona Saudia Arabia hawajatawanyika, Qatar, United Arab emirates au siyo waarabu?
Hata waafrika wanatawanyika wakimbizi kila kona.
Ila Israel kupata tabu lazima ipate tabu maana kimsingi wanawaonea wapalestina yani dunia ni sawa imebariki unyanyasaji wa Israel dhidi ya wapalestina.
Sijawahi kuelewa, inawezekana vipi eti mtu aliyeondoka kwenye eneo flani mamia ya miaka arudi basi hata wangoni wanaweza kurudi south Africa kudai eneo lao kama ndiyo hivi.
unabii umetimia
 
Khamenei: Israel won’t survive next 25 years

Taking to Twitter, Iranian leader says Zionists won't find serenity until destruction, calls US 'Great Satan' and rejects any talks with Washington beyond nuke deal

By TOI STAFF9 September 2015, 12:20 pm 385

[data:image/svg+xml;charset=utf-8,%3Csvg xmlns='http%3A//www][https://static-timesofisrael-com]

In this picture released by official website of Ayatollah Ali Khamenei's office on Thursday, Sept. 3, 2015, he is seen speaking in a meeting with members of Iran's Experts Assembly in Tehran, Iran. (Office of the Iranian Supreme Leader via AP)

43.4Kshares

Israel will not survive the next 25 years, Iran’s Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei said Wednesday, making a series of threatening remarks published online.

In a quote posted to Twitter by Khamenei’s official account, Khamenei addresses Israel, saying, “You will not see next 25 years,” and adds that the Jewish state will be hounded until it is destroyed.

The quote comes against a backdrop of a photograph apparently showing the Iranian leader walking on an Israeli flag painted on a sidewalk.

“After negotiations, in Zionist regime they said they had no more concern about Iran for next 25 years; I’d say: Firstly, you will not see next 25 years; God willing, there will be nothing as Zionist regime by next 25 years. Secondly, until then, struggling, heroic and jihadi morale will leave no moment of serenity for Zionists,” the quote from Iran’s top leader reads in broken English.

The quote was apparently taken from a speech given earlier in the day.

The remarks came as US lawmakers began to debate supporting a recent nuclear agreement between Tehran and six world powers. Critics of the deal have pointed to fiery anti-US and anti-Zionist rhetoric as proof that the regime should not be trusted.

The White House and other deal boosters argue that the pact, meant to keep Iran from acquiring a nuclear weapon, is based on verification, not trust.


Khamenei’s statements also reaffirmed his view that the US is a “Great Satan” and that there would be no detente with Washington beyond the nuclear talks.

“We approved talks with the United States about [the] nuclear issue specifically. We have not allowed talks with the US in other fields and we [do] not negotiate with them,” Khamenei said in statements published on his website.


Khamenei is quoted as saying any other talks would be “a tool for penetration and imposing their demands.”

On Twitter, Khamenei said talks with the US were a “means of infiltration and imposition of their wills.”

Quoting the founder of the Islamic Republic and his predecessor as Supreme Leader Ayatollah Ruhollah Khomeini, Khamenei tweeted: “@IRKhomeini stated “US is the Great Satan,” some insist on depicting this Great Satan as an angel.”


The Twitter handle @IRKhomeini is an Iranian government account dedicated to Khomeini’s statements.

Some have pointed to the nuclear deal as an opening for Iran to repair long-frayed ties with the West.

Several senior European officials have traveled to Iran since the nuclear deal was reached to boost economic and diplomatic ties, including Austrian President Heinz Fischer, who on Monday became the first European leader to visit Tehran in over a decade.


On Tuesday, Iranian President Hassan Rouhani signaled that Iran is ready to hold talks with world powers on ways to resolve Syria’s civil war — provided such negotiations could secure peace and democracy in the conflict-torn country, he said.

Iran, together with Russia, backs the embattled regime of Bashar Assad, who is opposed by much of the West.

AP contributed to this report.

READ MORE:

Israel & the Region



Ali Khamenei



Ruhollah Khomeini



Iran



Twitter



Iran nuclear talks



Iranian terror



Iranian threat



US-Iran relations



Israel-Iran relations



Iran nuclear deal

COMMENTS

[emoji2398] 2021 THE TIMES OF ISRAEL, All Rights Reserved

DEVELOPED BY

POWERED BY


Kuna sheikh mmoja Mecca Saudi Arabia anaheshimika sana na ni mtu wa Mungu ana miaka 98. Hata ameshawahi kuja kwenye mashindano ya dunia ya Quran Tanzania na Magufuli kuhudhuria.

Huyu sheikh alitabiri miaka ya nyuma waarabu watakuja kupigana wenyewe kwa wenyewe na kutawanyika kama wakimbizi. Watu walimbeza angalia yaliyotokea Libya na Syria.

Jana katabiri miaka ishirini ijayo Israel itafutika kabisa na kutoweka na watawaangukia hawahawa wapalestina kuomba msaada.

Ni taifa lililoaniwa na Mungu atawanyoosha.

Muda siyo mrefu mafedhuli mayahudi baby killers wote wataangamia.

Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.
 
Ni kweli hii ilishatabiriwa na ayatollah wa iran kwamba Israel haitokuwepo miaka 25 ijayo hayo aliyasema mwaka 2015 leo ni 2021 ishapita miaka 5 sheikh wa maka naye katabiri kwamba miaka 20 ijayo hii inaenda kutokea kweli


Kuna sheikh mmoja Mecca Saudi Arabia anaheshimika sana na ni mtu wa Mungu ana miaka 98. Hata ameshawahi kuja kwenye mashindano ya dunia ya Quran Tanzania na Magufuli kuhudhuria.

Huyu sheikh alitabiri miaka ya nyuma waarabu watakuja kupigana wenyewe kwa wenyewe na kutawanyika kama wakimbizi. Watu walimbeza angalia yaliyotokea Libya na Syria.

Jana katabiri miaka ishirini ijayo Israel itafutika kabisa na kutoweka na watawaangukia hawahawa wapalestina kuomba msaada.

Ni taifa lililoaniwa na Mungu atawanyoosha.

Muda siyo mrefu mafedhuli mayahudi baby killers wote wataangamia.

Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.
 
Israel will not exist in the next 25 years: Khamenei



5 years ago
 
Israel will not exist in the next 25 years: Khamenei



5 years ago
 
Ni kweli hii ilishatabiriwa na ayatollah wa iran kwamba Israel haitokuwepo miaka 25 ijayo hayo aliyasema mwaka 2015 leo ni 2021 ishapita miaka 5 sheikh wa maka naye katabiri kwamba miaka 20 ijayo hii inaenda kutokea kweli
Ezekieli 38
1.Neno la Bwana likanijia, kusema,
2 Mwanadamu, kaza uso wako, umwelekee Gogu, wa nchi ya Magogu, mkuu wa Roshi, Mesheki, na Tubali, ukatabiri juu yake,
3 useme, Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, mimi ni juu yako, Ewe Gogu, mkuu wa Roshi, na Mesheki, na Tubali;
4 nami nitakugeuza na kutia kulabu katika mataya yako, nami nitakutoa, pamoja na jeshi lako lote, farasi na hao wapandao farasi, wote wamevaa silaha za namna zote, jeshi kubwa sana, wenye ngao na kigao, wote wakishika upanga;
5 Uajemi, na Kushi, na Putu, pamoja nao; wote wana ngao na chapeo;
6 Gomeri, na vikosi vyake vyote; nyumba ya Togarma, pande za mwisho za kaskazini, na vikosi vyake vyote; naam, watu wengi pamoja nawe.
7 Ujiweke tayari, naam, jiweke tayari, wewe na majeshi yako yote waliokukusanyikia, nawe uwe jemadari wao.
8 Na baada ya siku nyingi utajiliwa; katika miaka ya mwisho, utaingia nchi iliyorudishiwa hali yake ya kwanza, baada ya kupigwa kwa upanga, iliyokusanywa toka kabila nyingi za watu, juu ya milima ya Israeli, iliyokuwa ukiwa wa daima; lakini imetolewa katika kabila za watu, nao watakaa salama salimini wote pia.
9 Nawe utapaa juu, utakuja kama tufani, utakuwa kama wingu kuifunika nchi, wewe, na vikosi vyako vyote, na kabila nyingi za watu pamoja nawe.
10 Bwana MUNGU asema hivi; Itakuwa katika siku hiyo, mawazo yataingia moyoni mwako, nawe utakusudia kusudi baya;
11 nawe utasema, Nitapanda juu niiendee nchi yenye vijiji visivyo na maboma; nitawaendea watu wanaostarehe, wanaokaa salama, wote wakikaa pasipo kuta, ambao hawana makomeo wala malango;
12 ili kuteka mateka, na kuwinda mawindo; uugeuze mkono wako juu ya mahali palipoharibika, ambapo sasa panakaliwa na watu, na juu ya watu waliokusanyika toka mataifa, waliopata ng'ombe na mali, wakaao katikati ya dunia.
13 Sheba, na Dedani, na wafanya biashara wa Tarshishi, pamoja na wana-simba wake wote, watakuambia, Je! Umekuja kuteka mateka? Umekusanya jeshi lako, ili kuwinda mawindo? Kuchukua fedha na dhahabu, kuchukua ng'ombe na mali, kuteka mateka mengi sana?
14 Basi, mwanadamu, tabiri, umwambie Gogu, Bwana MUNGU asema hivi; Katika siku ile watu wangu, Israeli, watakapokaa salama, hutapata habari?
15 Nawe utakuja kutoka mahali pako, kutoka pande za mwisho za kaskazini, wewe, na watu wa kabila nyingi pamoja nawe, wote wamepanda farasi, kusanyiko kubwa, na jeshi kuu;
16 nawe utapanda juu uwajilie watu wangu, Israeli, kama wingu kuifunika nchi; itakuwa katika siku za mwisho, nitakuleta upigane na nchi yangu, ili mataifa wanijue, nitakapotakaswa kwako, Ewe Gogu, mbele ya macho yao.
17 Bwana MUNGU asema hivi; Je! Wewe ndiwe niliyemnena zamani za kale, kwa vinywa vya watumishi wangu, manabii wa Israeli, waliotabiri siku zile kwa muda wa miaka mingi, ya kwamba nitakuleta upigane nao?
18 Itakuwa katika siku hiyo, Gogu atakapokuja kupigana na nchi ya Israeli, asema Bwana MUNGU, ghadhabu yangu itapanda katika mianzi ya pua yangu.
19 Kwa maana katika wivu wangu, na katika moto wa ghadhabu yangu, nimenena, Hakika katika siku ile kutakuwako tetemeko kubwa katika nchi ya Israeli;
20 hata samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama wa kondeni, na vitu vyote vitambaavyo juu ya nchi, na wanadamu wote walio juu ya uso wa nchi, watatetemeka mbele ya uso wangu; nayo milima itatupwa chini, na magenge yataanguka, na kila ukuta utaanguka chini.
21 Nami nitaita upanga, uje juu yake katika milima yangu yote, asema Bwana MUNGU; nao upanga wa kila mtu utakuwa juu ya ndugu yake.
22 Nami nitamhukumu kwa tauni, na kwa damu; nami nitanyesha mvua ifurikayo, na mvua ya mawe makubwa sana, na moto na kiberiti juu yake, na vikosi vyake, na watu wa kabila nyingi walio pamoja naye.
23 Nami nitajitukuza, na kujitakasa, na kujidhihirisha, mbele ya macho ya mataifa mengi; nao watajua ya kuwa mimi ndimi Bwana.
 
Israel itakuja kuchapika kipigo cha mbwa koko sio leo wala kesho Lazima unabii utimie kama Bible ilivyosema
 
Israel itakuja kuchapika kipigo cha mbwa koko sio leo wala kesho Lazima unabii utimie kama Bible ilivyosema
Kuna mambo mawili mkuu ni lazima yatokee.

1)Israeli kula kichapo kweli kweli hadi wapoteane.

2)islam kutawala dunia..
Kama masighala vile lakini ili ni lazima litatimia, lisipotimia basi bibilia itakuwa imeanza ugonjwa wa kuongopa.
Icho ndo kile kipindi cha kumkiri Yesu shingo idondoke ama umkane maisha ya endelee.
 
Kuna mambo mawili mkuu ni lazima yatokee.

1)Israeli kula kichapo kweli kweli hadi wapoteane.

2)islam kutawala dunia..
Kama masighala vile lakini ili ni lazima litatimia, lisipotimia basi bibilia itakuwa imeanza ugonjwa wa kuongopa.
Icho ndo kile kipindi cha kumkiri Yesu shingo idondoke ama umkane maisha ya endelee.
Namuonea sana huruma allah. He is hopeless and helpless. Hata wanaomuabudu wamemzidi nguvu na maarifa.
 
Hii itatokea mapema watu wa Misri na Jordan watakapofanikiwa kuondosha viongozi vibaraka ili wapatikane viongozi watakaokuwa na ubinadamu ili wafungue mipaka na wasahau mikataba yote ya hadaa ya Israel.Hapo watu watamiminika ndani ya Palestina na kule kunakoitwa Israel na kujaza mitaa yote.Hapo hakutokuwa na silaha ya angani wala nyuklia itakayofanya kazi.
Kwa madhila na vifungo walivyokwishapata wapalestina kila mmoja wake kwa waume ni askari.Asiyeweza kutumia bunduki basi anajiamini kutumia mkono wake hata mkavu mkavu.
 
Bush alipigiwa dua na waislamu dunia nzima afe na alaaniwe lakini mpaka leo anadunda shambani kwake Texas.Free Palestine.
Itakuwa huna macho kama hujaona laana iliyompata Trump.Zaidi ni kuwa laana imeipata Marekani yote.leo hawana ubavu wa kupambana na hata Nicolas Maduro.Kule Afghanistan wamefurushwa kama mbwa koko.
Tatizo wewe kama binadamu una hasira na huna uoni wa lijalo mbeleni.Allah s.w ana huruma na ana hasira lakini sio kama hizi za kwetu binadamu.
 
Back
Top Bottom