Kwa dua na laana hizi, Israel mwisho wake unakaribia

Kwa dua na laana hizi, Israel mwisho wake unakaribia

Kuna sheikh mmoja Mecca Saudi Arabia anaheshimika sana na ni mtu wa Mungu ana miaka 98. Hata ameshawahi kuja kwenye mashindano ya dunia ya Quran Tanzania na Magufuli kuhudhuria.

Huyu sheikh alitabiri miaka ya nyuma waarabu watakuja kupigana wenyewe kwa wenyewe na kutawanyika kama wakimbizi. Watu walimbeza angalia yaliyotokea Libya na Syria.

Jana katabiri miaka ishirini ijayo Israel itafutika kabisa na kutoweka na watawaangukia hawahawa wapalestina kuomba msaada.

Ni taifa lililoaniwa na Mungu atawanyoosha.

Muda siyo mrefu mafedhuli mayahudi baby killers wote wataangamia.

Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.
Hizi dini ni shida zinapumbaza watu wanashindwa kufikiria, kwani nani hakujua libia,syria zitakuja kuanguka kutokana na mifumo yao ya nchi na tabia za viongozi wao? Nchi za kiarabu, Africa, South America nyingi zina mifumo inayofanana na kutengeneza viongozi wenye tabia zinazofanana. Ni rahisi kuona matokeo yake miaka kazaa inayokuja
 
Pananipa mtihani kweli hapa, maana sithubutu kumkana ispokuwa huku kwetu anajulikana kama YAHUSHA...!

Wayahud ndo wamefanya maisha yetu kuwa Magumu.. maana kumtosa Jesus kwa Ego's zao ndo wametupa mitihani sie outsiders kuwa kwenye dilemma

haiwezekan wamuamini Yohana mbatizaji awabatize ila wasimuamini maneno yake ya Kumtabiria Yesu
 
Wew ambaye hujui ndio unaona propaganda kwani mwaka 1948 Israel [emoji1134] alikuwa na eneo gani na leo anaemeo gani kuanzia golan heights mpaka gaza strips na syria na lebanon mbabe kachukua , wew unaona propaganda , mwarabu kafurushwa kweli yaaa.ni
ushabiki bila kutumia logic ni ugonjwa mbaya sana zaidi ya ugonjwa wa akili btn upo sahihi kwa muono wako ulivyoaminishwa
 
Wanapigwa miaka na miaka watu hawajui tu ila ugomvi wanaanzisha wenyewe, Muisrael hamuamini kabisa Mpalestina washajilipua mara kibao na kuwaua.
Sasa wanajihami, wakiona tu Mpalestina jirani yao haeleweki watamalizana nae, na sometime wanawafata huko huko Palestina.
Ila kuna Wapalestina wa Amani wanaishi vizuri tu Israel ndani

Unajuwa ugomvi wao?
 
Hizi dini ni shida zinapumbaza watu wanashindwa kufikiria, kwani nani hakujua libia,syria zitakuja kuanguka kutokana na mifumo yao ya nchi na tabia za viongozi wao? Nchi za kiarabu, Africa, South America nyingi zina mifumo inayofanana na kutengeneza viongozi wenye tabia zinazofanana. Ni rahisi kuona matokeo yake miaka kazaa inayokuja

Hakika dini ya haki mbele ya Mwenyezi Mungu ni uislamu.
 
Mwamedi kakuingia sana mpaka umekuwa muhakiki wa imani za wengine, mwamedi alieoa kibinti cha miaka tisa ,?anaesema chinja watu ila wakubali imani yake , asee itamchukua mjinga kumwamini

Aya ipi inasema Nabii Muhammad alisema chinja watu ili wakubali kuingia kwenye uislamu????


Lete hiyo aya hapa ewe Galatia!
 
wayahud sio wakristo Dini yao ni Judaism ni mchanganyiko wa mafundisho ya Agano la kale na taratibu za kiasili za wayahudi...

kama ilivyo kwa Islamic religion ina mchanganyiko wa Taratibu za kidini na tamaduni za kiarabu

judaism ni moja kati ya dini kubwa tatu. ulimwengunk wayahud sio wakristo... hawaamini kuwa Yesu ndie mwokozi na alietabiriwa na yohana mbatizaji.. wao wanasubir mwokoz wao..

tofauti ya Mkristo na Myahud ni kuwa Myahud hana Agano jipya kwenye Biblia yake (Hebrew bible) anatumia Agano la kale tu kwa maana hiyo yeye anafata mafundisho ya agano la kale .. kumbuka Agano jipya ni kumhusu yesu na maisha yake na wao wanaomuona yesu ni mwanaharakati tu na inspirational leader sio Holy figure (Masihi)

ila Ukristo umetoka kwenye judaism ( sexond temple of judaism) ndo maana kuna wayahud wakristo kwa maana ya wanaomwamini Yesu Kristo

Biblia ya Wayahud na ya wakristo ziko sawa tofauti ni ya wakristo imeongezeka Agano jipya ambalo wayahud hawalitambui .. Mkristo maana yake ni anatemfata kristi ambaye ndio Yesu

So kwa ufupi ukiwa ww mkristo ukaingia kwenye kanisa (sinagogi) la wayahud kama unaelewa kiebrania hautapata shida kusali... shida yako itakuwa ni zile taratibu zao za kusali za kiasili (hawakai kwenye viti hawaingii na viatu na wanasujudu) kama unavyoona waislam...

chimbuko la kusujudu au kutokuingia na viatu kwenye masinagogi yao.. wayahud wamepata kutoka kwenye agano la kale pale Musa alipoongea na Mungu kupitia kichaka kilichokuwa kinawaka.. akaambiwa via viatu hapa ni mahali patakatifu.

tukihitimisha ni kuwa Wakristo wanafata mafundisho ya Yesu ambaye kwake yeye life style na material things (kama mavaz na aina ya vyakula ) sio issue kwake , issue ni kuwa msafi wa kiroho na imani. wakat wayahud wanaamin mafundisho ya Musa (agano la kale) ambalo linatoa muongozo wa jinsi ya kuishi na aina ya vyakula.
Umetisha mkuu
 
Wew ambaye hujui ndio unaona propaganda kwani mwaka 1948 Israel [emoji1134] alikuwa na eneo gani na leo anaemeo gani kuanzia golan heights mpaka gaza strips na syria na lebanon mbabe kachukua , wew unaona propaganda , mwarabu kafurushwa kweli yaaa.ni

Wewe hujui history ya middle east, yani hujui lolote mzee, mahaba ya mayahudi/m.a.k.a.f.i.r.i wenzio yamekujaa tele " na utaingianao motoni hao makafiri wa kiyahudi.
 
Kwanza uelewe hiviii

1. Hakuna wa kuilaani Israel maana imebarikiwa.
2. Israel kuanguka kwa adui sio mara ya kwanza, ni miaka na miaka.
3. Hakuna anayeipiga Israel endapo Israel ipo sawa kwenye mahusiano yake na Mungu.
4. Israel anaweza akawa weak sn ila hauwezi ukamdondosha kwa namna yoyote maana nguvu zao sio ktk majeshi, watu wala silaha ila ni ktk Mungu.
 
hamas pia lazima walipe kwa maovu na ugaidi wanaoufanya, na ni israel ndio watakaowalipa kwa kuwashikisha adabu.

Kwahiyo HAMAS ni magaidi ila majeshi ya israel sio magaidi sio? K.a.f..i..r..i lazima amtetee k..a..f.i.r..i mwenzie, lakini wako baadhi ya wakristo humu na nje wakilaani maovu yanayofanywa na waisrael.


Hata kama ni wewe umeingiliwa kwenye land/bara lako kwa maana ya uvamizi/kupora ardhi tena kwa mabavu ndani ya ardhi yako, n still wanaendelea kumega utajisikiaje, au utachukua hatua gani ili kuwadhibiti wasiendelee kuvamia!!! Na Hapo hapo Europe, amerika na baadhi ya nchi za kiafrika UN n.k wakiwa upande wa makafiri wenzao mayahudi.
 
Israel haitapigwa kamwe,ila Palestina watapigwa na Gaza itapigwa na baadhi ya nchi zitakapoona wanashindwa suluhisho wataona waligawanye jiji LA Jerusalem kitu ambacho Mungu hataki na ndo balaa litaanzia hapo,Haya unayoyaona ni maandalizi tu!subiri uone!

Kuna nchi zitaungana ila nazo zitapigwa zote!

Soma biblia kitabu chote cha zakaria!
So when you see the abomination of desolation spoken of by the prophet Daniel, standing in the holy place (let the reader understand),
 
Kwahiyo HAMAS ni magaidi ila majeshi ya israel sio magaidi sio? K.a.f..i..r..i lazima amtetee k..a..f.i.r..i mwenzie, lakini wako baadhi ya wakristo humu na nje wakilaani maovu yanayofanywa na waisrael.


Hata kama ni wewe umeingiliwa kwenye land/bara lako kwa maana ya uvamizi/kupora ardhi tena kwa mabavu ndani ya ardhi yako, n still wanaendelea kumega utajisikiaje, au utachukua hatua gani ili kuwadhibiti wasiendelee kuvamia!!! Na Hapo hapo Europe, amerika na baadhi ya nchi za kiafrika UN n.k wakiwa upande wa makafiri wenzao mayahudi.
YAANI hivyo mnavyotuitaga kafiri ndio inatufanya tuone hamas magaidi kabisa. wacha washughulikiwe tu .
 
Aya ipi inasema Nabii Muhammad alisema chinja watu ili wakubali kuingia kwenye uislamu????


Lete hiyo aya hapa ewe Galatia!
Huyo huyo Muddy kasema wayahudi waliitawanyika watarudi Israel nakuanzisha taifa.

Naomba kukuuliza swali. Je mshua wake Mudy mzee Abdallah alikuwa Muislamu?
 
Back
Top Bottom