The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 2,113
- 6,251
Wanakua ni zamu yao kujificha na zamu ya wanawake kuwalinda kama unavyohubiri humu jf kila kukicha ya kwamba "maisha kusaidiana"Mkuu nakuelewa.
Ila naomba unieleweshe.
Ndege vita ipo angani usiku inarusha mabomu kwenye apartment za Gaza. Ajabu wanaokufa ni wanawake na watoto. Je wanaume huwa wanakuwa wapi muda huo na sio wanajeshi na hawapo vitani?
SERIOUSLY, HIVI UNADHANI KUNA JIBU JINGINE ZAIDI YA KUA WANAUME HUA WANAKUA WAMEJIFICHA ?!