Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Horror-land.🤫Holy land hahahahahaaaaaaa ngojea niishie tu hapa 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Horror-land.🤫Holy land hahahahahaaaaaaa ngojea niishie tu hapa 🤣
Aaaaah wala sijasema hivyoHorror-land.🤫
Nasingizia keyboard.Neno limejicharaza lenyewe.Aaaaah wala sijasema hivyo
Dunia yenyewe ya vijana bana, sasa vijana na wenyewe wasubiri hadi lini jameni? acha na wenyewe wainjoy! 😄. Zama zimebadilika sana.Wazungu washafanikiwa hapo Saudi Arabia, mfalme kijana na mambo ya ujana
Unaweza vipi kutoa kibali kwa msanii wa muziki wa " hip hop " kutoka Marekani kufanya show nchini Saudi Arabia?
Seriously!!!
A guy who talks about shooting other people and utter a lot of cursing words in his song?
Yes when I was a little bow wow ( a very young boy) nilikuwaga shabiki wa 50 but the last thing that I will ever want to see on the face of planet earth is seeing a negro like 50 Cent performing in Saudi Arabia.
A king can do no wrong. So tunasema, watu walio karibu yake wana mshauri vibaya.
Kiduku wa Korea Kaskazini ana chuki na USA lakini haishi kumualika Denis Rodman kwenye ikulu yake.Hiyo ni nchi yako?
Hakuna "King Mohamed" Saudi Arabia.
Kwa ufupi uongozi wa Saudi Arabia ni wanafik wa kwanza. Hao ni mazayuni
Holy Land? Nani kakwambia? Watu wanamjua mudi tu alkuwa mtu wa kawaida hiyo holy land ni ya kwako.................wakati wewe umeaminishwa holy land alikuwa anatoka mudi wenzanko kuna babu zao walicheza naye............keep calm and enjoy 😉Hata hizo pia ni filthy songs ambazo hazitakiwi kuwa performed in the holy land
We bwege Saudi Arabia ni kwa babu yako? Bila hata haya? Kweli Mapumbavu yanazaliwa kila siku.Unaweza vipi kutoa kibali kwa msanii wa muziki wa " hip hop " kutoka Marekani kufanya show nchini Saudi Arabia?
Seriously!!!
A guy who talks about shooting other people and utter a lot of cursing words in his song?
Yes when I was a little bow wow ( a very young boy) nilikuwaga shabiki wa 50 but the last thing that I will ever want to see on the face of planet earth is seeing a negro like 50 Cent performing in Saudi Arabia.
A king can do no wrong. So tunasema, watu walio karibu yake wana mshauri vibaya.
Nyie wapumbavu kila uovu mnasingizia wazungu! Shenzi kabisaWazungu washafanikiwa hapo Saudi Arabia, mfalme kijana na mambo ya ujana
Jamaa huyu MBS akili zake hazieleweki , dishi limeyumba .Mkuu huyo MbS hakuna aliempa madaraka bali amejitwalia mwenyewe kwa kuwa baba yake ni kipenzi chake na alipoingia tu na kuona baba yake mdogo ndio next to the throne akamkamata na kumuweka kizuizini nyumbani na yeye kujipa mamlaka hayo
Baba yake yuko hoi kitandani
Kumbuka aliwaweka jela ya Hotel ya Ritz ndugu zake na uncle zake wengi zaidi ya 100
Aliwapa kesi ya ubadhirifu wa mali ya Umma na kujilimbikizia hela
Humo wengi ni princes
Aliwaambia anaetaka kutoka atoe $1b bila hivyo atalala hotel na kuhudumiwa kwa heshima zote ila hataiona familia yake
Walikaa sana ila walitoa hela zote
Kwa kawaida yao wana tabia ya kuviziana na sasa familia imekuwa kubwa ma princes wamekuwa wengi sana
Ipo siku atakula shaba wanamlia timing tu ingawa anachungwa lakini atakaemuuwa atakuja kuwa wa karibu sana hata awe kaka yake
Holy land ndio land ya aina gani? Kenge waliopumbazwa nyie, ardhi yote ameumba mwenyenzi Mungu msibague ardhi yake. Wajanja wachache kwa maslahi yao wamewapumbaza na mnaingia mkengeHata hizo pia ni filthy songs ambazo hazitakiwi kuwa performed in the holy land
We ulishamwona mtume? Hadithi tu hizo, tena za kutungwaUsichanganye Mtume na hao nadhalim mazayuni, kama huuelewi ukweli ni heri uulize.
Hajui hilo tena kwa kumkatakata kwa msumeno huku wauaji wakiwa wamevaa earphone wakisikiliza mzikiSaud arabia wanasherekea sherehe ya Halloween kwa kumtukuza shetani chini ya huyo mwanamfalme unashangaa show[emoji15]...
Huo jamaa kaua mwandishi yule jamal khashongy tena bila ya chenga .
Wenzio wameanza kujivua kwenye minyororo ya li dini lililotengenezwa na JesuitsUnaweza vipi kutoa kibali kwa msanii wa muziki wa " hip hop " kutoka Marekani kufanya show nchini Saudi Arabia?
Seriously!!!
A guy who talks about shooting other people and utter a lot of cursing words in his song?
Yes when I was a little bow wow ( a very young boy) nilikuwaga shabiki wa 50 but the last thing that I will ever want to see on the face of planet earth is seeing a negro like 50 Cent performing in Saudi Arabia.
A king can do no wrong. So tunasema, watu walio karibu yake wana mshauri vibaya.
Wee nenda kale ngoma SaudiaHakuna "King Mohamed" Saudi Arabia.
Kwa ufupi uongozi wa Saudi Arabia ni wanafik wa kwanza. Hao ni mazayuni