To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Kwa kwelitupigwe mawe wote 😒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kwelitupigwe mawe wote 😒
Hakuna, hakika kudhalilika tunakutaka wenyewe mkuuUliwahi ona Mtu au TaÃfa linajitegemea likadhalilika au kunyanyaswa?
si kuna mahali nilisoma wewe sijui umefurahi kuolewa na mmaasai mwenye helaSingle maza tunywe sumu kwa namna tunavyoandamwa
Mpigwe mawe tena ? Kwamba mnataka nyeto zituue au?tupigwe mawe wote 😒
NI KWELI USHAURI MZURI SANA KWA WATU WOTE.
**watu wote wanaume/wanawake WAFANYE KAZI HALALI.
Kazi halali ni kipimo cha utu..
**Asiyependa kufanya kazi na asile.
"**watu wasichague kazi .
*** ni kweli ajira zilizopo ni chache sana na hata hizo ajira chache zilizopo zina ushindani mkubwa sana na wanaoajiriwa ni wachache sana
,ila KAZI za kufanya zipo usipochagua kazi.
Mungu hubariki kazi za mikono yetu.
UHURU NA KAZI-JKN
MTAJI WA MASIKINI NI NGUVU ZAKE-BWM
HAPA KAZI TU.-JPM
KAZI IENDELEE,KUUPIGA MWINGI KAZINI-
Leo umewanywesha juice ya pilipili 😂🤣🤣
Hakuna, hakika kudhalilika tunakutaka wenyewe mkuu
Single mothers wataficha sura zao wapi jamani. Tuwape break kidogo Kwa nyuzi za kuwatia moyo, hizi za kuwaponda zimetoshaKWA KIZAZI CHA SASA. UKISHAKUWA SINGLE MOTHER TAFUTA TUU PESA. HAKUNA MWANAUME ATAKAYEHITAJI SINGLE MOTHER MASKINI ASIYE NA KAZI
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Mambo ya ûkipenda Boga penda na ua lake ni Misemo ya kipigaji waliopigwa Wazee wa Miaka ya Uhuru Huko.
Mambo mengi yamebadilika Sana.
Sikuambii kama kukusema ili uumie Bali nakuambia ukweli ili uchukue hatua lakini kama utakuwa lijinga shauri yako.
Wewe NI Maskini, single mother, alafu hutaki kazi. Hivi kwa Akili yako hata kama ingekuwa ndogo kama mbegu ya fenesi. Unafikiri Nani atakutaka?
Hutaki kuwa Mama ntilie.
Wakati Wanawake wenzako weñye Waume na à mbao Hawana watoto wanafanya Mama ntilie. Wewe hutaki
Hutaki kupika vitumbua, Kupika maandazi na chapati, hutaki kusuka Watu, hutaki Kushona nguo, hutaki kufanya Kazi za Usafi kwèñye majumba ya Watu, hutaki kuuza juisi, hutaki kufanyia Watu masaji, hutaki kazi yoyote wewe. Na unanuka Umaskini kuanzia kichwani Mpaka miguuni.
Alafu ulivyo Mjinga unasema Mtu apende Ua na Boga lake hivi Akili zako ziko Sawa kwèli?
Nani apende MTU Maskini asiye na Kazi?
Kama vile Wanawake msivyopenda Wanaume Maskini wasio na Kazi ndivyo hivyohivyo hata Wanaume hawapendi Mwanamke Maskini asiye na Kazi tena zaidi úwe single mother.
Binti yà ngu, nisipokuambia ukweli wôte na mchungu pasipo kukuperemba hutaona Wala kuelewa Kwa ûzuri nilichokueleza
Hivi ingekuwa wewe Binti yà ngu amekuja kijana Maskini mwenye Mtoto Mvivu asiye na Kazi na Wala asiyetaka Kazi ungemkubali awe Mumeo?
Bila Shaka hata kuongea naye usingetaka amalize sentensi Zake
Vivyohivyo Hakuna huyo Mwanaume wa kukutaka wewe ukiwa Maskini alafu single mother. Hakuna huyo Mwanaume Kwa Dunia ya Leo.
Yaani Wanawake Wazuri weñye Kazi zà o wamejaa, Wanawake single mother weñye biashara zà o wà po kîla Kona, wasichana wabichi wanamaliza Shule Kila uchwao Wanaume wawaache hao wakufuate wewe na umaskini wako alafu single mother. Come on! Huo uite muujiza.
Hakuna Mwanaume anayetaka kulemewa Sasa hivi Binti yà ngu.
Asije akakudanganya Mtu yeyote.
Huna huo ûzuri Wanaokudanganya nao. Huo ûzuri Huna Binti yà ngu.
Ûzuri wa Sura au ûzuri wa umbo ni Kwa à mbao hawajakuzoea Binti yà ngu. Wakizoea Huna ziada yoyote watakuacha Hapo na kukuona kero kûbwa, mzigo Mkubwa, ombaomba Mkubwa.
Uliwahi kuona Ombaomba anaheshimika Binti yà ngu? Uliwahi kuona?
Huna huo ûzuri hata wewe mwenyewe unajijua Huna huo ûzuri.
Mzuri ni Mtu anayejitegemea, mwenye Kazi, asiye mzigo Kwa Mtu Mwingine. Huyo ni mzuri na hawezi kuwa Kero Kwa yeyote.
Huwezi kuwa na tà bia nzuri kama wewe ni tegemezi usiye na Kazi yoyote. Huna Sifa ya kuitwa Mwanamke mwenye tà bia nzuri Kwa Sababu moja ya mambo yanayomtambulisha Mtu anatabia Njema NI kufanya Kazi. Lazima úwe na Kazi. Lazima uulizwe shughuli yako ni Ipi.
Fanya Kazi!
Binti chapa Kazi!
Ukiwa Maskini Hakuna Mwanaume atakayekuthamini na kukuona wa Maana kama Huna Kazi.
Sisi Wanaume wa Leo vikao vyetu vyote. Wazazi wetu wanatuambia tutafute Wasaidizi wa Maisha na siô Wanawake Maskini tegemezi.
Hata Kanisani tunahubiriwa kîla Siku hivyo.
Ukifanya Kazi hakuna atakayekunyanyasa wewe na Watoto wako. Hayupo huyo Mtu. Atakunyanyasa Kwa lipi Wakati Mama Yao ndiye unawatunza Watoto wako?
Usipofanya Kazi lazima unyayaswe wewe na hao Watoto wako.
Vitoto vyako vitaitwa majina ya Kejeli kama vimbwa, vipanya, n.k.
Huwezi kuwa Mwanamke Maskini na single mother alafu Kwa ûjinga wako umwambie Mwanaume ati unamkubalia lakini asikunyanyase wewe Mbuzi nini?
Usinyanyaswe kwani wewe Nani? Mtu Fukara usiyetaka Kazi. Unà taka kuwa Mzigo Kwa Mwingine na kumpa Mizigo ya Watoto wako alafu usinyanyaswe?
Watakunyanyasa na Mimi nawaambia wanyanyaseni Mpaka Akili zitie Moto.
Achana na mambo ya serikali sijui Dini sijui porojo za Mila kuwa Unyanyasaji unapigwa MARUFUKU.hizo NI porojo tuu hazina uhalisia.
Ukiwa Fukara alafu hutaki kazi utanyanyaswa tuu serikali ikiwemo,Dini zikiwepo na Mungu akiwepo na Hakuna kitu watafanya.
Fanya Kazi, jihudumie, lisha watoto wako kama Huwezi wapeleke Kwa Baba zà o.
Unajiita Mama alafu Huwezi kulisha Watoto wako. Unashindwa hata na Ndege na Wanyama. Pumbavu!
Baba yako Acha nipumzike. Najua umenikasirikia lakini nisipokuambia ukweli utaumia zaidi ya Maneno niliyokupa.
Nawatakia Sabato Njema
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Single mothers wataficha sura zao wapi jamani. Tuwape break kidogo Kwa nyuzi za kuwatia moyo, hizi za kuwaponda zimetosha
Sisi tupo tunahitaji mapenzi yenu, maana wengine hamna hatiaSingle maza tunywe sumu kwa namna tunavyoandamwa
Uko sahihi 💯%KWA KIZAZI CHA SASA. UKISHAKUWA SINGLE MOTHER TAFUTA TUU PESA. HAKUNA MWANAUME ATAKAYEHITAJI SINGLE MOTHER MASKINI ASIYE NA KAZI
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Mambo ya ûkipenda Boga penda na ua lake ni Misemo ya kipigaji waliopigwa Wazee wa Miaka ya Uhuru Huko.
Mambo mengi yamebadilika Sana.
Sikuambii kama kukusema ili uumie Bali nakuambia ukweli ili uchukue hatua lakini kama utakuwa lijinga shauri yako.
Wewe NI Maskini, single mother, alafu hutaki kazi. Hivi kwa Akili yako hata kama ingekuwa ndogo kama mbegu ya fenesi. Unafikiri Nani atakutaka?
Hutaki kuwa Mama ntilie.
Wakati Wanawake wenzako weñye Waume na à mbao Hawana watoto wanafanya Mama ntilie. Wewe hutaki
Hutaki kupika vitumbua, Kupika maandazi na chapati, hutaki kusuka Watu, hutaki Kushona nguo, hutaki kufanya Kazi za Usafi kwèñye majumba ya Watu, hutaki kuuza juisi, hutaki kufanyia Watu masaji, hutaki kazi yoyote wewe. Na unanuka Umaskini kuanzia kichwani Mpaka miguuni.
Alafu ulivyo Mjinga unasema Mtu apende Ua na Boga lake hivi Akili zako ziko Sawa kwèli?
Nani apende MTU Maskini asiye na Kazi?
Kama vile Wanawake msivyopenda Wanaume Maskini wasio na Kazi ndivyo hivyohivyo hata Wanaume hawapendi Mwanamke Maskini asiye na Kazi tena zaidi úwe single mother.
Binti yà ngu, nisipokuambia ukweli wôte na mchungu pasipo kukuperemba hutaona Wala kuelewa Kwa ûzuri nilichokueleza
Hivi ingekuwa wewe Binti yà ngu amekuja kijana Maskini mwenye Mtoto Mvivu asiye na Kazi na Wala asiyetaka Kazi ungemkubali awe Mumeo?
Bila Shaka hata kuongea naye usingetaka amalize sentensi Zake
Vivyohivyo Hakuna huyo Mwanaume wa kukutaka wewe ukiwa Maskini alafu single mother. Hakuna huyo Mwanaume Kwa Dunia ya Leo.
Yaani Wanawake Wazuri weñye Kazi zà o wamejaa, Wanawake single mother weñye biashara zà o wà po kîla Kona, wasichana wabichi wanamaliza Shule Kila uchwao Wanaume wawaache hao wakufuate wewe na umaskini wako alafu single mother. Come on! Huo uite muujiza.
Hakuna Mwanaume anayetaka kulemewa Sasa hivi Binti yà ngu.
Asije akakudanganya Mtu yeyote.
Huna huo ûzuri Wanaokudanganya nao. Huo ûzuri Huna Binti yà ngu.
Ûzuri wa Sura au ûzuri wa umbo ni Kwa à mbao hawajakuzoea Binti yà ngu. Wakizoea Huna ziada yoyote watakuacha Hapo na kukuona kero kûbwa, mzigo Mkubwa, ombaomba Mkubwa.
Uliwahi kuona Ombaomba anaheshimika Binti yà ngu? Uliwahi kuona?
Huna huo ûzuri hata wewe mwenyewe unajijua Huna huo ûzuri.
Mzuri ni Mtu anayejitegemea, mwenye Kazi, asiye mzigo Kwa Mtu Mwingine. Huyo ni mzuri na hawezi kuwa Kero Kwa yeyote.
Huwezi kuwa na tà bia nzuri kama wewe ni tegemezi usiye na Kazi yoyote. Huna Sifa ya kuitwa Mwanamke mwenye tà bia nzuri Kwa Sababu moja ya mambo yanayomtambulisha Mtu anatabia Njema NI kufanya Kazi. Lazima úwe na Kazi. Lazima uulizwe shughuli yako ni Ipi.
Fanya Kazi!
Binti chapa Kazi!
Ukiwa Maskini Hakuna Mwanaume atakayekuthamini na kukuona wa Maana kama Huna Kazi.
Sisi Wanaume wa Leo vikao vyetu vyote. Wazazi wetu wanatuambia tutafute Wasaidizi wa Maisha na siô Wanawake Maskini tegemezi.
Hata Kanisani tunahubiriwa kîla Siku hivyo.
Ukifanya Kazi hakuna atakayekunyanyasa wewe na Watoto wako. Hayupo huyo Mtu. Atakunyanyasa Kwa lipi Wakati Mama Yao ndiye unawatunza Watoto wako?
Usipofanya Kazi lazima unyayaswe wewe na hao Watoto wako.
Vitoto vyako vitaitwa majina ya Kejeli kama vimbwa, vipanya, n.k.
Huwezi kuwa Mwanamke Maskini na single mother alafu Kwa ûjinga wako umwambie Mwanaume ati unamkubalia lakini asikunyanyase wewe Mbuzi nini?
Usinyanyaswe kwani wewe Nani? Mtu Fukara usiyetaka Kazi. Unà taka kuwa Mzigo Kwa Mwingine na kumpa Mizigo ya Watoto wako alafu usinyanyaswe?
Watakunyanyasa na Mimi nawaambia wanyanyaseni Mpaka Akili zitie Moto.
Achana na mambo ya serikali sijui Dini sijui porojo za Mila kuwa Unyanyasaji unapigwa MARUFUKU.hizo NI porojo tuu hazina uhalisia.
Ukiwa Fukara alafu hutaki kazi utanyanyaswa tuu serikali ikiwemo,Dini zikiwepo na Mungu akiwepo na Hakuna kitu watafanya.
Fanya Kazi, jihudumie, lisha watoto wako kama Huwezi wapeleke Kwa Baba zà o.
Unajiita Mama alafu Huwezi kulisha Watoto wako. Unashindwa hata na Ndege na Wanyama. Pumbavu!
Baba yako Acha nipumzike. Najua umenikasirikia lakini nisipokuambia ukweli utaumia zaidi ya Maneno niliyokupa.
Nawatakia Sabato Njema
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Sasa mnatusimanga kila siku si mtatuua kwa msongo wa mawazo kenge nyie😂Mpigwe mawe tena ? Kwamba mnataka nyeto zituue au?
Uko sahihi 💯%
Huo ndio ukweli mchungu.
Sasa mnatusimanga kila siku si mtatuua kwa msongo wa mawazo kenge nyie😂
Maneno ni makali sana busara ni muhimu sana vijana wenzangu inawezekana Kuna kitu kipo moyoni mwako ebu kiachilie maisha yaendelee
🤣 upwiruHao exceptional Hapa nchini sio ajabu hawafiki Buku.
Hapa Dsm siô ajabu wakawa Watatu tuu.
Wanawake weñye ule ûzuri wa malaika ni wachache Mno. Yaani Mno! Unaweza kaa Mwaka mzima usikutane naye.
Wengi wana ûzuri wa Kawaida.
Acha na hao mnaowaona Wazuri Kwa sababu ya Nyege zenu