ZENITH
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 1,035
- 920
Sawa,sharti la kwanza ukapende boga na ua lake..na baba wa mtoto yuko hai.Sisi tupo tunahitaji mapenzi yenu, maana wengine hamna hatia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa,sharti la kwanza ukapende boga na ua lake..na baba wa mtoto yuko hai.Sisi tupo tunahitaji mapenzi yenu, maana wengine hamna hatia
Njoo hapa mwenge opposite na tratayar,,nkukute wap
Maisha ni magumu kula.mahali hata kwenye ndoa mwanamke kama huna kipato unasulubika.kila mtu atafute hela ohooo.Kwani nimesema hawaolewi?
Kaangalie kipato cha hao single mother uje uandike hapa.
sio wote tumewahi fika dar,,elekeza vizurNjoo hapa mwenge opposite na tra
🤣🤣🤣🤣 Haya njoo hapa kinolesio wote tumewahi fika dar,,elekeza vizur
Maisha ni magumu kula.mahali hata kwenye ndoa mwanamke kama huna kipato unasulubika.kila mtu atafute hela ohooo.
unazid kunivuruga tu😂😂🤣🤣🤣🤣 Haya njoo hapa kinole
Upo wapi nikifuate mieunazid kunivuruga tu😂😂
Npo chumbani na shemej akoUpo wapi nikifuate mie
Naja tugonge thriiisamuNpo chumbani na shemej ako
Toooooka pepoNaja tugonge thriiisamu
Single maza tunywe sumu kwa namna tunavyoandamw
Usinywe sumu mpenzi. Njoo kwangu ule tango sio bamiaSingle maza tunywe sumu kwa namna tunavyoandamwa
Aisee.!Sawa,sharti la kwanza ukapende boga na ua lake..na baba wa mtoto yuko hai.
Kule Mtwara wala hawajali hayo ya single maza wao hata ukiwa na watoto watano wanaowa.
Wahuni 16 mstari wa 2 mpaka 5.
Waacheni singo mamaz waje kwangu, maana mie ndio kimbilio lao, mie ndio bega lao la kuegemea na kifua cha kulilia.
Sijakaa huko, ni uwoga tuu wa kuwapa chakula watoto na ile buku ya kugawana mia mbili asibuhi ya shule basi. Maana hawaitaji kupelekwa shule za mabasi ya njano. Na watakuwa na adabu sbb wanajua yule siyo baba yetu mzazi. Zaidi bi mdashi atakuungi rosti pembeni kabla hajaongeza maji mchuzi wa watoto. Na watoto hawatalalamika hata siku moja.Hata usukumani Mkuu.