Kwa kizazi cha Sasa. Ukishakuwa single mother tafuta tuu Pesa. Hakuna Mwanaume atakayehitaji single mother Maskini asiye na kazi

Kwa kizazi cha Sasa. Ukishakuwa single mother tafuta tuu Pesa. Hakuna Mwanaume atakayehitaji single mother Maskini asiye na kazi

Duh mwaka mbaya kwa single mom.
 
Hawa ma single mama ndio wanafaa maana wamejifunza baada ya makosa...

NB: Wanaume mkumbuke mna ndugu wa kike na mtazaa watoto wa kike
 
Kuna ulazima wa ku date single maza?

Kuna haja ya kumtaka hata kwa masaa?

Kuna ulazima wa kuwa na ushikaji na single maza?

Mbona mihemko yako unataka kutua kwa single maza ukifikiri hutoombwa hela ? Ulioona wapi ?

Kama huwezi acha single maza watulie zao
 
single mother chapa tembea,
Sinlge mother wenye hela Ni fursa kwa vijana wapaka mkongo kuwakojozo!
Kijana epuka kuishi na mwanamke mwenye mtoto asiye wako,
Epuka kuwa na msichana aliye lelewa na single mother hutoboi, Hivi vitoto vya kike vya2000 vingi Ni uzao wa single mother na venyewe vinazaa hovyo.
Nina miaka 26 leo na huyo unayemwita single mother sijakaa nikajutia hata siku moja! Mama wadogo walijilengesha nikawapa za uso hawana hamu! Jamani msijenerolizi aisee, wanawake wanajielewa sema ilikuwa bahati mbaya tu wakaangukia kwenye hayo matutusa manaume suruali!
 
Hawa ma single mama ndio wanafaa maana wamejifunza baada ya makosa...

NB: Wanaume mkumbuke mna ndugu wa kike na mtazaa watoto wa kike
Ni kweli tuna ndugu wa kike, Ila tabia wanazozionyesha single mother zinatia kinyaa!
Nenda kwenye hizi sherehe za kuukaribisha mwaka wanazofanya taasisi mbalimbali fatilia tabia za single mother wanachofanya utasikitika!
 
kila mwanamke anastahili upendo sio kwamba single mother ndio wasaliti hapana hata hao ambao sio single mother unaweza kukuta ndio wasaliti hatari hivyo nashauri jamii iache mitizamo hii hasi na tutazamie usawa na ieleweke kwamba usaliti upo sehemu nyingi sio kwa wanaume wala wanawake jambo la msingi ni kila mmoja kwenye jamii kutafuta mwenza sahihi hili ndio suluhisho na sio kutafuta asiye single mother kwani unaweza kukuta huyo asiye na mtoto ndio msaliti mkuu hivyo tubadilishe mitizamo hii hasi kwamba sigle mother hawafai hapana.
 
KWA KIZAZI CHA SASA. UKISHAKUWA SINGLE MOTHER TAFUTA TUU PESA. HAKUNA MWANAUME ATAKAYEHITAJI SINGLE MOTHER MASKINI ASIYE NA KAZI

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Mambo ya ûkipenda Boga penda na ua lake ni Misemo ya kipigaji waliopigwa Wazee wa Miaka ya Uhuru Huko.

Mambo mengi yamebadilika Sana.

Sikuambii kama kukusema ili uumie Bali nakuambia ukweli ili uchukue hatua lakini kama utakuwa lijinga shauri yako.

Wewe NI Maskini, single mother, alafu hutaki kazi. Hivi kwa Akili yako hata kama ingekuwa ndogo kama mbegu ya fenesi. Unafikiri Nani atakutaka?

Hutaki kuwa Mama ntilie.
Wakati Wanawake wenzako weñye Waume na àmbao Hawana watoto wanafanya Mama ntilie. Wewe hutaki

Hutaki kupika vitumbua, Kupika maandazi na chapati, hutaki kusuka Watu, hutaki Kushona nguo, hutaki kufanya Kazi za Usafi kwèñye majumba ya Watu, hutaki kuuza juisi, hutaki kufanyia Watu masaji, hutaki kazi yoyote wewe. Na unanuka Umaskini kuanzia kichwani Mpaka miguuni.

Alafu ulivyo Mjinga unasema Mtu apende Ua na Boga lake hivi Akili zako ziko Sawa kwèli?
Nani apende MTU Maskini asiye na Kazi?
Kama vile Wanawake msivyopenda Wanaume Maskini wasio na Kazi ndivyo hivyohivyo hata Wanaume hawapendi Mwanamke Maskini asiye na Kazi tena zaidi úwe single mother.

Binti yàngu, nisipokuambia ukweli wôte na mchungu pasipo kukuperemba hutaona Wala kuelewa Kwa ûzuri nilichokueleza

Hivi ingekuwa wewe Binti yàngu amekuja kijana Maskini mwenye Mtoto Mvivu asiye na Kazi na Wala asiyetaka Kazi ungemkubali awe Mumeo?
Bila Shaka hata kuongea naye usingetaka amalize sentensi Zake

Vivyohivyo Hakuna huyo Mwanaume wa kukutaka wewe ukiwa Maskini alafu single mother. Hakuna huyo Mwanaume Kwa Dunia ya Leo.

Yaani Wanawake Wazuri weñye Kazi zào wamejaa, Wanawake single mother weñye biashara zào wàpo kîla Kona, wasichana wabichi wanamaliza Shule Kila uchwao Wanaume wawaache hao wakufuate wewe na umaskini wako alafu single mother. Come on! Huo uite muujiza.

Hakuna Mwanaume anayetaka kulemewa Sasa hivi Binti yàngu.

Asije akakudanganya Mtu yeyote.
Huna huo ûzuri Wanaokudanganya nao. Huo ûzuri Huna Binti yàngu.
Ûzuri wa Sura au ûzuri wa umbo ni Kwa àmbao hawajakuzoea Binti yàngu. Wakizoea Huna ziada yoyote watakuacha Hapo na kukuona kero kûbwa, mzigo Mkubwa, ombaomba Mkubwa.
Uliwahi kuona Ombaomba anaheshimika Binti yàngu? Uliwahi kuona?

Huna huo ûzuri hata wewe mwenyewe unajijua Huna huo ûzuri.
Mzuri ni Mtu anayejitegemea, mwenye Kazi, asiye mzigo Kwa Mtu Mwingine. Huyo ni mzuri na hawezi kuwa Kero Kwa yeyote.

Huwezi kuwa na tàbia nzuri kama wewe ni tegemezi usiye na Kazi yoyote. Huna Sifa ya kuitwa Mwanamke mwenye tàbia nzuri Kwa Sababu moja ya mambo yanayomtambulisha Mtu anatabia Njema NI kufanya Kazi. Lazima úwe na Kazi. Lazima uulizwe shughuli yako ni Ipi.

Fanya Kazi!
Binti chapa Kazi!
Ukiwa Maskini Hakuna Mwanaume atakayekuthamini na kukuona wa Maana kama Huna Kazi.

Sisi Wanaume wa Leo vikao vyetu vyote. Wazazi wetu wanatuambia tutafute Wasaidizi wa Maisha na siô Wanawake Maskini tegemezi.

Hata Kanisani tunahubiriwa kîla Siku hivyo.

Ukifanya Kazi hakuna atakayekunyanyasa wewe na Watoto wako. Hayupo huyo Mtu. Atakunyanyasa Kwa lipi Wakati Mama Yao ndiye unawatunza Watoto wako?

Usipofanya Kazi lazima unyayaswe wewe na hao Watoto wako.
Vitoto vyako vitaitwa majina ya Kejeli kama vimbwa, vipanya, n.k.

Huwezi kuwa Mwanamke Maskini na single mother alafu Kwa ûjinga wako umwambie Mwanaume ati unamkubalia lakini asikunyanyase wewe Mbuzi nini?
Usinyanyaswe kwani wewe Nani? Mtu Fukara usiyetaka Kazi. Unàtaka kuwa Mzigo Kwa Mwingine na kumpa Mizigo ya Watoto wako alafu usinyanyaswe?
Watakunyanyasa na Mimi nawaambia wanyanyaseni Mpaka Akili zitie Moto.

Achana na mambo ya serikali sijui Dini sijui porojo za Mila kuwa Unyanyasaji unapigwa MARUFUKU.hizo NI porojo tuu hazina uhalisia.
Ukiwa Fukara alafu hutaki kazi utanyanyaswa tuu serikali ikiwemo,Dini zikiwepo na Mungu akiwepo na Hakuna kitu watafanya.

Fanya Kazi, jihudumie, lisha watoto wako kama Huwezi wapeleke Kwa Baba zào.

Unajiita Mama alafu Huwezi kulisha Watoto wako. Unashindwa hata na Ndege na Wanyama. Pumbavu!

Baba yako Acha nipumzike. Najua umenikasirikia lakini nisipokuambia ukweli utaumia zaidi ya Maneno niliyokupa.

Nawatakia Sabato Njema

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Jamani hawa singo mathas mbona wanaaneamwa sana? Hebu tuwaache wapumzike kwanza wazee.
 
Sio wote,,, ! Kuna mmoja nipo nae napiga piga huu mwaka wa 2, ana watoto wa2! She is too nice kwangu, kama sio tulichelewa kufahamiana pengine ningemuoa ! Ndo vile tena !!!!
Unamsaidia kulipa ada za watoto wake kwanini akutibue
 
Hao exceptional Hapa nchini sio ajabu hawafiki Buku.
Hapa Dsm siô ajabu wakawa Watatu tuu.

Wanawake weñye ule ûzuri wa malaika ni wachache Mno. Yaani Mno! Unaweza kaa Mwaka mzima usikutane naye.

Wengi wana ûzuri wa Kawaida.

Acha na hao mnaowaona Wazuri Kwa sababu ya Nyege zenu
Una kitu utafika mbali me waache unafki wanawake wazuri wanahesabika
 
Humu watu wanavojifaragua na kujipambanua 😏 na si ajabu ukakuta hata me waliotelekeza watoto wamo humu wanajikosha.
 
Back
Top Bottom