Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Asante dada anguPole sana kwa kupatwa na jiwe gizani i
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante dada anguPole sana kwa kupatwa na jiwe gizani i
Sawa dadaSiku ukipata ajira utapunguza haya makasiriko.
duh we jamaa kwahiyo hutaki wasukuma ukuta, hahaaaaaa aisee hili bandiko lako naona lina mashiko maana ukiangalia watu wenye akili timamu wote hawahusudu kabisa huu ukameruni, kama PUTIN etcUtakuwaje na Taifa lenye Watu Shupavu ( tena kwa Vijana ) kama unakutana na Kijana wa Kiume kapanda DalaDala kutoka Makonde Mbezi Beach na anashukia Kituo kinachofuata cha Goigi huku akijiona ni Mjanja?
Nilikuwa najiuliza sana tu ni kwanini Vijana wengi wa Kiume Siku hizi ni Wavivu, hawapendi Shuruba ( Taabu ), wanapenda Kujiremba na kufanyiwa Scrub na Massage huko katika Masaluni, wakiongea wanabana Sauti, wanapenda Kujilambalamba Midomo yao, wakiagiza Chips hawali mpaka iwekewe Mayonaizi, wanapenda Kuvaa Suruali Modo na zinazowabana na hupenda kuwa karibu na Mabinti ila kwa nilichokiona leo Mchana nimepata Jibu.
Ngoja Junior wangu akue kue Kidogo ili nami Baba yake GENTAMYCINE nianze Kumlea Kijeshi / Kimedani kama ambavyo Baba yake nililelewa na Babu yake ili huko mbeleni asije kuwa Msukuma Ukuta kama walivyo Vijana wengi waliozaliwa kuanzia Mwaka 1990 na nianavyo huko mbeleni hali itakuwa mbaya mno na si ajabu hata Tanzania tukaja Kuongozwa na Msukuma Ukuta kwani dalili ya Mvua ni Mawingu.
Serikali kwa Kushirikiana na Jeshi ( JWTZ ) tafadhali GENTAMYCINE nawaombeni Tangazeni Mafunzo ya Kijeshi ya JKT ni lazima ili tukiokoe Kizazi cha Vijana wengi wa Kiume wa sasa ambao wanaonekana Kupenda na hata kutamani Kusukuma Ukuta na kufanana na Dada / Mama zao.