wastani kwa idadi
JF-Expert Member
- Jun 28, 2024
- 503
- 1,432
Benki kuu mshahara na posho zinaweza kuwa milioni 6 kwa mwezi sawa na Milioni 48 kwa mwaka, kiasi hicho cha pesa ni kidogo sana kwa watoto wa mabilionea wanaoweza kupata mitaji ya kuanzisha biashara zao.Uongo .........walichoma bank miaka ile ............ili kuficha kashfa ya pesa walizoiba........unaweza kukataa kazi bank wewe labda kama ya kufagia
Aluta continuaNdiio
Yeye ndiye aliyekuwa anafadhili CDM kwa fedha zake binafsi, hata huo mkutano uliomalizika ni fedha za Mbowe kuanzia ukumbe hadi chakula wewe unafikiri anashida na fedha za CHAMA au CHAMA kina shida na fedha za Mbowe?Kusalimisha Diplomatic Passport yake haraka iwezekanavyo.
Yeye sio signatory tena wa Chama pesa zinazoingia na kutoka hana access nazo tena.
Popote pale duniani au mbinguni wakiitwa viongozi wa upinzani kuonana na mkuu yeyote hawezi kuhudhuria.
Jina lake halitaimbwa tena kwenye media.
Sehemu za umma atakuwa kama raia wengine tu.
Kuramba asali na ruzuku kumeisha rasmi.
FaIda zake:
Huenda ukawa mwisho wa yeye kulala sero,gerezani .
Atapata muda wa kucheza na wajukuu na familia kwa ujumla
Biashara zake zitaimarika zaidi
Sio HAI hatumtakiAnaweza gombea ubunge na akapata
FAM alitutisha na sumu, ngoja tuone Sasa ufanyaji kazi wa Sumu!Aluta continua
HII THREAD INATHIBITISHA KUWA SISI WATANZANIA TUNA MENTALITY ZA KIWIZIWIZI NA KIFISADI, ET ATAKUWA HANA FURSA YA KUACCESS PESA ZINAZOINGIA NA KUTOKA YANI UNAZUNGUMZIA PESA TU. NON SENSEKusalimisha Diplomatic Passport yake haraka iwezekanavyo.
Yeye sio signatory tena wa Chama pesa zinazoingia na kutoka hana access nazo tena.
Popote pale duniani au mbinguni wakiitwa viongozi wa upinzani kuonana na mkuu yeyote hawezi kuhudhuria.
Jina lake halitaimbwa tena kwenye media.
Sehemu za umma atakuwa kama raia wengine tu.
Kuramba asali na ruzuku kumeisha rasmi.
FaIda zake:
Huenda ukawa mwisho wa yeye kulala sero,gerezani .
Atapata muda wa kucheza na wajukuu na familia kwa ujumla
Biashara zake zitaimarika zaidi
Hiyo ndio weakness yake,chama kinatakiwa kijiendeshe kupitia michango,ruzuku na wafadhili wa ndani na njeYeye ndiye aliyekuwa anafadhili CDM kwa fedha zake binafsi, hata huo mkutano uliomalizika ni fedha za Mbowe kuanzia ukumbe hadi chakula wewe unafikiri anashida na fedha za CHAMA au CHAMA kina shida na fedha za Mbowe?
Sawa,hatimaye Mugabe kakubali kushindwa!Kusalimisha Diplomatic Passport yake haraka iwezekanavyo.
Yeye sio signatory tena wa Chama pesa zinazoingia na kutoka hana access nazo tena.
Popote pale duniani au mbinguni wakiitwa viongozi wa upinzani kuonana na mkuu yeyote hawezi kuhudhuria.
Jina lake halitaimbwa tena kwenye media.
Sehemu za umma atakuwa kama raia wengine tu.
Kuramba asali na ruzuku kumeisha rasmi.
FaIda zake:
Huenda ukawa mwisho wa yeye kulala sero,gerezani .
Atapata muda wa kucheza na wajukuu na familia kwa ujumla
Biashara zake zitaimarika zaidi
CHADEMA itapata shida ya fedha kwa sasa hadi hapo kitakapokuwa na wabunge wengi. Lissu ana kazi kubwa.Hiyo ndio weakness yake,chama kinatakiwa kijiendeshe kupitia michango,ruzuku na wafadhili wa ndani na nje
Billicanas nakuunga mkono.. mziki wa mle banaaa weeeee.. ulikuwa 🔥🔥🔥Kina Mbowe pesa wanazo wapo class ya matajiri lakini hata matajiri hutofautiana, Mbowe amewahi kumiliki Club Billicanas, Hakujawahi kutokea club hapa Tanzania iliyofikia level za Billicanas mpaka leo, hii ni moja tu ya investments zake
daaaaah jamaa ana tumbo si mchezoLike mingi kwa wakala wetu bon yai
View attachment 3210388
sJamaa anasura ya kinafiki sana
Eeh vitu vinakuja kwa pair....Kusalimisha Diplomatic Passport yake haraka iwezekanavyo.
Yeye sio signatory tena wa Chama pesa zinazoingia na kutoka hana access nazo tena.
Popote pale duniani au mbinguni wakiitwa viongozi wa upinzani kuonana na mkuu yeyote hawezi kuhudhuria.
Jina lake halitaimbwa tena kwenye media.
Sehemu za umma atakuwa kama raia wengine tu.
Kuramba asali na ruzuku kumeisha rasmi.
FaIda zake:
Huenda ukawa mwisho wa yeye kulala sero,gerezani .
Atapata muda wa kucheza na wajukuu na familia kwa ujumla
Biashara zake zitaimarika zaidi
Hata Elon Musk bado hela alizonazo hazimtoshi, anakesha kuzisaka, sasa sembuse Mbowe, Eboooooh!.Mbowe swala la pesa kwake hata sio tatizo huyo katokea familia bora Sana kiuchumi .
Chadema hawawezi muuza kwenye Urais huku kwenye chama wamempiga chini, pia ushawishi ni mdogo ukilinganisha na Lissu hata Heche labda.Yule anaenda kushindana na Samia kwenye uraisi you will see
Umeanza kumjua mbowe leo nini? Amekuwa bilionea akiwa na miaka 19 ,sasa sijui asali gani unayoizungumzia.Kusalimisha Diplomatic Passport yake haraka iwezekanavyo.
Yeye sio signatory tena wa Chama pesa zinazoingia na kutoka hana access nazo tena.
Popote pale duniani au mbinguni wakiitwa viongozi wa upinzani kuonana na mkuu yeyote hawezi kuhudhuria.
Jina lake halitaimbwa tena kwenye media.
Sehemu za umma atakuwa kama raia wengine tu.
Kuramba asali na ruzuku kumeisha rasmi.
FaIda zake:
Huenda ukawa mwisho wa yeye kulala sero,gerezani .
Atapata muda wa kucheza na wajukuu na familia kwa ujumla
Biashara zake zitaimarika zaidi
Hata Elon Musk bado hela alizonazo hazimtoshi, anakesha kuzisaka, sasa sembuse Mbowe, Eboooooh!.