Kwa kweli Bongo bado sana

Kwa kweli Bongo bado sana

Baada ya kukaa nje ya nchi bila kutembelea nyumbani kwa takbirani miaka 10, juzi nimetua bongo kwa matarajio mengi ya kuona yake mapichapicha ya mitandaoni, lakini nilichokikuta ni hakina tofauti yeyote kuonyesha miji wa Dar es Salaam kuwa umejengeka

Kwanza nimechoshwa na uwingi wa watu bila mpangilio, yaani watu wapowapo tu wamekaa na kusimama kila sehemu ya Mji bila shughuli, hata kama baadhi ya barabara zimejengwa lakini watu wakaakaa pembezoni na kazi Yao kuvuka upande huu na ule wa barabara kutwa nzima na wachuuzi wametanda barabara nzima mpaka barabara zinakosa mvuto.

Ile mitaa ilikuwaga ya utulivu na kishua sio tena hivyo ni makelele ya bodaboda na wapiga debe usiku kucha.

Katikakati mjini uhindini kila nyumba imegeuzwa restaurant viti vimejaa maeneo ya watembea kwa mguu.

Halafu pia mji umejaa wazungu choka mbaya sijui wanatokea nchi gani?

Yaani nimesikitishwa na nimetapeliwa na mapicha ya mtandaoni
Kwa kweli Bongo bado sana na Tena sana.

Povu ruksa!
Nakusapot hii nchii bado sana. Tuko nyuma mno. Na bora utulie hivyo usijaribu kuulizia habari za siasa zitakupa stress hatari. Bado ccm ipo tu wanapokezana tu
 
Baada ya kukaa nje ya nchi bila kutembelea nyumbani kwa takbirani miaka 10, juzi nimetua bongo kwa matarajio mengi ya kuona yake mapichapicha ya mitandaoni, lakini nilichokikuta ni hakina tofauti yeyote kuonyesha miji wa Dar es Salaam kuwa umejengeka

Kwanza nimechoshwa na uwingi wa watu bila mpangilio, yaani watu wapowapo tu wamekaa na kusimama kila sehemu ya Mji bila shughuli, hata kama baadhi ya barabara zimejengwa lakini watu wakaakaa pembezoni na kazi Yao kuvuka upande huu na ule wa barabara kutwa nzima na wachuuzi wametanda barabara nzima mpaka barabara zinakosa mvuto.

Ile mitaa ilikuwaga ya utulivu na kishua sio tena hivyo ni makelele ya bodaboda na wapiga debe usiku kucha.

Katikakati mjini uhindini kila nyumba imegeuzwa restaurant viti vimejaa maeneo ya watembea kwa mguu.

Halafu pia mji umejaa wazungu choka mbaya sijui wanatokea nchi gani?

Yaani nimesikitishwa na nimetapeliwa na mapicha ya mtandaoni
Kwa kweli Bongo bado sana na Tena sana.

Povu ruksa!
Mkuu,

Weka mapicha basi na wewe tuone Bongo ilivyochoka.

Mimi nilirudi hivyo hivyo nikashangaa barabara zina mashimo mpaka Oysterbay shuleni.

Bongo lile jua tu linapausha vitu, ukipaka rangi leo, miei sita pashanyauka.
 
Wabongo bana tukienda nje kidogo tu tunataka kila mtu ajue na ndio lengo la uzi wako tumeshajua

Mkiona bongo bahati mbaya rudini hukohuko diaspora

Msituletee show off za kijingajinga ushamba tu
Mzee endelea kula kimasihara na kuchakata mbususu...[emoji23][emoji23]

Maana ndio sifa ya mtanzania.
 
Ww itakuwa Chadema unalaumu tu bila ya kuja na solution.
Mliowapa dhamana wamekosa solution ? Je solution walizopewa na wakosoaji wa ndani wamezifanyia kazi ? Kwann wanawateka wakosoaji? Je unaweza thibitisha kuwa mleta mada hajaleta solution?
 
Baada ya kukaa nje ya nchi bila kutembelea nyumbani kwa takbirani miaka 10, juzi nimetua bongo kwa matarajio mengi ya kuona yake mapichapicha ya mitandaoni, lakini nilichokikuta ni hakina tofauti yeyote kuonyesha miji wa Dar es Salaam kuwa umejengeka

Kwanza nimechoshwa na uwingi wa watu bila mpangilio, yaani watu wapowapo tu wamekaa na kusimama kila sehemu ya Mji bila shughuli, hata kama baadhi ya barabara zimejengwa lakini watu wakaakaa pembezoni na kazi Yao kuvuka upande huu na ule wa barabara kutwa nzima na wachuuzi wametanda barabara nzima mpaka barabara zinakosa mvuto.

Ile mitaa ilikuwaga ya utulivu na kishua sio tena hivyo ni makelele ya bodaboda na wapiga debe usiku kucha.

Katikakati mjini uhindini kila nyumba imegeuzwa restaurant viti vimejaa maeneo ya watembea kwa mguu.

Halafu pia mji umejaa wazungu choka mbaya sijui wanatokea nchi gani?

Yaani nimesikitishwa na nimetapeliwa na mapicha ya mtandaoni
Kwa kweli Bongo bado sana na Tena sana.

Povu ruksa!
Wazungu choka mbaya nao wamekuja kudanga huku kwa wadada na wakaka masikini wale kitu cha moto nachuro sio wale kitimoto wenzao wanaowakimbia huko
 
Back
Top Bottom