Ntakuzibua
JF-Expert Member
- Oct 3, 2018
- 714
- 1,253
Hahahawachafu sana
Mbona maelezo mengi?4. Wadada wenye Shepu nzuri. Arusha inaongozร โ๏ธ sio mtu anatako kubwa mpaka anashindwa kutembea.
Kwao huyo ๐๐watu wa Kilimanjaro wanaona Arusha ni yao ....Eti republic .!Mbona maelezo mengi?
Kaka wakazi wa eneo hilo mademu ni gate kalii nawajua baadhi wana shepu na miguu mizuri kuna mmoja kila siku ananibania mtoto wa tajiri mmoja hiviUsichanganye wanachuo na wakati wa eneo hlo๐
๐๐ ipo sana dada ๐ฆMiguu ya bia Arusha?? We utakuwa msukus mpenda rangi na meno ya kuungua
Mbona maelezo mengi?
AmenAlichonifabya yule mchaga , Mungu tu anipe moyo wa kutolipiza kisasi.
Watu wa Kagera,hao wengine hakuna kitu
Madem wengi wa geti kali akuelewe yy ndo utafanya venye unataka kwa namna unataka ww nje na hapo harakati za mtu mweusi zinakua nyingiKaka wakazi wa eneo hilo mademu ni gate kalii nawajua baadhi wana shepu na miguu mizuri kuna mmoja kila siku ananibania mtoto wa tajiri mmoja hivi
Sema soon atanielewa ngoja nikapeleke ngorongoro kakale bata maana kesho naenda kwenye mkutano wa madini nikiwa na madon wenzangu pale arusha mjiniMadem wengi wa geti kali akuelewe yy ndo utafanya venye unataka kwa namna unataka ww nje na hapo harakati za mtu mweusi zinakua nyingi
Best duoWachagga siku hizi wanakuja kwa kasi..
Kuna mixer ya chagga na kihaya. Au Mmasai na Mrangi..
Kuna siku nilikatiza hapo walikuwa wananishangaa miguu na mie sio kihivyo, kwa upande wa miguu katuuza mi sijakubali kuuzwa๐๐, ukanda huo ni rangi hasa kwa wapenda rangi ya chungwa vilivyobaki ni wastani kama maeneo mengine tu๐๐ ipo sana dada ๐ฆ
Ingawa sio kwa big pasee
Tabora hapana nakataaKwema Wakuu!
Kama hujawahi kutembelea mikoa hii basi unatakiwa ufanye jitihada kidogo utembelee ujionee watoto Wakali.
Uzuri katika uzi huu utahusisha Uzuri wa Sura, maumbile, mwonekano, na rangi. Na mikoa iliyoibuka kidedea kwa kutoa Pisikali ni kama ifuatavyo;
1. Arusha.
Ukifika Arusha Mjini pale na kuzurura mitaani shingo yako haitaacha kugeuka kushangaa warembo wa Arusha. Warefu kiasi, sura za kuchongoka, rangi ya kuvutรญa, na maumbo Mazuri. Arusha ni namba moja.
Shida yao kuu warembo hawa wanajiamini sana tofauti na inavyojulikana kuwa wanawake ni Watu wenye aibu na kutojiamini.
2. Dar es salaam
Dar inashika nafasi ya pili. Licha ya kuwa na mchanganyiko mkubwa wa Watu kutoka mikoa mbalimbali lakini bado DSM haiwezi kufua dafu mbele ya Arusha linapokuja swala la nani mbabe wa kumiliki vyuma, Pisikali katika nchi hii.
3. Singida.
Rangi na sura zao zinawabeba lakini Arusha wanawazidi kwenye kipengele cha rangi nyeupe zilizopoa.
4. Kilimanjaro.
Ukifika Moshi mjini 80% ya wanawake utakaowaona siku ya kwanza kama ni mgeni utagundua wanasura nzuri, weupe na maji ya kunde, na warefu wa kati.
5. Manyara
Hawa wanabebwa na sura zao na rangi yao. Urefu wa kati na nyusi nyingi machoni.
6. Tanga
Ni mkoa ambao kati ya wanawake kumi utakaowaona basi sita ni Wazuri.
7. Tabora.
Wazuri wa sura, maumbo, rangi nyeupe, nyeusi na maji ya kunde.
Kwa wanawake kumi utakaowaona basi watano ni wazuri. Hiyo inafanya uwiano kuwa 5:5
Tunasema hiyo ndio mikoa ambayo inaanzia uwiano wa Average kwenda juu.
Tuendelee kuchanganya damu kama Nyerere alivyosema.
Wasalamu.
๐๐๐๐Alichonifabya yule mchaga , Mungu tu anipe moyo wa kutolipiza kisasi.
hao wote ndiyo wamejazana arusha na hawana utani kwenye maokotoKwangu top 4 hizi APA
Singida,Babati,Manyara,Arusha
Oyaaa una piga michongo mererani au๐au dalali wa madini nane naneSema soon atanielewa ngoja nikapeleke ngorongoro kakale bata maana keshokutwa naenda kwenye mkutano wa madini nikiwa na madon wenzangu pale arusha mjini