Kwa maoni yangu, Arusha inaongoza kuwa na warembo Kanda ya Kaskazini

Kuna pisi ya kimasai
Ni rafiki angu
Yule binti ni mkalii.. ni mmasai
Kwenye weusi hayupo, kwenyewe weupe hayupo… yuko zake tu hapo kati amechili Ni kwereee bablai
 
Weeee sema kweli πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ,, unistue tuende wote tukawaone nimtafutie broo Wangu mke
 
Kuna pisi ya kimasai
Ni rafiki angu
Yule binti ni mkalii.. ni mmasai
Kwenye weusi hayupo, kwenyewe weupe hayupo… yuko zake tu hapo kati amechili Ni kwereee bablai
Anapatikana pande zipi apo chuga maana siku ya 2 leo nipo hapo kesho jioni nakula mwewe narudi zangu kigamboni
 
Kuna pisi ya kimasai
Ni rafiki angu
Yule binti ni mkalii.. ni mmasai
Kwenye weusi hayupo, kwenyewe weupe hayupo… yuko zake tu hapo kati amechili Ni kwereee bablai
Ni hatar Arusha mamlai..ni noma na nusu..nakuja next week unipelekekwa huyo mshkaji wako..u never know πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…