Kwa Mara ya kwanza Napongeza Ubunifu alioufanya Makonda Arusha

🙋‍♂️✍️🎯👍👊👏👍🙏💐🎁
 
🤝
 
Mkuu Lord denning ,nimeipenda objectivity yako, kiukweli kabisa watu objective wa kihivi ndio watalisaidia taifa letu by positive atitude itakayozaa positivism
thanks for this
P
 
Mkuu unachosema ni kweli, ila mleta mada kasema pamoja na mapungufu yote aliyo nayo Makonda kwa hili ni ubunifu wenye tija kwa Taifa.

Na ni kweli!!

Mkuu ukumbuke kuwa hata saa mbovu kuna muda husema majira sahihi.
 
Huyu hata umuanzishie mkoa wa nanjilinji atawika tu. Wampeleka simiyu uone kama sio kila siku tunaisoma simiyu humu JF na kwingineko.

Mengine ni kuacha tu atimize nyota yake kuliko kupambana nayo.
 
Mkuu uko sahihi na nakuunga mkono kwa asilimia zote, shida yetu kubwa kama taifa nimuendelezo chanya kwenye mambo ya kimkakati kitaifa.

Hili likipangiliwa vizuri na likawa synchronized kwa ustadi mkubwa na royal tour, kwa hakika ndani ya muda mfupi tutakuwa mbali sana kwenye nyanja ya Utalii kikanda na kimataifa!!
 
Oooh sawa. Ila hata kwa kulichukua na kulifanya liwe namna lilivyofanywa anastahili pongezi zetu.

Nategemea kuwaona Mawaziri wa Utalii na Habari wakishiriki kulipa publicity kubwa hili tukio ili liwe na manufaa tuliyoyasema humu.
🤝💯%
 
Naunga mkono hoja, ili hili litimie,kunahitaji the people who can share such vision ili kuifanyia iendelevu. Kwa aliyokuwa anayafanya akiwa mwenezi why aliondolewa?, au Jerry Slaa kuondolewa ardhi?, where is the continuity?

P
 
Mwishoni Umeisahau kumkumbusha na kuacha tabia zile za kudhalilisha hata Wazee wanaoweza kumzaa !😳

Big up Land Rover festival !
Hii ndio gari niliyojifunzia Udereva 1968 😳🙄😅
 
Soma ripoti za kuanzia 2000-2016 ndiyo ulinganishe na leo, kumbuka nyuma matumizi ya internet, social media kwa Tanzania yalikuwa chini sn

Hujielewi, how is that related to Samia? Utalii uko promoted only na wa fanya Biashara, na unaharibiwa na serikali!
Kama una akili kidogo tu, utaelewa!

Kama una akili kweli, soma kichwa cha Habari na Comment yangu uliyojibu, How is Samia related to report ya 2000 na 2016? Unesahau akili yako kwa mchepuko?
 
Za chini chini inasikika eti ndio makam was Rais ajaye baada ya filipo!!
Ngoja tuone!
 
Na hii ndo free thinking sasa. Pamoja na kuyasema mapungufu yake mengi ila still nimeweza kuona zuri lake na kulisema.

Huko Chamani kwao wamejaa wenye mawazo mgando ambao hawataki kusikia mtu akimkosoa Kiongozi yeyote hata kwa ukosoaji wa kistaarabu na wenye kuleta tija katika Nchi !

Hiyo ni pamoja na yeye Makonda alivyokuwa labda awe amebadilika kwa sasa !
Kwa sababu Binadamu anabadilika 😳
Siku hazigandi !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…