Kwa mara ya kwanza nimekuwa na mahusiano na wanaume wawili

Jibu simply tu ...Ni kwasababu huwa hamjui mnacho kitaka
 
Sidhani kama naeza kuwapoteza wote kama kupoteza labda mmoja
Mkuu jitadhimini tena na tena maana unajiamini vipi kujificha kwenye kichaka cha maarage yaliyo kauka;unashangaa wote wameshakufahamu na wana-machaguo yao tofauti na wewe.
 
Upitwi[emoji23][emoji23][emoji23] me nana mpango wa kuongeza wa 7 alafu awe mume wa mtu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji2][emoji2]duuh wa saba? Angekuwa wa pili ningetuma maombi
 
Kama huna tatizo lolote achana na biashara ya ngono baki na baba wa familia yako,vile unavyo vipata nje potezea tu
 

Hongera Sana Mkuu.
 
Mara hutaki kumuacha yeyooote....axa unataka njia ya kuelendelea na mmoja ya nini!!!, Mrembo kaa kwenye msimamo wako.....Toa Dodo tu ..... #mchuma janga Hula na wa kwao#.....*

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
Mwaya wala ata niliye naye tu ananishinda anakula mzigo mara moja kwa mwezi inakuwaje 7[emoji849][emoji849][emoji849]
 
Mwaya wala ata niliye naye tu ananishinda anakula mzigo mara moja kwa mwezi inakuwaje 7[emoji849][emoji849][emoji849]
Weee mara moja kwa mwezi ana matatizo gani au yupo bize sana

Tutamsaidia ujue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…