Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
-
- #61
Kwa iyo kwako uchafu ndo unawaingizia kipato wananchi?Dust dust, kwamba kuonekana kwa mji kunawaingizia kipato wananchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwambie kilaza huyotatizo huwa halishi kwa kuacha tatizo liendelee.
Nimatumaini kuwa tatizo jipya unalolitabiri lipatapata utatuzi
Tatizo la njaa linatatuliwa na kulima
Ukilima unapata tatizo la sugu viganjani
Kuna namna ya kutatua tatizo la sugu na si kwa kuacha kulima.
Maisha ni matatizo yanayotafutiwa utatuzi kila siku.
Nchi hii ilifika katika Kiwango cha juu kabisa cha ujinga! Mungu katusaidia sanaHii nhi ilichezewa sana ndugu zangu.
Yaani mtu anapika ugali katika stendi ya daladala, kwa kutumia kuni na ana mwaga maji machafu barabaran.
Ukiuliza eti magufuli karuhusu biashara.
How jobless? Wakati watu wamepangaa kwenye maeneo mapya ambayo yanawekewa utaratibu mzuri zaidi utakaofanikisha hata nchi kuanza kukusanya kodi kutoka kwenye hili kundi badae?Hongera kwa kazi nzuri, miji kwa kweli ilikuwa michafu, nakumbuka kuna wakati Makonda alijitahidi kuisafisha kariakoo lakini jiwe akaamuru waachwe wajinafasi, kwa hili jiwe was absolutely wrong.
Ila kumbuka, umetatua tatizo kubwa...umeibua tatizo kubwa, the jobless.. the kipatoless, soon ukabaji, udokozi na wizi utaanza. Unless measures za uhakika zichukuliwe kunusuru hii hali.
Kiongozi, unajua huko wanakopelekwa hakuna wateja, wavumilivu ni wachache, wengi watajaribu kurudi na wengine kuacha kabisa coz mauzo yatashuka sana. Mfano ni pale Mbezi mwisho, wakiondokewa kupelekwa nyuma ya stand ya magufuli unadhani nani ataenda kununua bidhaa kule? Shana ya machinga ni kufuata mteja alipo, sio mteja kumufuata na sisi watanzania hatupendi kufuata huduma, tunapenda huduma zitufate, ndio maana machinga hawawezi kuisha.How jobless? Wakati watu wamepangaa kwenye maeneo mapya ambayo yanawekewa utaratibu mzuri zaidi utakaofanikisha hata nchi kuanza kukusanya kodi kutoka kwenye hili kundi badae?
Bora kwao ilikuwa ni kutengeneza pesa tu bila kuzingatia ustaarabu. Hatuwezi kuishi vile!!Swala la machinga nampongeza Rais kwa kutoa maamuzi magumu machinga walishakuwa kero pia vibanda na uchafu ilikuwa aibu kwa majiji makubwa ilifanya tuonekane nchi ka ya vichaa, pia nimpongeze Makele jiji limeanza kuwa safi kuanzia Mwenge, ustawi na kwingine aisee vile vibanda plus mbao ulikuwa uchafu uliokubuhu Hadi nawaza kwanini machinga hawana aibu na hawajali usafi?
Kama nchi lazima kufata sheria na maisha sio rahisi kwa yoyote Sasa machinga walikuwa wanajiona exceptional na ni wanyonge usiku nilipita watu wajiji wakivunja hvo vibanda aisee mitaro ilikuwa imejaa matakataka na hizi mvua zingeleta mafuriko na milipuko ya magonjwa, na sasa jiji linaonekana safiBora kwao ilikuwa ni kutengeneza pesa tu bila kuzingatia ustaarabu. Hatuwezi kuishi vile!!
Kama nchi lazima kufata sheria na maisha sio rahisi kwa yoyote Sasa machinga walikuwa wanajiona exceptional na ni wanyonge usiku nilipita watu wajiji wakivunja hvo vibanda aisee mitaro ilikuwa imejaa matakataka na hizi mvua zingeleta mafuriko na milipuko ya magonjwa, na sasa jiji linaonekana safiBora kwao ilikuwa ni kutengeneza pesa tu bila kuzingatia ustaarabu. Hatuwezi kuishi vile!!
Mbona kariakoo watu wanatoka Hadi nje ya nchi kufata bidhaa, hao watakaoshindwa na biashara kufa watafte kitu kingine chakufanyaKiongozi, unajua huko wanakopelekwa hakuna wateja, wavumilivu ni wachache, wengi watajaribu kurudi na wengine kuacha kabisa coz mauzo yatashuka sana. Mfano ni pale Mbezi mwisho, wakiondokewa kupelekwa nyuma ya stand ya magufuli unadhani nani ataenda kununua bidhaa kule? Shana ya machinga ni kufuata mteja alipo, sio mteja kumufuata na sisi watanzania hatupendi kufuata huduma, tunapenda huduma zitufate, ndio maana machinga hawawezi kuisha.
Kula ya mtu kila mtu apambano nayo hyo sio kigezo Cha kuchafua mazingira kisa kula au kuvunja sheria za road reserve na hao machinga wengi walikimbia vijijini penye unafuu na kuja mijini wakitegemea kupanga vitu kwenye mitaro na barabara za wapita miguu then waachwe tu wao ni nani?Mtu kula yake hajui itakuaje,unamuambia habari za usafi?
Machinga ni kama result tu,huku sababu kubwa ikiwa ni ujinga na umasikini uliotopea.....
[emoji23][emoji23][emoji23]Yani Jana magari ya city yalikuwa yanazoa takataka kwenye mitaro hafu waachwe tu eti na vibanda wengine wanapika Hadi vyakula na hamna vyooHivi Machinga walikuwa wanajisaidia wapi?
Ndio nikasema, baadhi wataishia kuwa vibaka. Matokeo yake tutayaona very soon!Mbona kariakoo watu wanatoka Hadi nje ya nchi kufata bidhaa, hao watakaoshindwa na biashara kufa watafte kitu kingine chakufanya
Hao vibaka Raia wataua tu hamna shida, na ukiona kibaka ujue ndio tabia yake wala haihusiki na umachinga wa holelaNdio nikasema, baadhi wataishia kuwa vibaka. Matokeo yake tutayaona very soon!
I'm not against kuweka mji sawa though.
Na hili kwangu ndio la msingi zaidi, sisi wateja tufwate bidhaa zilipo, tusiwafosi machinga waje kwenye njia zetu.Zoezi likienda vzr badi wateja wa bidhaa zao watuwafuata huko walipo..
Na huu ndo uwe utaratibu! Watu wafuate bidhaa pale zilipo sio kuendekeza uvivu na kusema bidhaa ziwafuateZoezi likienda vzr badi wateja wa bidhaa zao watuwafuata huko walipo..
Alafu kuna watu walikuwa wanatetea huu upuuzi! Watu weusi tunasikitisha sana[emoji23][emoji23][emoji23]Yani Jana magari ya city yalikuwa yanazoa takataka kwenye mitaro hafu waachwe tu eti na vibanda wengine wanapika Hadi vyakula na hamna vyoo
Kulikuwa na tabia za ajabu sana ilitengenezwa kwa watanzania! Watu hawataki kufuata taratibu na ustaarabu wa binadamu eti kisa kujiita mnyonge!Kula ya mtu kila mtu apambano nayo hyo sio kigezo Cha kuchafua mazingira kisa kula au kuvunja sheria za road reserve na hao machinga wengi walikimbia vijijini penye unafuu na kuja mijini wakitegemea kupanga vitu kwenye mitaro na barabara za wapita miguu then waachwe tu wao ni nani?
Wengine wanalipia frame Malaki ya hela wao wanataka tu vitu free tu coz wanajiona ni exceptional kisa kula, tena nampongeza mama kwa kuwasafisha hao machinga