Kwa Mara ya Kwanza nimeona Mafanikio ya Serikali kwenye suala la Machinga, Hongera Serikali ya Awamu ya Sita

Miaka 60 ya uhuru tumefanikiwa tu kufukuza wamachinga Kariakoo. Mungu anajua ni lini watoto wetu wote watakalia madawati shuleni, achilia mbali kufikia uchumi wa viwanda.
 
Kujiita tu wanyonge Hilo lilikuwa tatizo number moja lililofanya watu wasitumie akili ipasavyo Ili kupata excuse ya kutofata taratibu za mipango miji, naomba serikali ikimaliza la machinga waje kwa hawa bodaboda maana ni group linalohitaji msaada wa haraka kunusuru vijana na ulemavu
 
Miaka 60 ya uhuru tumefanikiwa tu kufukuza wamachinga Kariakoo. Mungu anajua ni lini watoto wetu wote watakalia madawati shuleni, achilia mbali kufikia uchumi wa viwan
mkuu naona bado hujaliewa somo.Machinga wanapaswa kupiga kelele ili kila mtu akae eneo rasmi wateja wawakute hapo.
 
Machangudoa na wala shisha ni wahalifu kwa mujibu wa sheria gani
Wameshindwa kuwatoa machangudoa na wala shisha ambao ni wahalifu wataweza kuwatoa machinga ambao hawamwibii mtu yoyote?

Tatizo viongozi wetu huwa hawajifunzi kutokana na historia ni suala la muda tu ngoja hela ziwaishie.
 
mkuu naona bado hujaliewa somo.Machinga wanapaswa kupiga kelele ili kila mtu akae eneo rasmi wateja wawakute hapo.
si kwa nchi yetu hii,yaani mteja amfuate muuzaji,machinga ni muuzaji wa kitu ambacho mnunuaji analazimishwa kununua,mfano umeshuka zako kariakoo unaenda kwenye pilikapilika zako ukakuta sendo njiani unakuja kukumbuka sina sendo ndo unaponunua hapo
 
Umeongea point kabisa
 
tumefungua kiwanda kipya cha makahaba, wezi , matapeli na majambazi.
 
Yani abiria hawana srhemu ya kusubiri bus
 
tumefungua kiwanda kipya cha makahaba, wezi , matapeli na majambazi.
Uwe mwizi tapeli na Jamba I kwa kwenda kupangwa sehemu Nzuri ili ufanye biashara kwenye mazingira safi , salama na ulipe kodi?

Utakuwa umerogwa wewe
 
Mkuu kuna watu humu JF wanaona aibu kukiri kuwa hata hilo la machinga ndiyo legacy ya mwendazake.
Hatutaona aibu kukiri kuwa JPM aliwatendea mema wamachinga, na wenyewe wataendelea kumshukuru na kumkumbuka daima!

Huo muonekano unaoufurahia hauwapi shibe watu maskini watanzania
 
Ilikuwa aibu! Tulikuwa tunaonekana wote ni nchi ya wajinga tusio wasafi na tusiofuata taratibu!

Kweli kwa hili naipongeza awamu ya sita! Wasirudi nyuma tu
Nchi ya kijamaa haipaswi kuweka mbele fahari za miji na kupuuza maisha ya watu

Huo ni ubepari
 
Kwenye suala la Machinga subiri kutoa pongezi baada ya miaka miwili au mitatu. Sasa hivi kwa mfano hapa Jijini Mwanza, RC, RAS, RPC, DC, DAS, DED, Mayor, OCD, Mbunge, Watendaji Kata wote na maafisa wao WOTE wako mabarabarani ETI wanawapanga Machinga. Hakuna ofisi inayofanya kazi. Swali la kujiuliza, hawa maafisa wakirudi ofisini kwao, Machinga watabaki "site"?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…