Kwa mara ya kwanza toka 1979 Tanzania inapata uhaba wa pesa za kigeni bila ya kuwa vitani

Kwa mara ya kwanza toka 1979 Tanzania inapata uhaba wa pesa za kigeni bila ya kuwa vitani

Ndani ya huu mwaka tutamaliza na 1USD =3000 shillings, tunafungua nchi, uwezo mdogo, akili zinawa makongamano na bandari tu
 
Mwaka 1979 baada ya Vita ya Kagera Tanzania ilipata uhaba mkubwa sana wa pesa za kigeni, uchumi ukayumba sana kutokana uhaba wa pesa za kigeni kwa ajili kununua vipuri viwandani, mafuta na bidhaa mbalimbali.

Sasa wakati ule tulisema nchi imefilisika kwa ajili ya vita. Tanzania ilikopa sana na kuchukua akiba yake kununua silaha za kujihami dhidi ya Amin Dada.

Kwa mara ya kwanza, toka mwaka 1979 nchi inapata uhaba wa pesa za kigeni. Tupewe sababu za uhaba huo.
Mwanasesera ameiachia nchi ijiendee tu kiholela kama gombania goli
 
CHUKI ZAKO IPO SIKU ZITAKUUWA MWENYEWE,NCHI YETU KWA SASA INANUNUA MACHINERY NYINGI NJE KWA AJILI YA VYUMA VYA RELI,BAADHI YA VIFAA VYA GHARAMA KUBWA VYA DAMS ZA UMEME ZENYE UHITAJI WA MILLIONS OF DOLLARS,HAYA YAKIISHA HALI ITA STABILIZE.
NOTE THIS!
Visingizio vya kisenge mno , kwa hiyo reli ilianza kujengwa juzi baada ya huyu bibi kuingia ,au
 
Usitupange Kuna muda serikali iliweka sera nzuri ya ubadilishaji fedha. Wenye akili kuliko mwenye akili wakatoa hiyo sheria. Hahahha
Tuliwaambia mapema wajuajua wasiojua wakajifanya wajuaji zaidi ,sasa pesa zinatorosha kwenda huko shilingi inaachwa hapo ikiwa hoi
 
Mwaka 1979 baada ya Vita ya Kagera Tanzania ilipata uhaba mkubwa sana wa pesa za kigeni, uchumi ukayumba sana kutokana uhaba wa pesa za kigeni kwa ajili kununua vipuri viwandani, mafuta na bidhaa mbalimbali.

Sasa wakati ule tulisema nchi imefilisika kwa ajili ya vita. Tanzania ilikopa sana na kuchukua akiba yake kununua silaha za kujihami dhidi ya Amin Dada.

Kwa mara ya kwanza, toka mwaka 1979 nchi inapata uhaba wa pesa za kigeni. Tupewe sababu za uhaba huo.
Mmefungilia goli maduka yafunguliwe Aya maduka yamefunguliwa yakowapi, magufuli alikuwa anajuwa nawakasema kunakamchezo kanafanyika Kati ya wafanyakazi wa b kuu naao wenye viduka kudadeki na bado,MTANIKUMBUKA KWA MAZURI
 
Nchi haiongozwi na mtu mmoja bali taasisi na mamlaka mbali mbali.sasa kila mamlaka na taasisi zuwajibike zisisubiri mpaka Rais wa nchi aone ndio atoe uamuzi.
 
Wazungu wameanza kuamini hao usiowaamini kuendesha Bandari zao, kuendesha ligi zao za Mpira, kuruhusu kuwekeza kwenye masoko yao ya mitaji n.k

Sasa Wewe usipowaamini wanapungukiwa nini?


Kama ukashindwa kumuamini Mtawala wa UAE aliwezesha kubadili maisha ya watu wake ndani ya muda mfupi kwa kuwa tu ni Muislam, Muarabu ukaenda kuamini kina Emmerson Mnangagwa, William Ruto na Yoweri Museveni kwa kuwa Weusi na Wakristo wenzio hilo ni tatizo lako binafsi


Huyo Muislam usiemuamini ndio kawahakikishia amani Wakristo wenzio waliokimbia Nchi baada ya kukoswa koswa kuuawa na Mkristo mwenzio

Huyo Mwislam ndio kawarudishia Mali zao Wakristo wenzio walioporwa na Mkristo mwenzio

Mdini Mkubwa Wewe Nyangalakata waahed
Nakupenda sana we mama, with good precise and clear analysis.
 
Mwaka 1979 baada ya Vita ya Kagera Tanzania ilipata uhaba mkubwa sana wa pesa za kigeni, uchumi ukayumba sana kutokana uhaba wa pesa za kigeni kwa ajili kununua vipuri viwandani, mafuta na bidhaa mbalimbali.

Sasa wakati ule tulisema nchi imefilisika kwa ajili ya vita. Tanzania ilikopa sana na kuchukua akiba yake kununua silaha za kujihami dhidi ya Amin Dada.

Kwa mara ya kwanza, toka mwaka 1979 nchi inapata uhaba wa pesa za kigeni. Tupewe sababu za uhaba huo.
Bado sauti haujatoka subri
 
Tunahitaji uchaguzi huru inawezekana waliopo sio waliochaguliwa kwa haki na Mungu anatuonesha walichokifanya kwa uwazi kabisa kuwa wameshindwa kuongoza nchi... Kikwete alisema 2025 ni Mama labda mambo yaharibike.. na kila uchao tokea alipozungumza haya hali ya nchi inakuwa mbaya mno hadi wanadiriki kuuza uhuru...
 
Tunanunua ndege kwa cash dollar

Tunalipa faini za mahakama za kimataifa kwa kuvunja mikataba kwa cash dollar
 
Mwaka 1979 baada ya Vita ya Kagera Tanzania ilipata uhaba mkubwa sana wa pesa za kigeni, uchumi ukayumba sana kutokana uhaba wa pesa za kigeni kwa ajili kununua vipuri viwandani, mafuta na bidhaa mbalimbali.

Sasa wakati ule tulisema nchi imefilisika kwa ajili ya vita. Tanzania ilikopa sana na kuchukua akiba yake kununua silaha za kujihami dhidi ya Amin Dada.

Kwa mara ya kwanza, toka mwaka 1979 nchi inapata uhaba wa pesa za kigeni. Tupewe sababu za uhaba huo.
Mkuu

Majizi yalikuwa kifungoni miaka sita iliyopita, baada ya kufunguliwa yamekomba kila kitu na kurejesha mikononi mwao halafu serikali inapewa masharti ya kuzipata lazima wawape mchongo wagawane wote bila hivyo hawajali nani ataumia.
 
Mkuu

Majizi yalikuwa kifungoni miaka sita iliyopita, baada ya kufunguliwa yamekomba kila kitu na kurejesha mikononi mwao halafu serikali inapewa masharti ya kuzipata lazima wawape mchongo wagawane wote bila hivyo hawajali nani ataumia.
Hahaha
 
Back
Top Bottom