Uchaguzi 2020 Kwa mara ya kwanza watanzania tunashuhudia Chama cha Siasa chenye mgombea Urais 100% Kibaraka

Uchaguzi 2020 Kwa mara ya kwanza watanzania tunashuhudia Chama cha Siasa chenye mgombea Urais 100% Kibaraka

Kwenye uchaguzi huu, naona mbengu nyingine kabisa, ambayo imepandwa kwenye udogo wa beberu, inatiliwa mbolea na beberu, na inamwagiliwa maji na beberu. Aidha, tangu Mhe. Tundu Lissu arejee kutoka ughaibuni, nyendo zake zimekuwa za jeuri jeuri, kutoatoa vitisho kwa serikali, kumbe jeuri hii ilikuwa na mkono wa beberu nyuma yake. Na hii medhihirika baada ya kusambaa kwa barua ya wale mabeberu (Amsterdam et al,). Kwa kitendo hiki, nidhahiri Mh. Tundu Lissu ni 100% kibaraka.

Ni kweli kabisa. Ushahidi mwingine wa hicho ulichosema huu hapa:

 
Mabeberu ndio wawekezaji,,, Bidhaa nyingi tunatumia zinatoka kwa mabeberu,, bajeti yetu inachangiwa na mabeberu,, Miradi mikubwa inafadhiliwa kwa hisani ya mabeberu,, ARV ni kwa hisani ya mabeberu,, Uzazi wa mpango ni kampeni kwa hisani ya mabeberu,,

Wote hao wana baraka za serikali na wanaitwa wafadhili..

Kimahesabu utagundua watanzania wote ni vibaraka wa mabeberu..

TUJIFUNZE KUJITEGEMEA.
 
Ndugu watanzania wenzangu, Kipekee napenda kumshukru Mungu kwa kunipa siku ya leo.

Tangu kuanzishwa kwa uchaguzi wa vyama vingi vya siasa, CHADEMA imekuwa na wagombea uraisi kama vile: Mhe. Mbow, Mh. Dr. Slaa, Mh. Lowasa. Waheshimiwa hawa hawakuwa na makando makando ya wazi ya kuwa na mkono wa beberu. Kwenye uchaguzi huu, naona mbengu nyingine kabisa, ambayo imepandwa kwenye udogo wa beberu, inatiliwa mbolea na beberu, na inamwagiliwa maji na beberu. Aidha, tangu Mhe. Tundu Lissu arejee kutoka ughaibuni, nyendo zake zimekuwa za jeuri jeuri, kutoatoa vitisho kwa serikali, kumbe jeuri hii ilikuwa na mkono wa beberu nyuma yake. Na hii medhihirika baada ya kusambaa kwa barua ya wale mabeberu (Amsterdam et al,). Kwa kitendo hiki, nidhahiri Mh. Tundu Lissu ni 100% kibaraka.

Kwa ninavyoona, Mhe. Tundu Lissu anajua kabisa hatashinda kwenye uchaguzi, na haitakuja kutokea kuwa raisi wa nchi hii kwa sababu ya mazingira ambayo amejitengenezea mwenyewe. Kwenye uchaguzi huu, Mh. Tundu Lissu, ataleta amsha amsha tu na hawezi kufikia hata nusu ya Mh. Lowasa.

Kwa msiojua, Tanzania ni moja ya nchi pendwa sana na Mungu, tuna rekodi ya kuvushwa katika changamoto nyingi sana: tulishuhudia kelele za kukamatwa kwa ndege, klele za makinikia, kelele za Korona n.k., katika yote haya Mungu alitusaidia tukavuka. Kwa kipindi hiki cha uchaguzi, hakuna cha kibaraka, mtoto wake na kibaraka, beberu au mtoto wake na beberu ambaye atafanikiwa kuingia kwenye Ikulu ya Magogoni na Chamwino. Tunataka Ikulu yetu ikaliwe na raisi ambaye ataweka mbele mslahi ya taifa hili, na tutaomba kwa Mungu mchana na usiku ili jambo hili litimie. Mimi nina imani kubwa sana Mh. Magufuli anaenda kushinda kwa kishindo kwenye uchaguzi huu, na ataongoza tena kwa miaka 5.

Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu
Mwaka huu mtaongea herufi zote hadi mb@@ ikatikie mumo humooo
 
Mabeberu ndio wawekezaji,,, Bidhaa nyingi tunatumia zinatoka kwa mabeberu,, bajeti yetu inachangiwa na mabeberu,, Miradi mikubwa inafadhiliwa kwa hisani ya mabeberu,, ARV ni kwa hisani ya mabeberu,, Uzazi wa mpango ni kampeni kwa hisani ya mabeberu,,

Wote hao wana baraka za serikali na wanaitwa wafadhili..

Kimahesabu utagundua watanzania wote ni vibaraka wa mabeberu..

TUJIFUNZE KUJITEGEMEA.
Wrong Historical-created mindset, isingekuwa hawa jamaa Africa tungekuwa mbali sana. Tatizo kukosa kujiamini mkuu, but tunaweza tukiwa na win win strategy.
 
Mabeberu ndio wawekezaji,,, Bidhaa nyingi tunatumia zinatoka kwa mabeberu,, bajeti yetu inachangiwa na mabeberu,, Miradi mikubwa inafadhiliwa kwa hisani ya mabeberu,, ARV ni kwa hisani ya mabeberu,, Uzazi wa mpango ni kampeni kwa hisani ya mabeberu,,

Wote hao wana baraka za serikali na wanaitwa wafadhili..

Kimahesabu utagundua watanzania wote ni vibaraka wa mabeberu..

TUJIFUNZE KUJITEGEMEA.
Mkuu, kama Africa tungekuwa na maono km Mwl Nyerere, Magu, Nkwame, tungekuwa very far
 
Mabeberu ndio wawekezaji,,, Bidhaa nyingi tunatumia zinatoka kwa mabeberu,, bajeti yetu inachangiwa na mabeberu,, Miradi mikubwa inafadhiliwa kwa hisani ya mabeberu,, ARV ni kwa hisani ya mabeberu,, Uzazi wa mpango ni kampeni kwa hisani ya mabeberu,,

Wote hao wana baraka za serikali na wanaitwa wafadhili..

Kimahesabu utagundua watanzania wote ni vibaraka wa mabeberu..

TUJIFUNZE KUJITEGEMEA.
Mkuuu hayo yatashuka kutoka mbinguni? Si yanahitaji maandalizi? na maandalizi ni elimu pekee.Hatutaki kuwekeza kwenye elimu alafu tunahitaji mapinduzi it is a nocens.China walikubali kutumia gharama kubwa kiwekeza kwenye elimu waliyowapa vijana wao leo hii matokeo unayaaona.

Magufuli ningemuona ni mtu makini kama angekuja na idea ya kuwekeza kwenye elimu ili Siku moja akumbukwe.Yeye haoni uzuni kila kitu kufanyiwa na wataalam kutoka nje na pesa yetu yote inaenda kwao ,sasa tutamkumbuka kwa lipi kama hana uwezo wa kufikiria hayo?

Anasema tujitegemee wakati huo huo anataka waje wachimbe madini,anataka mbegu za kilimo zitoke kwao ,anataka madawa ya binadam yatoke kwao na kila kitu ,lakini kujipa muda kuwa ikifika muda fulani hatutaki watupe hayo hizo akili hana.
 
WHAT AN IDIOT, LOSER! Kujua kiingereza ndo iwe sifa ya mgombea URAIS?? Nakuhakikishia mtu wako Lisu hatoboi hata nusu ya kiingereza changu. But I'm not necessarily a good leader.
Thank you very much chief, hawa jamaa ni cancer ya taifa, lazima itibiwe
 
Na wewe unawasemea Watanzania wa wapi, labda waliooshikiwa akili na M/kiti Fulani ambaye Chama na wanachama wa hicho Chama anajinufaisha Kwa biashara zake na wasiseme chochote
Ndiyo shida ya wapinzani wetu, wako kimaslahi binafsi sana
 
Ndugu watanzania wenzangu, Kipekee napenda kumshukru Mungu kwa kunipa siku ya leo.

Tangu kuanzishwa kwa uchaguzi wa vyama vingi vya siasa, CHADEMA imekuwa na wagombea uraisi kama vile: Mhe. Mbow, Mh. Dr. Slaa, Mh. Lowasa. Waheshimiwa hawa hawakuwa na makando makando ya wazi ya kuwa na mkono wa beberu. Kwenye uchaguzi huu, naona mbengu nyingine kabisa, ambayo imepandwa kwenye udogo wa beberu, inatiliwa mbolea na beberu, na inamwagiliwa maji na beberu. Aidha, tangu Mhe. Tundu Lissu arejee kutoka ughaibuni, nyendo zake zimekuwa za jeuri jeuri, kutoatoa vitisho kwa serikali, kumbe jeuri hii ilikuwa na mkono wa beberu nyuma yake. Na hii medhihirika baada ya kusambaa kwa barua ya wale mabeberu (Amsterdam et al,). Kwa kitendo hiki, nidhahiri Mh. Tundu Lissu ni 100% kibaraka.

Kwa ninavyoona, Mhe. Tundu Lissu anajua kabisa hatashinda kwenye uchaguzi, na haitakuja kutokea kuwa raisi wa nchi hii kwa sababu ya mazingira ambayo amejitengenezea mwenyewe. Kwenye uchaguzi huu, Mh. Tundu Lissu, ataleta amsha amsha tu na hawezi kufikia hata nusu ya Mh. Lowasa.

Kwa msiojua, Tanzania ni moja ya nchi pendwa sana na Mungu, tuna rekodi ya kuvushwa katika changamoto nyingi sana: tulishuhudia kelele za kukamatwa kwa ndege, klele za makinikia, kelele za Korona n.k., katika yote haya Mungu alitusaidia tukavuka. Kwa kipindi hiki cha uchaguzi, hakuna cha kibaraka, mtoto wake na kibaraka, beberu au mtoto wake na beberu ambaye atafanikiwa kuingia kwenye Ikulu ya Magogoni na Chamwino. Tunataka Ikulu yetu ikaliwe na raisi ambaye ataweka mbele mslahi ya taifa hili, na tutaomba kwa Mungu mchana na usiku ili jambo hili litimie. Mimi nina imani kubwa sana Mh. Magufuli anaenda kushinda kwa kishindo kwenye uchaguzi huu, na ataongoza tena kwa miaka 5.

Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu
Tundu Lissu kawashika MATAGA kunako.....
 
As I said, vijana wengi hawajaujua upande mwingine was Tundu Lissu. Ila ile in sumu mkuu.
Hivi hayati Ben alifanyaje? Mbona aliwabinafsisha wazungu mpaka basi? Lakini mbona mmemsifiia kuwa ni shujaaa? Magu kama anaipenda Tanzania kweli kweli kwanini hataki kubadilisha mgumo wa elimu na akahakikisha kodi za wananchi zinawekezwa kwenye elimu iliyo imara na yenye ukombozi kwa watu?
 
Ndugu watanzania wenzangu, Kipekee napenda kumshukru Mungu kwa kunipa siku ya leo.

Tangu kuanzishwa kwa uchaguzi wa vyama vingi vya siasa, CHADEMA imekuwa na wagombea uraisi kama vile: Mhe. Mbow, Mh. Dr. Slaa, Mh. Lowasa. Waheshimiwa hawa hawakuwa na makando makando ya wazi ya kuwa na mkono wa beberu. Kwenye uchaguzi huu, naona mbengu nyingine kabisa, ambayo imepandwa kwenye udogo wa beberu, inatiliwa mbolea na beberu, na inamwagiliwa maji na beberu. Aidha, tangu Mhe. Tundu Lissu arejee kutoka ughaibuni, nyendo zake zimekuwa za jeuri jeuri, kutoatoa vitisho kwa serikali, kumbe jeuri hii ilikuwa na mkono wa beberu nyuma yake. Na hii medhihirika baada ya kusambaa kwa barua ya wale mabeberu (Amsterdam et al,). Kwa kitendo hiki, nidhahiri Mh. Tundu Lissu ni 100% kibaraka.

Kwa ninavyoona, Mhe. Tundu Lissu anajua kabisa hatashinda kwenye uchaguzi, na haitakuja kutokea kuwa raisi wa nchi hii kwa sababu ya mazingira ambayo amejitengenezea mwenyewe. Kwenye uchaguzi huu, Mh. Tundu Lissu, ataleta amsha amsha tu na hawezi kufikia hata nusu ya Mh. Lowasa.

Kwa msiojua, Tanzania ni moja ya nchi pendwa sana na Mungu, tuna rekodi ya kuvushwa katika changamoto nyingi sana: tulishuhudia kelele za kukamatwa kwa ndege, klele za makinikia, kelele za Korona n.k., katika yote haya Mungu alitusaidia tukavuka. Kwa kipindi hiki cha uchaguzi, hakuna cha kibaraka, mtoto wake na kibaraka, beberu au mtoto wake na beberu ambaye atafanikiwa kuingia kwenye Ikulu ya Magogoni na Chamwino. Tunataka Ikulu yetu ikaliwe na raisi ambaye ataweka mbele mslahi ya taifa hili, na tutaomba kwa Mungu mchana na usiku ili jambo hili litimie. Mimi nina imani kubwa sana Mh. Magufuli anaenda kushinda kwa kishindo kwenye uchaguzi huu, na ataongoza tena kwa miaka 5.

Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu
Tapeli wewe na CCM yakp

Sent from my MRD-LX1F using JamiiForums mobile app
 
Mkuuu hayo yatashuka kutoka mbinguni? Si yanahitaji maandalizi? na maandalizi ni elimu pekee.Hatutaki kuwekeza kwenye elimu alafu tunahitaji mapinduzi it is a nocens.China walikubali kutumia gharama kubwa kiwekeza kwenye elimu waliyowapa vijana wao leo hii matokeo unayaaona.

Magufuli ningemuona ni mtu makini kama angekuja na idea ya kuwekeza kwenye elimu ili Siku moja akumbukwe.Yeye haoni uzuni kila kitu kufanyiwa na wataalam kutoka nje na pesa yetu yote inaenda kwao ,sasa tutamkumbuka kwa lipi kama hana uwezo wa kufikiria hayo?

Anasema tujitegemee wakati huo huo anataka waje wachimbe madini,anataka mbegu za kilimo zitoke kwao ,anataka madawa ya binadam yatoke kwao na kila kitu ,lakini kujipa muda kuwa ikifika muda fulani hatutaki watupe hayo hizo akili hana.
Haya ndiyo mawazo yanayotakiwa kutolewa ili kumshauri Mh. Raisi aliyeko madarakani. Nchi hii ni yetu sote.
 
Watanzania wananchi wa wapi unawasemea ? au watanzania wa gheto kwa cyprian Musiba?Maana watanzania wenye Akili timamu hawapo na CCM hawataki kuisikia CCM kabsa
Bila ccm nchi hii itayumba mkuu, bado hatujapata wapinzani makini
 
Kwanza CCM ndio mnaongoza kuwa na VVU. Sasa shauri yenu hao mabeberu waje wakate mirija ya zile ARV kwa kuwasema vibaya. Tunawazika.
 
Back
Top Bottom