Ni ya kipuuzi kwako usiyejua maana na manufaa ya sensa.Kwanza maswali ni mengi bila sababu ya msingi halafu mengi ni ya kijinga na kipuuzi. Ingewezekana kabisa kuwa na dodoso lenye maswali machache na ya msingi. Baadhi ya maswali wangeachiwa watendaji wa mitaa/vijiji wakisaidiwa na wenyeviti wao kwani ni ya kifamilia zaidi na yanahitaji utulivu.
Kwa ufupi hii itakuwa sensa ya hovyo kabisa kufanyika nchini na itachukuwa muda mrefu bila sababu yo yote. Wananchi wengi watayakwepa au kuyapuuza baadhi ya maswali kwa kusema uongo!
PIA, SOMA:
- Maswali 100 ya sensa ya watu na makazi ya mwaka
Nilidanga kwa jimama la KinondoniSwali namba 59.
Una mtaji wa Shilingi ngapi na uliutoa wspi?
Hili swali watapewa majibu ya uongo tupu
Usisahau wanatumia tablet si kutumia makaratasi. Miaka ile tuliteseka sana na makaratasi. Hayo maswali ni traditional Censuses questions na yamejikita katika Population, Fertility, Mortality and Migration kama kawaida ya kila sensa duniani.Kwa hali hiyo yalitakiwa yawepo madodoso tofauti!
Kwa vile wewe hujui haya masuala. Kila mtu na profession yake, hii ni yangu bwasheekolola ni mburula!
Wengi hawafahamu hiliUna uhakika wewe! Unajua kuwa data halisi ni data ya sensa na si surveys!
Karani swali Gani Hilo unazingua!, Kwani unanionaje?Swali la 3.
Je wewe ni mwanaume au MWANAMKE?[emoji1]
Ndiyo tatizo la ku-copy na ku-paste kutoka madodoso ya watu wa nchi zilizoendelea.Hivi katika hali ya kawaida kabisa unaweza kukaa kumuuliza mtu maswali 100 mfululizo ukitegemea matokeo chanya ya unachokifanya......wote muuliza maswali na mjibu maswali hadi mnakamilisha maswali 100 wote mpo hoi na fatigue na kizunguzungu juu...
hahahahahaahaha qmmmmmmqNilidanga kwa jimama la Kinondoni
Si rahisi mtu mujibu maswali yote mkuu. Yaani mtu ajibu maswali ya uvuvi, kilimo, uchimbaji madini n.k. Pia kuna maswali karani mjanja atapata majibu kwa urahisi akifika kwenye Kaya husikaHivi katika hali ya kawaida kabisa unaweza kukaa kumuuliza mtu maswali 100 mfululizo ukitegemea matokeo chanya ya unachokifanya......wote muuliza maswali na mjibu maswali hadi mnakamilisha maswali 100 wote mpo hoi na fatigue na kizunguzungu juu...
Wao takwimu za tozo mbona wanatuongopea. Zile takwimu ni muhimu kuliko kutuhesabu na kwa minajili hio tutawaongopea tuNashangaa kwanini watu wanataka kukwamisha zoezi kwa kusema uongo. Hizi takwimu zitatumiwa na serikali yoyote itakayokuja hata kama yule unayempenda awe rais atatumia takwimu hizi kuleta huduma. Ni muhimu sana sema watu mnajichanganya tu na mambo mengi.
new member hujielewi wewe, huduma ipi, kuongeza tozo au ?kuleta huduma
Ndo ninachokiona hapa, watu hawawezi kutumia hata akili ya kujiongeza....Ndiyo tatizo la ku-copy na ku-paste kutoka madodoso ya watu wa nchi zilizoendelea.