Pre GE2025 Kwa matukio haya ya watu kupotea na kusemekana kutekwa! Magufuli alionewa? Polisi wanaonewa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hilo halina ubishi. Hebu kama una akili nipe maelezo unawezaje kumteka Mohamed Dewji pale Coloseum? Ila kama hujui Coloseum ilipo kaa kimya!! Nyambaaaaaf
Huyo Mo alipotekwa na hawa wanaotekwa saizi ni binadamu tofauti sio?
Ujinga na upumbavu wako kudhani kuwa binadamu mwingine ni muhimu kuliko mwingine!
Punguza ujinga!
 
Kwa hiyo maisha ya Mo ni bora saba kuliko hao wanaotekwa saizi?
Huyo Mfanayabiashara unamwita hohehahe?
Alliotekwa kipindi cha JPM mhusika ni yeye wanaoteka saizi mhusika sio Samia! Kichwa cha mwenda wazimu!
Wewe Sukuma gang usidhani sisi wote ni misukule kama wewe. Ni nani asiyejuwa kuwa Magufuli alikuwa anataka Mohamed Dewji arudishe title ya ardhi ya Lindi iliyo karibu na LNG plant?

Au hujui kuwa alimteka Ben Saanane ikisemekana kuwa alikuwa anahoji uhalali wa PhD yake
 
Huyo Mo alipotekwa na hawa wanaotekwa saizi ni binadamu tofauti sio?
Ujinga na upumbavu wako kudhani kuwa binadamu mwingine ni muhimu kuliko mwingine!
Punguza ujinga!
Hawa wanatekwa na wabaya wao. MoDewji anayehisiwa kwa asilimia kubwa ni Magufuli period,
 
Huyo Mo alipotekwa na hawa wanaotekwa saizi ni binadamu tofauti sio?
Ujinga na upumbavu wako kudhani kuwa binadamu mwingine ni muhimu kuliko mwingine!
Punguza ujinga!

Kuna walioshambuliwa kwa risasi kama Tundu Lissu

Kuna walioshambiliwa nao wakajibu mashambulizi kama Peter Zakaria wa Tarime.

Wewe unabisha kwa vile uko hai na mama yako au baba yako hawakuuliwa. Laiti yangekukuta usingeuliza swali la kijinga kama hili.
 
Kwa hiyo maisha ya Mo ni bora saba kuliko hao wanaotekwa saizi?
Huyo Mfanayabiashara unamwita hohehahe?
Alliotekwa kipindi cha JPM mhusika ni yeye wanaoteka saizi mhusika sio Samia! Kichwa cha mwenda wazimu!
Na madhambi yake tu. Ulisikia wapi Rais aliye madarakani anakufa kwa ugonjwa? Ulinzi wote ule na madaktari wote wale? Magufuli amekufa kwa sala za wananchi wote aliowadhulumu. Mungu akizisikia na akatenda, mafua ya corona tu akasepeshwa
 
Na madhambi yake tu. Ulisikia wapi Rais aliye madarakani anakufa kwa ugonjwa? Ulinzi wote ule na madaktari wote wale? Magufuli amekufa kwa sala za wananchi wote aliowadhulumu. Mungu akizisikia na akatenda, mafua ya corona tu akasepeshwa
Unaona sasa usivyo na akili! Kufa madarakani wa kwanza Magufuli dunia nzima?
Hona hoja toast majibu utekaji unaoenndelea acha kulialia JPM!
Kikwete Dr Ulimboka alitekwa napo Rais alikuwa JPM?
 
Yeye ndio aliitumia sana mbinu hii ili kutisha watu wasiomkubali, kwa sasa huu ndio umekuwa utaratibu rasmi wa kujengea watu hofu hasa wakosoaji wa serekali.
 
Umeeleza vizuri sana na huu ndiyo ukweli wenyewe.
 
Muhusika mkuu wa haya matukio imebaki kitendawili japo watu wa usalama walipaswa kutegua hiki kitendawili
Wahusika wakuu wanajulikana mbona...

Katika nchi ambayo hadi kiongozi wa mbio za mwenge anatoa order na zinatekelezwa tegemea makubwa zaidi kutoka kwa vikundi vya machawa kama uvccm, jumuiya za ccm, wa-nec na hata mawaziri.

Yaani imefikia stage wamepeana maagizo huko ndani kwa ndani ya kuwashughulikia watu wenye mitazamo tofauti.

Rejea sakata la Waziri Mwaikenda na Malisa Godlisten - pale ni wazi polisi walipewa maelekezo.
Rejea sakata la Sativa, Roma, MO, Ben Saanane n.k yaani yote yanafana! Fuatilia kauli za wajumbe wa uvccm na jumuiya nyingine za ccm...
Haraka haraka tafsiri ni kwamba kuna elites wameunda vikosi kazi (magenge ya uchawa) kusaka taarifa, kuteka, kudhuru na ikiwezekana kudhulumu haki ya kuishi!
Kwenye nchi isiyokuwa na ajira ni rahisi sana vijana kujiunga magenge ya uchawa ili wapate fedha kutoka kwa elites wanaopambana kulinda maslahi binafsi!

Magenge ya uchawa yapo tayari kutumika kuvujisha taarifa, kudhuru na ikiwezekana kudhulumu haki ya kuishi!
Kimsingi magenge hayo ni pamoja na polisi na yanashirikiana kwa ukaribu na polisi.
 
Nafikiri Bams hakumaanisha kuwa Samia ndiye moja kwa moja anatoa amri hao watu watekwe bali ni kuwa katika baadhi ya matukio Polisi wamehusika moja kwa moja ikimaanisha ni mfumo ambao upo tayari unafanya kazi.
 
Kwa hiyo maisha ya Mo ni bora saba kuliko hao wanaotekwa saizi?
Huyo Mfanayabiashara unamwita hohehahe?
Alliotekwa kipindi cha JPM mhusika ni yeye wanaoteka saizi mhusika sio Samia! Kichwa cha mwenda wazimu!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Uligundua lini hili jambo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…