Pre GE2025 Kwa matukio haya ya watu kupotea na kusemekana kutekwa! Magufuli alionewa? Polisi wanaonewa?

Pre GE2025 Kwa matukio haya ya watu kupotea na kusemekana kutekwa! Magufuli alionewa? Polisi wanaonewa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hilo halina ubishi. Hebu kama una akili nipe maelezo unawezaje kumteka Mohamed Dewji pale Coloseum? Ila kama hujui Coloseum ilipo kaa kimya!! Nyambaaaaaf
Huyo Mo alipotekwa na hawa wanaotekwa saizi ni binadamu tofauti sio?
Ujinga na upumbavu wako kudhani kuwa binadamu mwingine ni muhimu kuliko mwingine!
Punguza ujinga!
 
Kwa hiyo maisha ya Mo ni bora saba kuliko hao wanaotekwa saizi?
Huyo Mfanayabiashara unamwita hohehahe?
Alliotekwa kipindi cha JPM mhusika ni yeye wanaoteka saizi mhusika sio Samia! Kichwa cha mwenda wazimu!
Wewe Sukuma gang usidhani sisi wote ni misukule kama wewe. Ni nani asiyejuwa kuwa Magufuli alikuwa anataka Mohamed Dewji arudishe title ya ardhi ya Lindi iliyo karibu na LNG plant?

Au hujui kuwa alimteka Ben Saanane ikisemekana kuwa alikuwa anahoji uhalali wa PhD yake
 
Huyo Mo alipotekwa na hawa wanaotekwa saizi ni binadamu tofauti sio?
Ujinga na upumbavu wako kudhani kuwa binadamu mwingine ni muhimu kuliko mwingine!
Punguza ujinga!
Hawa wanatekwa na wabaya wao. MoDewji anayehisiwa kwa asilimia kubwa ni Magufuli period,
 
Huyo Mo alipotekwa na hawa wanaotekwa saizi ni binadamu tofauti sio?
Ujinga na upumbavu wako kudhani kuwa binadamu mwingine ni muhimu kuliko mwingine!
Punguza ujinga!

Kuna walioshambuliwa kwa risasi kama Tundu Lissu

Kuna walioshambiliwa nao wakajibu mashambulizi kama Peter Zakaria wa Tarime.

Wewe unabisha kwa vile uko hai na mama yako au baba yako hawakuuliwa. Laiti yangekukuta usingeuliza swali la kijinga kama hili.
 
Kwa hiyo maisha ya Mo ni bora saba kuliko hao wanaotekwa saizi?
Huyo Mfanayabiashara unamwita hohehahe?
Alliotekwa kipindi cha JPM mhusika ni yeye wanaoteka saizi mhusika sio Samia! Kichwa cha mwenda wazimu!
Na madhambi yake tu. Ulisikia wapi Rais aliye madarakani anakufa kwa ugonjwa? Ulinzi wote ule na madaktari wote wale? Magufuli amekufa kwa sala za wananchi wote aliowadhulumu. Mungu akizisikia na akatenda, mafua ya corona tu akasepeshwa
 
Na madhambi yake tu. Ulisikia wapi Rais aliye madarakani anakufa kwa ugonjwa? Ulinzi wote ule na madaktari wote wale? Magufuli amekufa kwa sala za wananchi wote aliowadhulumu. Mungu akizisikia na akatenda, mafua ya corona tu akasepeshwa
Unaona sasa usivyo na akili! Kufa madarakani wa kwanza Magufuli dunia nzima?
Hona hoja toast majibu utekaji unaoenndelea acha kulialia JPM!
Kikwete Dr Ulimboka alitekwa napo Rais alikuwa JPM?
 
Bila shaka kila mmoja wetu anajua kinacho endelea kuhusu matukio ya watu kupotea na kusemekana kutekwa na watu wasiojulikana yanayoendelea sasa hivi sasa na wengine wakilituhumu jeshi la polisi na wengine wakisema ni wahalifu wanafanya hivyo kuichafua serikali!

Baada ya Kifo cha Magufuli wengi walisema kuwa watu hawatopotea wala kusemekana kutekwa kwa kuwa watu wako huru sana na wengi walikuwa wakisema Magufuli ndio alikuwa ana agiza watu hao kutekwa na kupotezwa!

Lakini sasa matukio haya yanaonekana kuonekana tena kwa kasi ya ajabu sasa ni wazi kuna uwezekano mkubwa Magufuli alisingiziwa au Polisi wanasingiziwa!
Cha kujiuliza nani ana husika kwenye haya?

View attachment 3046529View attachment 3046531View attachment 3046529

Pia soma:Vijana Kariakoo wanapotea sana, Serikali iingilie kati
Yeye ndio aliitumia sana mbinu hii ili kutisha watu wasiomkubali, kwa sasa huu ndio umekuwa utaratibu rasmi wa kujengea watu hofu hasa wakosoaji wa serekali.
 
Wa kutegua ndio wahusika wenyewe.

Mfumo wa utekaji ulitengenezwa, na haujafutwa. Kadiri dalili za kutokubalika zinavyozidi, imebidi watawala kuzidi kuutegemea mfumo huu.

Mfumo huu wa utekaji haukutengenezwa na JPM, labda yeye aliukomaza tu. Kikwete aliutumia, JPM aliutumia sana na kuupa nguvu zaidi, na mama naye inaonekana kadiri siku zinavyoenda anazidi kuupa nguvu, ndiyo maana hata wake vinara wa uharamia wa utekaji amewarudisha kwenye Serikali yake.

Uharamia huo hakuuanzisha JPM, yeye aliukuta, akauimarisha na kuupa nguvu zaidi. Akina Ulimboka, Mawazo, n.k. walitendwa na Kikwete, siyo JPM.

Akina Lisu, Mo, Roma, Mdude, Azory, Ben, Kanguye na wengine wengi, ni wakati wa JPM. Wakati wa JPM, waliouawa walifungwa kwenye viroba na kutupwa baharini.

Akina Sativa na hawa wengine wa sasa, ni wakati wa Samia, na orodha inaendelea. Sijui atafikia wapi!! Wakati wa Samia, wanaouawa inaonrkana miili yao wanapelekewa fisi, ref. case ya Sativa.
Umeeleza vizuri sana na huu ndiyo ukweli wenyewe.
 
Muhusika mkuu wa haya matukio imebaki kitendawili japo watu wa usalama walipaswa kutegua hiki kitendawili
Wahusika wakuu wanajulikana mbona...

Katika nchi ambayo hadi kiongozi wa mbio za mwenge anatoa order na zinatekelezwa tegemea makubwa zaidi kutoka kwa vikundi vya machawa kama uvccm, jumuiya za ccm, wa-nec na hata mawaziri.

Yaani imefikia stage wamepeana maagizo huko ndani kwa ndani ya kuwashughulikia watu wenye mitazamo tofauti.

Rejea sakata la Waziri Mwaikenda na Malisa Godlisten - pale ni wazi polisi walipewa maelekezo.
Rejea sakata la Sativa, Roma, MO, Ben Saanane n.k yaani yote yanafana! Fuatilia kauli za wajumbe wa uvccm na jumuiya nyingine za ccm...
Haraka haraka tafsiri ni kwamba kuna elites wameunda vikosi kazi (magenge ya uchawa) kusaka taarifa, kuteka, kudhuru na ikiwezekana kudhulumu haki ya kuishi!
Kwenye nchi isiyokuwa na ajira ni rahisi sana vijana kujiunga magenge ya uchawa ili wapate fedha kutoka kwa elites wanaopambana kulinda maslahi binafsi!

Magenge ya uchawa yapo tayari kutumika kuvujisha taarifa, kudhuru na ikiwezekana kudhulumu haki ya kuishi!
Kimsingi magenge hayo ni pamoja na polisi na yanashirikiana kwa ukaribu na polisi.
 
Are you serious Samia anahusika na utekaji wa akina Sativa na wengineo waliopotea? Why should Samia do so kwa watu ambao hakuna hata mmoja wao anayemkosoa au kumtukana?

Mbona akina Mdude_Nyagali , Lissu, Maria Sarungi, Hilda Newton, Twaha Mwipaya, Martin Maranja Masese, Boniface Jacob, Mwabukusi na wengine, wana lugha kali sana na matusi lakini hawajatekwa? Kama Samia angekuwa mtekaji ange deal na hawa.

Hata kama humpendi usimhusishe na huu uchafu. Wananchi wanatekana wenyewe kwa wenyewe kwa sababu zao.
Nafikiri Bams hakumaanisha kuwa Samia ndiye moja kwa moja anatoa amri hao watu watekwe bali ni kuwa katika baadhi ya matukio Polisi wamehusika moja kwa moja ikimaanisha ni mfumo ambao upo tayari unafanya kazi.
 
Kwa hiyo maisha ya Mo ni bora saba kuliko hao wanaotekwa saizi?
Huyo Mfanayabiashara unamwita hohehahe?
Alliotekwa kipindi cha JPM mhusika ni yeye wanaoteka saizi mhusika sio Samia! Kichwa cha mwenda wazimu!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Kumbe utekaji hauna cha raisi yupi, wote wanateka tu, hata kutoka upande wa pili huko wanateka tu?

Ninaamini wala sio raisi anayeamuru hayo mambo, kuna kundi la wanywa damu za watu, hawa ndio wataalam waliobeba damu nyingi za watanzania waliopotea kwa utatanishi. Vingi wala mkuu wa nchi hahusiki.
Uligundua lini hili jambo?
 
Back
Top Bottom