Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Biashara sio ngumu sema kutokua na taarifa sahihi nini ufanye ndio mtihani wa kwanza pili usimamizi tatu pesa ya riba ndio maana wanaopata pesa ambazo sio za riba kufanikiwa kwa muda mrefu ni rahisi kidogo na utegemezi huku una marejesho vyote hivyo vinachangia kudumaza maendeleo...Biashara ni rahisi kwenye karatasi na sio field haupo mwenyewe.
Ukiloose kwenye businesses ndo utajua ujui.
Bora upoteze pesa kwenye ngono haumi kuliko kupoteza kwenye project utaumia maisha Yako yote.
Bora ukope utie kwenye ardhi Haina hasara unacheza na time TU mkopo ukiisha na ardhi imepanda thamani unapata faida mara mbili.
Ndugu yangu, mshahara wenyewe hautoshi, na wewe una kili kabisa. Sasa ukikopa utabaki na nini? Na hizo hela za mkopo utafanyia nini?Nawishi kuchukua loan kozi life limekua likinichapa sana, wataalamu nipeni uzoefu sana.
Je, nitaweza kopesheka shingapi kwa benki ya CRDB kwa hio salary?
Ndio maana siamini kama kuna mtanzania anaeweza kukaa kusubiria mwisho wa mwezi ndio apate pesa za kujikimu....Kuna watu wanarudi na pesa kila siku, siku za mapumziko kama hizi wanachukio mishindo inawapita.
Angalia property zao utapata majibu kama ni kweli wanasubili pesa kila mwezi?
Mbona wameshauri sana tu akina Upepo Wa Pesa, Mzee Wa Kupambania na Bongo Dili kwa kumpatia Mleta mada faida na hasara, soma katikati ya jumbe zao utaelewa.wanasema mkopo ni chanzo. cha umasikini nilitegemea wamshauri mjuba alternative ili ajiendeleze vizur kifedha
Waterbender are you there?To be successful one has to fail several times... Unapoanguka kwenye biashara, kuna somo unalipata, ambalo litakufanya usirudie kosa. Ndiyo maana kama huna uzoefu na biashara don't start big, anza mdogo mdogo ili upate uzoefu. Huwezi anza biashara ya bodaboda kwa kuchukua mkopo na kununua bodaboda 4 kwa mpigo, ilhali huna hata uzoefu wa kusimamia bodaboda moja. Ukweli mwingine ni kwamba siyo kila mtu ana uwezo wa kufanya biashara. So kama ukiona biashara huwezi waweza kopa na kujenga hata fremu chache ukakodisha au kununua shamba ukawa unalima au kukodisha.
Basic salary ni apart from take homeNilikuwa na kadem kangu, Judith, tumeachana mwaka jana,
Kalikuwa ni katicha, same basic salary 700+K
Kuna nyumba kweli YA milion 13??? Au ni Banda..sidhani kama Kuna nyumba YA Bei hiyo tuwe seriousMimi nina mshahara kama huyo jamaa ninaishi,niko kwangu,nina nyumba mbili, Sijawahi kulala njaa, mwaka huu january napeleka mtoto wangu English medium school,karo 2M,mwaka jana ndani ya miezi miwili nimekamilisha nyumba ya 13M.
Take home yangu ni 270K
Acha kuogopesha watu, jamaa kama anajiweza akope
Hapo ndipo nilipotoka speed 120 kuambiwa mkopo wa M 28 nikatwe 550, 000/= kwa miaka 7 = 46, 200, 000/= ilihali nilipaswa kupewa 26, 800, 000/= kwa upuuzi huo huo wa processing fee na bima.Ukitaka kutembea na 1 out of three CRDB utakopa 22m watakata bima, processing fee. Kodi utabaki na 19.5m halafu ukae kwa kutulia ulambwe 389000 Kilamwezi kwa miaka 8 JUMLA ULIPE 37m
Akiweka unishtue niko back bencher hukuTusiandikie mate, weka mchanganuo hapa wa 270k.
Mmmh....[emoji848] Au basi...[emoji2960]Biashara sio ngumu sema kutokua na taarifa sahihi nini ufanye ndio mtihani wa kwanza pili usimamizi tatu pesa ya riba ndio maana wanaopata pesa ambazo sio za riba kufanikiwa kwa muda mrefu ni rahisi kidogo na utegemezi huku una marejesho vyote hivyo vinachangia kudumaza maendeleo...
Whatever,hujui kuwa chakula ulacho wewe ni kinyesi cha mbwa wa Barack Obama,je wewe unakiita kinyesi au chakula!? ,Man up!Kuna nyumba kweli YA milion 13??? Au ni Banda..sidhani kama Kuna nyumba YA Bei hiyo tuwe serious
Usimdanganye mwenzio. Sababu yake kuu ya kukopa ni NJAA, kasema mwenyewe.Mimi nina mshahara kama huyo jamaa ninaishi,niko kwangu,nina nyumba mbili, Sijawahi kulala njaa, mwaka huu january napeleka mtoto wangu English medium school,karo 2M,mwaka jana ndani ya miezi miwili nimekamilisha nyumba ya 13M.
Take home yangu ni 270K
Acha kuogopesha watu, jamaa kama anajiweza akope
Oh, kwa makato ya laki ngapi?!!
chukua tu boss, mimi sikukopa miaka mitano nilikuwa nakataaa kama wewe kuna mwamba akakopa akajenga(kiwanja alikuwa nacho) mimi ambae nilikuwa sitaki kulambwa miaka mitano ikaisha bado nimepanga hapo nimenunua kiwanja tu, mwamba kamaliza mkopo mwezi huohuo akanyonya akachukua ndinga kali hapo ndo akili ikanisogea nikaenda kunyonya nikajenga saivi nakaa kwenye nyumba kali ila sina hela natembelea moja ya tatu.Hapo ndipo nilipotoka speed 120 kuambiwa mkopo wa M 28 nikatwe 550, 000/= kwa miaka 7 = 46, 200, 000/= ilihali nilipaswa kupewa 26, 800, 000/= kwa upuuzi huo huo wa processing fee na bima.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Wewe ni Afisa mtendaji katamimi sio ticha mkuu, ni ofsa
Tunaomba utupe uzoefu wako wa kukopa bibieMikopo ni kifungo
U lecturing me on that mkuu? Kwamba sijuii basic ni nini, baada ya makato yote kinachbaki ndo take home?Basic salary ni apart from take home
Tunaomba utupe uzoefu wako wa kukopa bibie
hapana kaka ni mwezi kwa mweziHuna mazingira mengine ya rushwa,tip ,safari au Asante.
Kopa kama yapo