Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

daa uko vzr
 
Ubarikiwe san mkuu, ushauri wako nimeupokea na nitaufanyia kazi.
 
Kama upo maeneo yamjini hiyo Elfu hamsini yako atakusaidia vizuri sana kupata hela yamahitaj muhimu au hata kukuza mtaji wako fanya hivi ingia sokoni wanapofungua nguo zamitumba hasa zawatoto langua nabei yao mara nyingi nielfu mbili nanguo inakuwa inalizisha kutokana nahiyo bei kisha nawewe unaanza kuzitembeza humohumo sokoni kwabei zajuu zaidi kuanzia Elfu tatu nahata kuingia majumbani ilimradi uwe namoyo tu
 
hakika hii forum ingekuwa na watu kama wewe hata 100 tu ingekuwa murua sana.
ZINGATIA HAYA KIJANA.
 
Jaman eh? Mlioweka namb zenu ni nani anayeadd watu ilo group? Km vp mnichek mm DM
 
Vipo ving ata taa za solar,VIATU vya wanawake, SAA za wanaume kwa mfano zinaweza kua na profit adi 50,000tshs
Vipi ushuru wake, najua solar products ni exempted lakini kwa viatu na saa sijui ni % ngapi ushuru wake.
 
Wakuu habar zaenu' poleni na majukumu ya kila Siku
Baada ya kukaa kwa muda mref nikitafakar ni Biashara ipi kwa hapa mjini Dar itanipatia kipato kizur kwa kuanza na mtaji Wa lak2 hv kugonga mwamba nimeamua kuleta Uzi huu kwenu mnisaidie katika kufanikisha jambo hili'' je kwa mtaji Wa laki 2 ninaweza kufanya Biashara IP kwa hapa dar
 
Haya magroup nayo somtimes wala siyo....yan huu uzi umehujumiwa na whatssap bila sababu yoyote yan....wakuu mliounda group la whatsap huko hebu rudini huku bana tujadilie huku,Mkuu mtengeneza uzi Mungu akupe kila lililo zuri na akuepushe na balaa zote za dunia ila mzee naona last seen january 2017..upo salama mkuu?
 
Wakuu mada kama hz n nzur sana, kuna watu wanaingia kusoma na kupata ideas hvyo n vema yakatolewa majibu yenye kujenga na kusaidia. Sisi wote n watanzanzania inabd tusaidiane vile tuwezavyo. Naona kama kuna watu wengine hawako serious vile. Ninaamn humu wako weng wenye mawazo mazur sana ya kujenga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…