Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

<br />
<br />
mkuu hyo biashara ya mikonon ndo me naitaka,nimeisha anza na vocha,naona haiko vibaya sana,so nataka kuzifanya za aina mbalimbali nctegemee ya aina moja tu.
Nataka kujua iyo biashara ya vocha inakuaje maan Kuna mahali nimeiskia tena
 
Jamani wana jf wazima? Vipi shughuli za kujenga taifa,
Samahani naomba kufahamu kwa wenzangu wenye upeo wa kibiashara, kwa jinsi uchumi ulipo sasa ni biashara gan? Naweza fanya kwa shilingi laki tatu (300000),
 
Jamani wana jf wazima? Vipi shughuli za kujenga taifa,
Samahani naomba kufahamu kwa wenzangu wenye upeo wa kibiashara, kwa jinsi uchumi ulipo sasa ni biashara gan? Naweza fanya kwa shilingi laki tatu (300000),
Nikiona una laki natamani kweli kama ningeipata mimi maana nina bonge moja la idea la kuzalisha hata 1M ndani ya mwezi kwa kukuza mtaji
 
mhhhhh mo
Nikiona una laki natamani kweli kama ningeipata mimi maana nina bonge moja la idea la kuzalisha hata 1M ndani ya mwezi kwa kukuza mtaji
mhhhh moze kuwa mkweli...
 
mhhhhh mo

mhhhh moze kuwa mkweli...
Ni kweli Mkuu, yaani hapo ndo utaona penye miti hapana wajenzi. Ningeipata hata nusu yake tu i could turn into a million within a month
 
Ni kweli Mkuu, yaani hapo ndo utaona penye miti hapana wajenzi. Ningeipata hata nusu yake tu i could turn into a million within a month
wengi wana maburungutu ya fedha first idea generation....
 
Ni kweli Mkuu, yaani hapo ndo utaona penye miti hapana wajenzi. Ningeipata hata nusu yake tu i could turn into a million within a month
Si Ndio umuambie mwenzako Hapo. Ana yeye atengeneze hiyo milioni
 
Nikiona una laki natamani kweli kama ningeipata mimi maana nina bonge moja la idea la kuzalisha hata 1M ndani ya mwezi kwa kukuza mtaji
Nipe hyo idea yako ambayo Unaweza kukuza 1m, km ipo wazi naweza kukuazima kiasi
 
Nipe hyo idea yako ambayo Unaweza kukuza 1m, km ipo wazi naweza kukuazima kiasi
Hata kama nikikupa itakuwa ngumu kwako kwasababu inategemea sana na mtandao wako wa watu wanaokuzunguka na wewe mwenyewe namna utakavyoifanya pamoja na mazingira yako. Kwahiyo kuapply kwangu haimaanishi inaweza kuapply kwa kila mtu labda kama baada ya kukupa nikupigishe na darasa kwanza
 
Acha uongo na utapeli kijana...idea gani hiyo ambayo unashindwa kuiweka hapa...unajuaje watu wanaomzunguka yeye sio kama hao wanaokuzunguka....wewe ni mungu????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…