Kiukweli forex atapotea kama anakamtaji hako ka mbuziyani niliona kuna watu wanasema hawakuweza kutred vizuri wakati wanaanza na wengine wakaliwa hadi mishahara yao ya mwezi sasa jamani tupeni muongozo kwa sisi tunaopenda kufanya hii biashara na kama huyu mwenye laki 3 akipoteza sijui ataipata wapi kirahisi kwa hali hii
m-pesa,airtel-money,togo-pesa nkWadau naomba mwenye kunipa idea
leo katika tembe tembea zangu mtaani, nimegundua kuna sehem kuna bar na groceries nyingi sana zimerundikana sehemu noja na kila moja nimeona ina wateja wengi!
sasa swali langu ni je, kuwa na groceries na bar nyingi sehemu moja ni indicator ya fursa gani za kibiashara maeneo hayo tofauti na bar, grocery na chips?
kacheze bikoJamani napenda sana bishara ila nina mtaji wa Tsh. 100000/=
Sasa nashindwa nifanye biashara gani
Tafadhari wa bishara za mtandao usije kunishauri niiingie siju mara trevo sijui oilfrem sijui forever 4cooner nk sitakikkiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kabisa
Naitaji biashara ya kawaida tu sio mamitandao
wakati unafikiria la kufanya na kusubiri ushauri hapa jf naomba unikopeshe ntakurudishia ndani ya miezi2 na ribaNina mtaji wa mil. 1 nianzishe biashara gani!
Anzisha kijiwe cha chips kama upo mjini ni maeneo yanayofaa huo mtaji ni mkubwa na kubakiWale wanaojua ya nzega mjini au igunga mjini naomba ushauri nina sh. 500,000 naweza fanya biashara gani maeneo hayo ikanilipa vizuri
Kama uko mjini sas hivi ni msimu wa vifaa vya shule unakaribia tafut eneo weka meza kweny maeneo ya machinga nunua counterbook, pen, pencil, sets, socks za shule, swaeter na shati za shule na begi ndogo za size ya watoto wa chekechea. Kwa huku mwanza maduka ya jumla ni mengi utapata kwa bei ndogo.Wale wanaojua ya nzega mjini au igunga mjini naomba ushauri nina sh. 500,000 naweza fanya biashara gani maeneo hayo ikanilipa vizuri
networking marketing ukielezewa jinsi utakavyopata mamilioni unakua impressed sana.rudi kwenye uhalisiaa ndio utajua kwanini Kenge hana Manyoya,nili fail completely sitarudia tenaNilianza network since 2015 till now nothing despite of working hard on them
af nakereka na mods kuunganisha thread kwenye mambo yakale mue mnaacha inakaa wiki ndo mnaunganish inatuchanganya wachangiajiKiukweli forex atapotea kama anakamtaji hako ka mbuzi