Dannis
JF-Expert Member
- Jan 21, 2016
- 1,603
- 1,702
Kwa mazingira kama DSm, Iringa, Mbeya na DodomaInategemeana na mazingira uliyopo Mkuu,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mazingira kama DSm, Iringa, Mbeya na DodomaInategemeana na mazingira uliyopo Mkuu,
Duu kweli tunatofautiana mimi nina laki tatu kama wewe na nime calculate kwenye idea zangu kwa kipindi cha miezi mitatu inasema itanipa mpaka millioni Tatu wewe unawaza utapata vipi laki Tatu arafu miezi sita duu inamaana mimi iyo miezi sita napigia millioni 6 mpaka 8.Ukipewa laki 3 taslim uifanyie biashara yoyote then baada ya miezi sita urudishe, utaifanyia biashara gani?
Kwa shughuri gani Mkuu importation of product toka nje auDuu kweli tunatofautiana mimi nina laki tatu kama wewe na nime calculate kwenye idea zangu kwa kipindi cha miezi mitatu inasema itanipa mpaka millioni Tatu wewe unawaza utapata vipi laki Tatu arafu miezi sita duu inamaana mimi iyo miezi sita napigia millioni 6 mpaka 8.
Tumia asilimia zote za ubongo mkuu kaa geto kutwa mzima suka idea
Kwa biashara gani/mishe gani mkuu? tushirikishane kiongoziDuu kweli tunatofautiana mimi nina laki tatu kama wewe na nime calculate kwenye idea zangu kwa kipindi cha miezi mitatu inasema itanipa mpaka millioni Tatu wewe unawaza utapata vipi laki Tatu arafu miezi sita duu inamaana mimi iyo miezi sita napigia millioni 6 mpaka 8.
Tumia asilimia zote za ubongo mkuu kaa geto kutwa mzima suka idea
Itakuwa ni kapusha haka kajamaa sio bure[emoji23]Kwa biashara gani/mishe gani mkuu? tushirikishane kiongozi
Aisee!!Naweka mikeka kama 6 ya elfu 50
Ni shughuli gani iyoDuu kweli tunatofautiana mimi nina laki tatu kama wewe na nime calculate kwenye idea zangu kwa kipindi cha miezi mitatu inasema itanipa mpaka millioni Tatu wewe unawaza utapata vipi laki Tatu arafu miezi sita duu inamaana mimi iyo miezi sita napigia millioni 6 mpaka 8.
Tumia asilimia zote za ubongo mkuu kaa geto kutwa mzima suka idea
[emoji30] [emoji30] [emoji30]Itakuwa ni kapusha haka kajamaa sio bure[emoji23]
Yeah kwenye vyakula ukikaa chini na kutumia ubongo asilimia mia kuna pesaUza vyakula vya binadam
huna lolote.. kajambe huko ... ungekuwa na idea ungeisemaDuu kweli tunatofautiana mimi nina laki tatu kama wewe na nime calculate kwenye idea zangu kwa kipindi cha miezi mitatu inasema itanipa mpaka millioni Tatu wewe unawaza utapata vipi laki Tatu arafu miezi sita duu inamaana mimi iyo miezi sita napigia millioni 6 mpaka 8.
Tumia asilimia zote za ubongo mkuu kaa geto kutwa mzima suka idea
[emoji3] [emoji3] [emoji3]huna lolote.. kajambe huko ... ungekuwa na idea ungeisema
Ni rahisi tu unafanya kama vile alivyofanya Elon musk, sio 300,000/= yote anaiweka sehemu moja.Kwa biashara gani/mishe gani mkuu? tushirikishane kiongozi
Idea binafsi aiwekwi kiholela wewe mzembe ninihuna lolote.. kajambe huko ... ungekuwa na idea ungeisema
Izo siasa wewe hivyo Hakuna asiyekuwa navyo ishu pesa acha izo siasaHivi mnapozungumzia mtaji mna maana gani?Mimi kwa uelewa wangu huu finyu kuhusu neno mtaji ninaelewa kuwa ni fedha+nguvu ya mwili +kiasi cha pesa=mtaji.Lakini walio wengi ninaona wanagusia jambo moja tu fedha!Hivi nikiwa na hizo sh 100000-999000/= lakini niko ndani hoi bin taabani mtasema nina mtaji?
Unaajiri watuHivi mnapozungumzia mtaji mna maana gani?Mimi kwa uelewa wangu huu finyu kuhusu neno mtaji ninaelewa kuwa ni fedha+nguvu ya mwili +kiasi cha pesa=mtaji.Lakini walio wengi ninaona wanagusia jambo moja tu fedha!Hivi nikiwa na hizo sh 100000-999000/= lakini niko ndani hoi bin taabani mtasema nina mtaji?