Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

1.Nunua mashine y popcorn unakua unaziandaa nyingi then unawapa vijana kwa kuhesabiana wanaenda kuzungusha kwenye maeneo y watu hasa stand(hapa itategemea upo wapi) wanakua wanakuletea hela then mnalipana kulingan n makubaliano yenu
2.uza vitunguu kW namna ile ile unakua unafunga kwenye karatas kW mafungu ya 500 kW mfano then tafuta nyungo wape vijana wazungushe bidhaa ungo mmja waweza beba mafungu mengi sana( hii pia itategemea unaishi wap)
3. Nenda kiwandani ukachonge mashine y kusaga juice y miwa haizid laki sita (ukichonga kiwandani maan inakua locally) then ajiri kijana ..hakikisha biashara yako IPO maeneo y watu ,nunua mabonge y barafu yanasaidia kuipa ubarid maan mtaji bado mdogo
4. Nunua machine ya umeme ya kusaga karanga haizid laki 4 then weka MTU w kusaga karanga ( namaanisha zinasagwa zinakua laini kuwekwa kwenye mboga) hii ni kwa baadhi y maeneo hasa kanda ya ziwa
 
1.Nunua mashine y popcorn unakua unaziandaa nyingi then unawapa vijana kwa kuhesabiana wanaenda kuzungusha kwenye maeneo y watu hasa stand(hapa itategemea upo wapi) wanakua wanakuletea hela then mnalipana kulingan n makubaliano yenu
2.uza vitunguu kW namna ile ile unakua unafunga kwenye karatas kW mafungu ya 500 kW mfano then tafuta nyungo wape vijana wazungushe bidhaa ungo mmja waweza beba mafungu mengi sana( hii pia itategemea unaishi wap)
3. Nenda kiwandani ukachonge mashine y kusaga juice y miwa haizid laki sita (ukichonga kiwandani maan inakua locally) then ajiri kijana ..hakikisha biashara yako IPO maeneo y watu ,nunua mabonge y barafu yanasaidia kuipa ubarid maan mtaji bado mdogo
4. Nunua machine ya umeme ya kusaga karanga haizid laki 4 then weka MTU w kusaga karanga ( namaanisha zinasagwa zinakua laini kuwekwa kwenye mboga) hii ni kwa baadhi y maeneo hasa kanda ya ziwa
Naomba unambie kiwanda kinachochongesha mashine za kukamulia miwa..! Nahitaji sana mkuu..!
 
Naomba unambie kiwanda kinachochongesha mashine za kukamulia miwa..! Nahitaji sana mkuu..!
Fanya mawasiliano n wafanyakaz w sido ili usipigwe bei .kam utahitaj namba uje PM... Ila mie sio mhuni mkuu usje hisi utapeli[emoji3] ...nkikupa namba tumia mbinu zako z kiintelijensia ili usiibiwe
 
Fanya mawasiliano n wafanyakaz w sido ili usipigwe bei .kam utahitaj namba uje PM... Ila mie sio mhuni mkuu usje hisi utapeli[emoji3] ...nkikupa namba tumia mbinu zako z kiintelijensia ili usiibiwe
Poa mkuu
 
Mimi nina mtaji wa Laki name(800,000/=Tsh) naomba nipewe msaada nifanye biashara gani simple sana ambayo haitakuw inachukuwa muda wangu kuanzia asbh mpaka saa kumi jion hivi baada ya hapo ndio nakuwa free. Tafadhali npo serias sana kwny hili maisha ni magumu hya bila kutuliza akili unaweza kuolewa aisee. Msaada kwa hilo.!!
Wazo la biashara lazima litokane na wewe kwa kuangalia Passion yako.

Sasa hapa unataka upewe kile ambacho mwingine anapenda. Yaani kila mtu atakueleza kila anacho penda yeye na si vinginevyo.

Hii ni hatari na utateketeza pesa.

Hakuna kitu kibaya kufanya jambo ambalo huna mapenzi nalo ila tu Uliambiwa, Ulishauriwa,Uliona,
 
Je, ni-assume tu kwamba unaishi, let's say, Dar es salaam, tena umepanga chumba kimoja Uswahilini?!

Suala la wapi upo lina-matter sana kwa biashara nyingi!!

Mtu anaweza kukushauri uanzishe biashara ya kitimoto kumbe unaishi Chake, Pemba! Mwingine anaweza kukushauri ufuge kuku wa kienyeji kumbe unaishi chumba cha kupanga!

Anyway... mimi nita-assume upo Dar!

1. Kwavile huwezi kufanya kazi full time, basi tafuta kijana(m/f) aliye humble na asiye muoga kuingia maofisini!

2. Ji-connect na watu wa Visiwani hususani Mafia. Lakini unaweza ku-include Kilwa na Pangani au kokote kule ili ufanye Total Cost Analysis kwa kila eneo!

Kama humfahamu yeyote, tumia FB kutafuta ma-group ya watu wa huko!

3. Peleleza kujua bei ya samaki ipo vp huko!!

4. Ukiona bei ina maslahi; tafuta vitendea kazi hususani crate utakayotumia kusafirishia samaki to Dar!

5. Uwe unachukua samaki wa size maalumu tu... sio mara dagaa humo humo, mabaunsa humo humo!

6. Mzigo ukifika mjini, tembeza maofisini! Kama unapoishi sio Uswahilini sana, wakati dogo anaenda maofisini, anaweza kukuachia mzigo kidogo ambao utaweka tu meza safi nje na kuweka mzigo wako hapo lakini jitofautishe kwa kuzingatia usafi!

Mengine; jiongeze!
 
Idea nzr lkn kwa vijana wap hawa wanaotaka kukaa kwny viti waznguke na simu kubwaaaa, yan nmependa xna idea yko lkn tatzo lipo kwa hao watu wakuwaweka site ndio ishu.# Genuine idea
Maisha yamebadilika kama wanasubiri kupigwa kipupe watautwanga mbichi...[emoji124][emoji124][emoji124]
 
Maisha yamebadilika kama wanasubiri kupigwa kipupe watautwanga mbichi...[emoji124][emoji124][emoji124]
Kuhusu vijana wakukufanyia hiyo kazi huwezi kosa kama muhusika ni MTU wa kujichanganya na watu,.wapo vijana wataka kufanya kazi kama hiyo ili apate angalau kipato cha siku tuu..cha muhimu ni kujitoa na kuwa mwaminifu.
 
unapotaka kufanya chochote uvumilivu kama hutojali fuga kuku wa kienyeji anza na tetea 5.jogoo 1
 
nashukuru kwa ushauri wako ndugu yangu,by nw npo geita na ndio nataka kuizungusha hii pesa.
Kama upo geita si ukanunue mawe ya dhahabu kwenye machimbo wanauza mfuko 25,000 hadi 50,000 ukiuprocess huko mfuko itaongezeka kama elfu kumi tu then ukipata gram 1 ya dhahabu unaiuza 86,000 faida kiasi gani kwa siku ? Zaidi ya 25,000 ukitoa na pesa ya kula mchana. Amka huo mtaji mkubwa sana ukiwa geita.
25,000* 30 = ??? Ukijaza utaona kuwa umaskini unauendekeza.
 
Habari zenu wapendwa. Naitwa paresh napatikana dodoma naomben msaada wa mawazo kwa mtaji wa Tsh. laki tano niufanyie biashara gani ili niweze kujipatia faida itakayonisaidia kuingia japo amount ndogo ya kujikim na mahitaj ya nyumban
 
BIASHARA YA CHAKULA INALIPA SANA
Habari zenu wapendwa. Naitwa paresh napatikana dodoma naomben msaada wa mawazo kwa mtaji wa Tsh. laki tano niufanyie biashara gani ili niweze kujipatia faida itakayonisaidia kuingia japo amount ndogo ya kujikim na mahitaj ya nyumban
 
Habar zenu Wakuu...
Nilikuwa nahitaji business partner biashara ya Genge (Fruits & Vegetables).Itakuwa na home delivery pia
Makazi yawe Dar es Salaam na biashara itakuwa Dar pia preferably Tegeta,Boko, Kawe au Bunju.
Alie tayar kuanzisha kitu from scratch na kukiona kikikuwa akiwa part ya operations.
Please uwe determined na sio sababu upo desperate na ajira..
Alie serious please ni pm mengine tutazungumza..
 
Back
Top Bottom