mtaji mdogo sana na inabidi uwe mvumilivu sana kwenye swala zima la kupata faida nzuri, kama sio muuza sura nenda boma sokoni wanapouza mitumba wanaanza kufungua sa10 usiku wahi mashati ya kiume jinzi model then uanze kutembeza kwa madenti vyuoni ata kwa watu binafsi, pale uwa wanauza bei rahisi sana kuliko watu wanavyopigwa mtaani,waweza nunua labda shati kwa elfu tatu ukalipiga mpaka elfu kumi...try ilo
Kwanini majeneza tunakalia sofa zimejaa maboksi ukifunika tu na kitambaa kizuri unauzaNunua mbao za reject za bei ndogo kisha tengeneza majeneza ya bei ndogo utauza tu usawa huu
Hiyo biashara ya chakula ni nzuri sana, ila nakushauri umuombe Mungujf tuache matani, mimi ninalo eneo fresh katikati ya mji wa morogoro, naendesha biashara ya mgahawa lakini haiendelei, wanga wengi, chuma ulete sijui inakuaje, nikiuza pesa sioni na uuzaji wenyewe kwa siku naweza kupka mchele kg 1 na unga kg1 yaani inaumaa!! eneo nalilipia, kuliachia naona uchungu nataraji labda watoto wakimaliza masomo na uhaba huu wa ajira panaweza kuja kuwafaa, lakini nateseka sana. naomba ushauri wenu zaidi
Kwa kuangalia biashara mtu unayopenda mie naapenda biashara za kupimp magari, kama TTR AUTO UPGRADES toka niko mdogo, sasa ukiangalia ile ni biashara ya pesa ndefu unafikiri ntawezaje kwa mtaji wa chini ya milioni? Nafikiri ishu sio biashara unayopenda, ishu ni biashara ilio ndani ya budget yako na management skills, hata kama huipendi ila ikupe mtaji wa kuja kufanya business unayoipenda baadaeUpo wapi.. Una penda kufanya biashara gani toka moyoni mwako na isiwe ni stori umesikia biashara flani inalipa basi nawe ume ingia ila kiuhalisia hauipendi na mwisho wa siku wengi wao huwa wana shindwa na kufunga biashara.. Kitu cha kwanza jiulize wewe una penda fanya biashara gani na kwann hiyo na sio nyingine..je umefanya juhudi gani za kutosha za kuji funza kwa watu wanao ifanya hy bzness..ili ujue changamoto zake na faida zake..je hiyo biashara kwa eneo ulilopo baada ya mda flani ina weza leta faida na kuanza kuji endesha yenyewe... Mm naweza kukushauri uza mahindi ya kuchoma ina lipa..kumbe eneo ulilopo n kijijini kila mtu ana shamba lake au nika kwambia uza bible hapo ulipo kumbe jirani ulipo wewe kuna msikiti au uza quran kumbe jirani yako kuna kanisa hapo lazima biashara iwe mbaya... So wewe sema nipo sehemu flani mazingira niliyopo kuna hichi na hichi so kupitia hayo mazingira wewe binafsi unaonelea ukifanya biashara hii itakuwa sawa..je wadau mna nishauri nn so watu wana anzia hapo.. Yangu n hayo kama nime kukwanza samahani
Atakuwa ananyonga stura kisha anazipush kitaaItakuwa ni kapusha haka kajamaa sio bure[emoji23]
Ananyonga ndumu huyu sio bureKwa biashara gani/mishe gani mkuu? tushirikishane kiongozi
Hizi ndio huwa naita investment za kipumbavu, huna tofauti na anayekopa million 90 ili ajenge nyumba itakayompa laki 3 kwa mweziNjoo kwenye betting unatafuta odd 1.10 per day...
500,000 X 1.10 = 550,000
Kila Siku unatengeneza profit ya 50k, ndani ya mwezi una profit ya 1.5m
Sent using Jamii Forums mobile app
SawaNgoja waje wadau wenye uzoefu heas gelo
Maduka ya aina hiyo ni mengiuza memory card na flash
Hii hapanaNunua Rim uuze moja moja, Rim moja inakaa karatasi Nadhani ni buku, Ukiuza kila karatasi moja kwa 100 Aaghh uongo, Hakikisha kila mtu anajua kuwa unauza Rim moja moja. Utanikumbuka
Uza boxers na vestsHabari zenu wadau
Naombeni ushauri
Kwa mtaji wa laki mbili naweza fanya biashara gani maeneo ya chuo na ikanilipaa???
Nimewaza nyingi ila nipeni uzoefu
#Ni maeneo ya Moja ya chuo kilichopo Dodoma
Kwanini?Hii hapana
Fungua genge la matunda linalipaHabari zenu wadau
Naombeni ushauri
Kwa mtaji wa laki mbili naweza fanya biashara gani maeneo ya chuo na ikanilipaa???
Nimewaza nyingi ila nipeni uzoefu
#Ni maeneo ya Moja ya chuo kilichopo Dodoma
Biashara ya chips hyo sehemi ya kuuzi unalipa kiasi gani?kabati la kuuzia unalo ,viazi unajua ndoo bei gani naona km laki 2 itakuwa ndogoBiashara ya chips mnaionaje