Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?


That good
 
Hiyo biashara ya chakula ni nzuri sana, ila nakushauri umuombe Mungu
 
Kwa kuangalia biashara mtu unayopenda mie naapenda biashara za kupimp magari, kama TTR AUTO UPGRADES toka niko mdogo, sasa ukiangalia ile ni biashara ya pesa ndefu unafikiri ntawezaje kwa mtaji wa chini ya milioni? Nafikiri ishu sio biashara unayopenda, ishu ni biashara ilio ndani ya budget yako na management skills, hata kama huipendi ila ikupe mtaji wa kuja kufanya business unayoipenda baadae
 
Habari zenu wadau

Naombeni ushauri

Kwa mtaji wa laki mbili naweza fanya biashara gani maeneo ya chuo na ikanilipaa???

Nimewaza nyingi ila nipeni uzoefu

#Ni maeneo ya Moja ya chuo kilichopo Dodoma
 
Nunua Rim uuze moja moja, Rim moja inakaa karatasi Nadhani ni buku, Ukiuza kila karatasi moja kwa 100 Aaghh uongo, Hakikisha kila mtu anajua kuwa unauza Rim moja moja. Utanikumbuka
 
Nunua Rim uuze moja moja, Rim moja inakaa karatasi Nadhani ni buku, Ukiuza kila karatasi moja kwa 100 Aaghh uongo, Hakikisha kila mtu anajua kuwa unauza Rim moja moja. Utanikumbuka
Hii hapana
 
Habari zenu wadau

Naombeni ushauri

Kwa mtaji wa laki mbili naweza fanya biashara gani maeneo ya chuo na ikanilipaa???

Nimewaza nyingi ila nipeni uzoefu

#Ni maeneo ya Moja ya chuo kilichopo Dodoma
Fungua genge la matunda linalipa
 
Natamani kufanya biashara za online, nitengeneze website ambayo nitafanya booking za mabus ya mkoani so nilikuwa nataka kujua changamoto zake kama mtu ana experience yeyote ya hiyo biashara?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…