mtaji mdogo sana na inabidi uwe mvumilivu sana kwenye swala zima la kupata faida nzuri, kama sio muuza sura nenda boma sokoni wanapouza mitumba wanaanza kufungua sa10 usiku wahi mashati ya kiume jinzi model then uanze kutembeza kwa madenti vyuoni ata kwa watu binafsi, pale uwa wanauza bei rahisi sana kuliko watu wanavyopigwa mtaani,waweza nunua labda shati kwa elfu tatu ukalipiga mpaka elfu kumi...try ilo
That good